TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amenukulu aya ya Qur'ani Tukufu kuhusu wakimbizi na akazipongeza Iran na Pakistan kutokana na ukarimu wao katika kuwapa hifadhi wakimbizi wa Afghanistan.
Habari ID: 3472482 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/18
Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani ni muhusika wa vita vyote eneo la Asia Magharibi na amesisitiza kuwa, ni lazima kuendesha muqawama katika pande zote kukabiliana na utawala huo wa kibeberu wa Marekani.
Habari ID: 3472479 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/17
TEHRAN (IQNA) –Malaysia imepewa jukumu la kutayarisha chakula halali, ambacho kimetayarishwa kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, kwa ajili ya michezo ya Olimpiki ya Tokyo 2020.
Habari ID: 3472477 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/16
TEHRAN (IQNA) – Msikiti uliojengwa miaka 130 iliyiopita nchini Singapore, umefunguliwa baada ya ukarabati wa miaka miwili na sasa unaweza kubeba waumini 2,500 kutoka 1,500.
Habari ID: 3472473 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/15
TEHRAN (IQNA) – Polisi nchini Ujerumani Ijumaa waliwakamata watu 12 ambao wanashukiwa kuanzisha mtandano wa mrengo wa kulia wenye misimamo mikali kwa lengo la kutekeleza hujuma dhidi ya wanasiasa, wakimbizi na Waislamu.
Habari ID: 3472472 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/15
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu asema
TEHRAN (IQNA) - Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amemtaja Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC kama shakhsia aliyehuisha 'harakati za jihadi na kuuawa shahidi' katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3472471 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/14
TEHRAN (IQNA) – Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuhujumu Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472467 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/13
TEHRAN (IQNA) - Msichana kutoka katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ametimiza ndoto yake ya kujenga msikiti katika nchi masikini.
Habari ID: 3472465 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/12
TEHRAN (IQNA) - Ismail Haniya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amemtumia ujumbe Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na akimpongeza yeye na taifa la Iran kufuatia maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3472463 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/12
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kustawi na kuimarika licha ya uhasama na njama za maadui hususan Marekani, na kwamba 'Mapinduzi ya Kiislamu' lilikuwa chaguo la taifa zima la Iran.
Habari ID: 3472461 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/11
TEHRAN (IQNA) – Watu wasiojulikana wameuhujumu msikiti katika mji wa Ulm nchini Ujerumani katika tukio linalohesabiwa kuwa ni la chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3472456 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/10
AMIRI JESHI MKUU WA IRAN
TEHRAN (IQNA) - Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuna ulazima wa Iran kuwa na nguvu katika pande zote hasa katika uga wa ulinzi; na akasisitiza kwamba: "Ni lazima kuwa na nguvu ili vita visiibuke na vitisho viishe."
Habari ID: 3472451 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/08
TEHRAN (IQNA) - Waislamu wa Slovenia wameshiriki katika Sala ya kwanza ya Ijumaa katika msikiti pekee nchini humo.
Habari ID: 3472450 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/08
RIPOTI
TEHRAN (IQNA) – Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu anapanga kukutana na Mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia Mohammad bin Salman.
Habari ID: 3472449 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/08
TEHRAN (IQNA) - Kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria pamoja na mkewe iliyokuwa ianze kusikilizwa jana imesogezwa mbele kutokana na hali mbaya ya afya zao iliyowafanya washindwe kufika mahakamani.
Habari ID: 3472448 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/07
TEHRAN (IQNA) - Waziri Kiongozi wa eneo la Kashmir linalodhibitiwa na Pakistan amesema kuwa upatanishi wa Marekani katika utatuzi wa mzozo wa eneo hilo hautakuwa na maslahi kwa Waislamu huku Siku ya Kashmir ikiadhimishwa kote duniani.
Habari ID: 3472446 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/07
TEHRAN (IQNA) - Ikiwa ni katika kuendeleza juhudi zake kueneza satwa ya kibeberu na kutafuta washirika kwa minajili ya kutekeleza siasa zake za kivamizi, Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala haramu amekutana na kufanya mazungumzo mjini Entebbe Uganda na Luteni Jenerali Abdul-Fattah al-Burhan, Kiongozi wa Baraza la Utawala la Sudan.
Habari ID: 3472445 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/06
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mpango wa Marekani uliopachikwa jina la Muamala wa Karne utakufa hata kabla ya Trump mwenyewe kufa na kuongeza kuwa, njia ya kukabiliana na mpango huo ni kusimama kidete na kufanya jihadi kishujaa taifa na makundi ya Palestina pamoja na uungaji mkono wa ulimwengu wa Kiislamu kwa taifa hilo.
Habari ID: 3472444 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/05
TEHRAN (IQNA) –Mwanazuoni wa ngazi za juu nchini Sudan amelaani vikali mkutano wa hivi karibuni wa wa Mkuu wa Baraza la Utawala la Sudan Luteni Jenerali Abdel Fattah al-Burhan na Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472441 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/05
TEHRAN (IQNA) – Mkakati wa kutaka wanajeshi vamizi wa Marekani waondoke Iraq unaendelea kushika kasi nchini humo.
Habari ID: 3472440 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/04