TEHRAN (IQNA) – Baadhi ya Waislamu wa Uingereza wameanza kujitayarisha kuondoka nchini humo wakihofia usalama wao baada ya uchaguzi ambao unamuandalia njia Boris Johnson kuendelea kuwa waziri mkuu wa nchi hiyo kwa muda miaka mitano.
Habari ID: 3472282 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/16
TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa Saba wa Mawaziri wa Afya wa Jumuiya ya Nchi za Kiislamu (OIC) umefanyika wiki hii katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3472281 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/16
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemteua Hujjatul Islam Hamid Shahriyari kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu.
Habari ID: 3472280 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/15
Katika mahojiano na IQNA
TEHRAN (IQNA) – Suhaila Zakzaky, bintiye Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria (IMN) ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuishinikiza serikali ya Nigeria kumuachilia huru mwanazuoni huyo wa Kiislamu.
Habari ID: 3472279 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/15
TEHRAN (IQNA) – Washindi wa Awamu ya 17 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tunisia wametangazwa katika sherehe iliyofanyika Ijumaa.
Habari ID: 3472276 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/14
Kiongozi wa Hizbullah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani inafanya juu chini kutaka kuonesha kuwa Hizbullah ni tishio kwa Lebanon, na kwamba njama zote hizo zinafanyika kwa ajili ya kupigania maslahi yake na ya utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3472275 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/14
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imelaani vikali hatua ya utawala haramu wa Israel kukamata wanachama wake katika eneo inalolikalia kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3472274 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/13
TEHRAN (IQNA) - Waislamu wa jamii ya Rohingya wameitaka jamii ya kimataifa isikubali matamshi ya Aung San Suu Kyi, kiongozi wa chama tawala nchini Myanmar cha National League for Democracy ambaye pia ndiye Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo aliyoyatoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu ICJ.
Habari ID: 3472273 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/13
TEHRAN (IQNA) – Bunge la Seneti nchini India limepitisha muswada wa sheria ambayo inawapa uraia wahajiri kutoka Pakistan, Bangladesh na Afghanistan lakini kwa sharti kuwa wasiwe Waislamu.
Habari ID: 3472272 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/12
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amebainisha kuwa serikali ya Iran haijaghafilika hata kidogo katika kuvuruga njama za adui na vikwazo. Ameongeza kuwa, Iran itasambaratisha njama hizo za maadui kwa njia mbalimbali kukiwemo kuzidisha uzalishaji wa ndani na kufanya mazungumzo.
Habari ID: 3472271 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/11
TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa 15 wa Kimataifa wa Sayansi za Fiqhi umefanyika hivi karibuni katika mji mkuu wa Oman, Muscat ambapo mada kuu ilikuwa ni kuhusu maji.
Habari ID: 3472270 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/11
TEHRAN (IQNA) – Misikiti katika jimbo la Ohio nchini Marekani imetanga siku maalumu ambapo wasiokuwa Waislamu wamekaribishwa ili kupata kuufahamu Uislamu zaidi.
Habari ID: 3472269 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/11
TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa sita wa kila mwaka wa Jukwaa la Kustawisha Amani Katika Jamii za Waislamu umefanyika katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3472267 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/10
TEHRAN (IQNA) – Mahakama nchini Algeria imewahukumu vifungo vya muda mrefu jela mawaziri wakuu wawili wa zamani wa nchi hiyo baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika na ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma.
Habari ID: 3472266 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/10
TEHRAN (IQNA) Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imeanza kusikiliza kesi kuhusu mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Myanmar kufuatia shtaka ambalo limewasilishwa na Gambia.
Habari ID: 3472265 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/10
Mgombea urais nchini Algeria amesema wote waliohifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu nchini humo watatunukiwa Shahada (digrii) ya Kwanza.
Habari ID: 3472260 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/07
TEHRAN (IQNA- Imam Hasan al Askari AS ni Imam wa 11 wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia na alizaliwa mwaka 232 Hijria mwezi 8 Mfunguo Saba Rabiuth Thani katika mji mtakatifu wa Madina.
Habari ID: 3472258 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/05
TEHRAN (IQNA) –Harakati ya Kiislamu Nigeria (INM) imesema hatua ya serikali ya nchi hiyo kuendelea kumshikilia Sheikh Ibrahim Zakzaky na mke wake ni ukiukwaji wa wazi wa sharia.
Habari ID: 3472255 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/04
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Ulaya na Marekani hazina azma ya kurejesha amani huko Yemen bali pande hizo zinafuatilia kuuza silaha zao.
Habari ID: 3472254 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/03
TEHRAN (IQNA) – Washindi wa Duru ya 26 ya Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Jassim bin Mohammed bin Thani nchini Qatar wametunukiwa zawadi katika hafla iliyofanyika Jumatatu.
Habari ID: 3472253 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/03