iqna

IQNA

Umoja wa Wanawake Waislamu Duniani wametoa taarifa ya rambirambi kufuatia kuuawa maelfu ya mahujaji kutoka nchi mbali mbali katika mkanyangano wa Mina karibu na mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3385195    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/13

Ayatollah Araki
Katibu mkuu wa Jumuiya ya Kimatiafa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu Ayatollah Mohsen Araki ametoa wito kwa wanazuoni wa Kiislamu kufuatilia suala la kuundwa Umoja wa Nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3384011    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/11

Misikiti Marekani imetakiwa kuwa katika hali ya tahadhari na kuimarishwa usalama kutokana na ghasia zinazotazamiwa kuibuliwa Oktoba 10 na makundi ya watu wenye misimamo mikali ya chuki dhidi ya Uislamu ambao wataandamana siku hiyo.
Habari ID: 3382994    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/07

Rais Vladmir Putin wa Russia Jumatano amefungua msikiti mkuu wa Moscow ambao ni msikiti mkubwa zaidi barani Ulaya.
Habari ID: 3366927    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/24

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei ametuma ujumbe kwa mnasaba wa Hija katika mwaka 1436 Hijria. Ifuatayo ni matini kamili ya ujumbe huo
Habari ID: 3366752    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/23

Kuhiji kwa mara ya kwanza ni ndoto iliyotimia kwa Abdi Mohammad, Mwislamu kutoka Kenya ambaye amekuwa akiuza viungo vya chakula kwa muda wa miaka 15 ili aweze kuchanga pesa za kumuwezesha kutimiza faradhi ya Hija katika mji mtakatifu wa Makkah.
Habari ID: 3366740    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/23

Mufti wa Quds na ardhi za Palestina amewataka Wapalestina kushikamana kwa ajili ya kukabiliana na njama na hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3365951    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/21

Mkutano wa 10 wa wakuu wa Vituo vya Kiutamaduni na Jumuiya za Kiislamu Amerika ya Latini na Caribbean wanatazamiwa kukutana Buenos Aires, mji mkuu wa Argentina.
Habari ID: 3363351    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/16

Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu yamefanyika hivi karibuni nchini Zimbabwe kwa usimamizi wa Baraza Kuu la Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3362910    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/15

Mahathir Mohammad
Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia Mahathir Mohammad ametoa wito kwa Waislamu wa madhehebu ya Sunni waliowengi Malaysia kuwakibali Mashia kama Waislamu wenzao ili kzuia mapigano ya madhehebu nchini humo kama yale yanayoshuhudiwa katika baadhi ya nchi za Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3362892    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/15

Jumapili ya jana msikiti mtakatifu wa al-Aqsa kwa mara nyingine tena ulivamiwa na Wazayuni waliojumuisha wanajeshi, polisi na Wazayuni wenye misimamo ya kufurutu ada ambapo damu za makumi ya Wapalestina zilimwagwa kiholela katika tukio hilo.
Habari ID: 3362433    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/14

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambi rambi kufuatia ajali ya kusikitisha katika mji Mtakatifu wa Makka siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3361981    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/13

Awamu ya 16 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Tukufu ya Russia yanatazamiwa kufanyika kuanzia tarehe 19 Oktoba katika mji mkuu wa nchi hiyo, Moscow.
Habari ID: 3361692    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/12

Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu yamefanyika nchini Morisi (Mauritius) katika vitengo viwili vya wanawake na wanaume.
Habari ID: 3361685    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/12

Takwimu mpya zinaonyesha kuwa idadi ya jinai zinazosababishwa na chuki dhidi ya Waislamu zimeongezeka nchini Uingereza mwaka uliopita.
Habari ID: 3360838    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/09

Maulamaa Waislamu Ghana
Maulamaa wa Kiislamu nchini Ghana wametangaza msimamo wa kupinga vikali kundi la kigaidi la Daesh au ISIS na kutoa wito kwa vijana nchini humo kuisoma na kufahamu ipasavyo tafsiri ya Qur'ani kwa njia sahihi ili wasitumbukie katika mtego muovu wa ISIS.
Habari ID: 3360612    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/08

Mabudhha wenye misimamo mikali nchini Myanmar tayari wametangaza 'ushindi' dhidi ya Waislamu nchini humo katika uchaguzi utakaofanyika Novemba baada ya kupitishwa sheria tata dhidi ya Waislamu ambayo inawanyima Waislamu wa kabila la Rohingya haki ya kupiga kura.
Habari ID: 3360047    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/07

Katika jitihada za kupunguza ongezeko la ubaguzi na chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu huko Malawi, jamii ya Waislamu nchini humo imeanzisha jitihada za kuwezesha vyombo vya habari kupata maelezo sahihi kuhusu Uislamu.
Habari ID: 3359965    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/07

Maonyesho ya Sanaa za Kiislamu yenye anuani ya 'Mbegu ya Amani' yanafanyia Lagos nchini Nigeria katika Jumba la Makumbusho ya Kitaifa.
Habari ID: 3357526    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/02

Umoja wa Mataifa umetoa indhari kuhusu wimbi jipya la wakimbizi wa Myanmar na Bangladesh wanaoelekea katika eneo la Asia Mashariki na yamkini jambo hilo likaibua maafa ya kibinadamu.
Habari ID: 3354581    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/31