Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu yamefanyika nchini Morisi (Mauritius) katika vitengo viwili vya wanawake na wanaume.
Habari ID: 3361685 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/12
Takwimu mpya zinaonyesha kuwa idadi ya jinai zinazosababishwa na chuki dhidi ya Waislamu zimeongezeka nchini Uingereza mwaka uliopita.
Habari ID: 3360838 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/09
Maulamaa Waislamu Ghana
Maulamaa wa Kiislamu nchini Ghana wametangaza msimamo wa kupinga vikali kundi la kigaidi la Daesh au ISIS na kutoa wito kwa vijana nchini humo kuisoma na kufahamu ipasavyo tafsiri ya Qur'ani kwa njia sahihi ili wasitumbukie katika mtego muovu wa ISIS.
Habari ID: 3360612 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/08
Mabudhha wenye misimamo mikali nchini Myanmar tayari wametangaza 'ushindi' dhidi ya Waislamu nchini humo katika uchaguzi utakaofanyika Novemba baada ya kupitishwa sheria tata dhidi ya Waislamu ambayo inawanyima Waislamu wa kabila la Rohingya haki ya kupiga kura.
Habari ID: 3360047 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/07
Katika jitihada za kupunguza ongezeko la ubaguzi na chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu huko Malawi, jamii ya Waislamu nchini humo imeanzisha jitihada za kuwezesha vyombo vya habari kupata maelezo sahihi kuhusu Uislamu.
Habari ID: 3359965 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/07
Maonyesho ya Sanaa za Kiislamu yenye anuani ya 'Mbegu ya Amani' yanafanyia Lagos nchini Nigeria katika Jumba la Makumbusho ya Kitaifa.
Habari ID: 3357526 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/02
Umoja wa Mataifa umetoa indhari kuhusu wimbi jipya la wakimbizi wa Myanmar na Bangladesh wanaoelekea katika eneo la Asia Mashariki na yamkini jambo hilo likaibua maafa ya kibinadamu.
Habari ID: 3354581 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/31
Nchini Kenya Jumuiya ya Mashekhe Waislamu Nairobi NMC wameanzisha msafara wa kuhubiri dhidi ugaidi na misimamo mikali miongoni mwa vijana Waislamu.
Habari ID: 3353707 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/29
Shekhe Mkuu wa Al Azhar Sheikh Ahmed el-Tayeb amesisitiza kuhusu umuhimu wa kudumisha umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3351450 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/25
Waislamu nchini Uganda wamezindua televisheni ya kwanza kabisa ya Kiislamu nchini humo na hivyo kuhuisha matumaini ya mwamko mpya baada ya sauti ya Waislamu kukandamizwa kwa muda mrefu na vyombo vya habari nchini humo.
Habari ID: 3351062 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/24
Watu 10 wameuawa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) baada ya wanamgambo wa Kikristo kuwashambulia Waislamu. Imearifiwa kuwa mapigano hayo yamejiri katika eneo la Bambari, lenye Waislamu wengi, katikati mwa nchi hiyo lililo karibu na Mto Ouaka.
Habari ID: 3351057 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/24
Slovakia imetangaza kuwa itawakubali tu wahajiri Wakristo wakati wa kuwachukua wakimbizi kutoka Syria.
Habari ID: 3350005 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/22
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuhusu udharura wa umoja baina ya Waislamu ili kukabiliana na njama hatari za utawala haramu wa Israel za kuubomoa Msikiti wa Al Aqsa katika Mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3349556 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/21
Waislamu wasiopungua 108,000 walipoteza maisha kutokana na maafa na vita katika nchi za Kiislamu na nchi ambazo Waislamu ni wachache kote duniani mwaka 2014.
Habari ID: 3345845 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/18
Mhadhiri mmoja wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al-Azhar nchini Misri amesema kuwa, hakuna tatizo lolote katika kuwakurubisha pamoja Waislamu wa madhehebu ya Suni na Shia.
Habari ID: 3345811 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/18
Jimbo la Terengganu nchini Malaysia lina mpango wa kuanzisha chuo kikuu cha Qur’ani kwa mara ya kwanza nchini humo.
Habari ID: 3344933 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/16
Rais Hassan Rouhani wa Iran
Rais Rouhani amesisitiza kuwa, njia pekee ya kukabiliana na changamoto hizo ni kurejea kwenye umoja wa Waislamu duniani na kujitenga na mirengo iliyopotoka.
Habari ID: 3344480 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/15
Waislamu nchini Ethiopia wamelaani uamuzi wa mahakama moja ya nchi hiyo ya kuwafunga jela miaka 22 wanaharakati 18 wa Kiislamu kwa tuhuma eti za ugaidi.
Habari ID: 3339480 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/05
TEHRAN (IQNA)- Mwezi moja baada ya kutangaza kuikumbatia dini tukufu ya Kiislamu, Emmanuel Adebayor, mchezaji soka mashuhuri Mwafrika nchini Uingereza ambaye sasa ni mshambuliaji wa Tottenham, amefafanua sababu zilizompelekea kusilimu.
Habari ID: 3338997 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/04
Amnesty International
Shirika la kimataifa la kuteteta haki za binadamu la Amnesty International limesema kuwa Waislamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) wamelazimika kuritadi na kuacha dini yao kutokana na kutishiwa maisha.
Habari ID: 3337640 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/01