iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Matukio ya majuma mawili ya hivi karibuni nchini Afghanistan yameonyesha kuwa, makundi ya mapambano na muqawama katika eneo la Asia Magharibi yana nafasi muhimu katika kulinda mamlaka ya kujitawala pamoja na usalama wa mataifa yao.
Habari ID: 3474235    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/28

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaunga mkono taifa madhulumu la Waislamu la Afghanistan katika hali yoyote ile." Aidha ameongeza kuwa, uhusiano wa Iran na serikali zingine utategemea muamala wao na Iran.
Habari ID: 3474233    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/28

TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulio ya kigaidi yaliyotokea katika eneo la uwanja wa ndege wa Kabul nchini Afghanistan jana Alkhamisi.
Habari ID: 3474230    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/27

TEHRAN (IQNA)-TEHRAN (IQNA)- Raia wa Afghanistan karibu 200 wakiwemo wanajeshi 13 wa Marekani wameuawa leo kufuatia hujuma katika uwanja wa ndege wa Kabul.
Habari ID: 3474229    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/26

TEHRAN (IQNA)- Mashirika ya Umoja wa Mataifa yametaka kuanzishwa mara moja kwa daraja maalum la safari za ndege la kuwezesha ndege zilizobeba misaada ya kibinadamu kuingia nchini Afghanistan kwa ajili ya utoaji wa msaada endelevu na bila vizuizi.
Habari ID: 3474219    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/23

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya Lebanon Hezbullah anasema kushindwa kwa Marekani nchini Afghanistan kunaonyesha ujinga wa wa wakuu wa Washington na kukosekana mahesabu katika sera zao kigeni.
Habari ID: 3474201    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/18

TEHRAN (IQNA)-Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekutana Jumatatu kwa dharura kujadili hali nchini Afghanistan ambako kundi la Taliban llilichukua mamlaka Jumapili baada ya vikosi vya serikali kuzidiwa nguvu na Rais ashraf Ghani kutoroka nchi.
Habari ID: 3474198    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/17

TEHRAN (IQNA) -Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu wa Iran amesema kushindwa kijeshi na kuondoka Marekani Afghanistan inapasa kuwe ni fursa ya kufufua maisha, amani na usalama endelevu ndani ya nchi hiyo.
Habari ID: 3474197    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/16

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres anafuatilia hali ilivyo huko Afghanistan akiwa na wasiwasi mkubwa na amewasihi Taliban na wahusika wote wajizuie kwa kiwango cha juu ili kuepusha madhara kwa raia na pia kuhakikisha utoaji wa misaada ya kibinadamu.
Habari ID: 3474196    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/16

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa wito kwa wahusika wote wa mgogoro Afghanistan kuachana na ghasia na kutatia matatizo yaliyopo kwa njia ya mazungumzo.
Habari ID: 3474192    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/15

TEHRAN (IQNA) - Vikosi vya serikali ya Afghanistan vinakabiliana na mashambulio ya Taliban kwenye miji kadhaa mikubwa Jumapili wakati kundi hilo lilizidisha mashambulio ya kitaifa ambayo yalishuhudia uwanja wa ndege muhimu kusini ukishambuliwa kwa maroketi usiku kucha.
Habari ID: 3474148    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/01

TEHRAN (IQNA)- Rais wa zamani wa Afghanistan Hamid Karzai amepongeza mazungumzo ya amani baina ya serikali ya Afghanistan na ujumbe wa wanamgambo wa Taliban ambayo yamefanyika wiki iliyopita Tehran.
Habari ID: 3474089    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/10

TEHRAN (IQNA)- Wanaharakati wa haki za binadmau na utamaduni nchini Afghanistan wameutaka Umoja wa Mataifa utambue rasmi mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Afghanistan katika miaka ya hivi karibuni kuwa ni mauaji ya kimbari.
Habari ID: 3473927    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/19

TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 12 wameuawa na wengine zaidi ya 15 wamejeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea ndani ya msikiti wa Haji Bakhshi ulioko kwenye eneo la Shakar Dara viungani mwa mji wa Kabul wakati waumini walipokuwa wako kwenye ibada ya Sala ya Ijumaa hapo jana.
Habari ID: 3473910    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/15

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, Wazayuni hawafahamu chochote zaidi ya lugha ya mabavu na akasisitiza kuwa, inapasa Wapalestina waongeze nguvu na muqawama wao ili kuwalazimisha watenda jinai hao wasalimu amri na kusimamisha hatua zao za kinyama.
Habari ID: 3473901    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/12

TEHRAN (IQNA)- Wakazi wa mji wa Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran wameandamana kulaani mauaji ya makumi ya raia, aghalabu wakiwa wasichana wa shule ambao waliuawa shahidi Jumamosi katika hujuma ya kigaidi dhidi ya shule ya Sayyid al Shuhadaa katika mtaa wa Dasht-e-Barchiwenye Waislamu wengi wa madhehebu ya Shia katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.
Habari ID: 3473900    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/11

TEHRAN (IQNA)- Makumi ya raia, aghalabu wakiwa wasichana wa shule waliuawa shahidi Jumamosi katika hujuma ya kigaidi dhidi ya shule ya Sayyid al Shuhadaa katika mtaa wa Dasht-e-Barchiwenye Waislamu wengi wa madhehebu ya Shia katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.
Habari ID: 3473898    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/11

Wataalamu wa kimataifa katika mahojiano na IQNA
TEHRAN (IQNA)- Wataalamu wa masuala ya Afghanistan wanasema Marekani na waitifaki wake hawataki kuondoka Afghanistan na wanataka kuibua hofu na wahka ili watu wa nchi hiyo wadhani kuwa bila kuwepo wanajeshi hao ajniabi mauaji yatazidi.
Habari ID: 3473897    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/11

TEHRAN (IQNA)0 Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limelaani vikali shambulizi la kigaidi lililolenga shule ya msingi ya Sayed Al-Shuhada mjini Kabul na kuitaja jinai hiyo kuwa ni njama ya Wamarekani ya kutaka kuhuisha ugaidi wa makundi ya kitakfiri na kuvuruga tena amani nchini Afghanistan.
Habari ID: 3473895    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/10

TEHRAN (IQNA) – Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan amesema vita katika nchi yake vimeua raia zaidi ya 40,000 na katika kipindi hicho ni askari 98 tu wa Marekani waliouawa nchini humo.
Habari ID: 3473543    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/10