Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeendelea kusimama imara mbele ya dhulma za madola ya kibeberu na kiistikbari kwa kipindi cha miaka 40 sasa na imeendelea kupata maendeleo, uwezo na nguvu zaidi licha ya vinyongo vya maadui wanaotaka kuangamiza mfumo huo wa Kiislamu.
Habari ID: 3471483 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/26
TEHRAN (IQNA)-Binti Mtanzania, Ashura Amani Lilanga, ameshika nafasi tatu katika Mashindano ya Tatu Kimataifa ya Qur’ani ya Wanawake katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3471482 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/26
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 35 ya Kimataifa ya Kusoma na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu ya Iran yamemalizika rasmi Jumatano kwa kutunukiwa zawadi washindi.
Habari ID: 3471481 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/25
TEHRAN (IQNA) – Washindi wa Mashindano ya pili ya Kimataifa ya Qur'ani ya wanafunzi wa vyuo vya kidini (Hawza) wametangazwa katika sherehe iliyofanyika Jumapili.
Habari ID: 3471480 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/25
TEHRAN (IQNA)-Washiriki 44 wamefuzu katika fainali ya Mashindano ya 6 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Wanafunzi Waislamu katika vyuo vikuu vya nchi mbali mbali duniani.
Habari ID: 3471479 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/24
TEHRAN (IQNA)- Jopo la majaji katika Mashindano ya 35 ya Kimatiafa ya Qur'ani ya Iran limetangaza majina ya waliofika fainali katika kategoria wanaume waliohifadhi Qur'ani kikamifliu katika mashindano hayo.
Habari ID: 3471478 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/23
TEHRAN (IQNA)-Kitengo cha wanawake katika Mashindano ya 35 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Irna kimefunguliwa Jumamosi.
Habari ID: 3471476 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/22
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya usomaji Qur'ani Tukufu maalumu kwa wanafunzi wa shule yamefanyika katika mji mdogo wa Glostrup ulio karibu na mji mkuu wa Denmark, Copenhagen.
Habari ID: 3471473 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/20
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya Kimataifa ya 35 ya Qur'ani Tukufu yamefunguliwa rasmi leo Alhamisi mjini Tehran yakiwashirikisha wawakilishi wa nchi 84 kutoka maeneo yote ya dunia.
Habari ID: 3471472 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/19
TEHRAN (IQNA)- Kanali ya Televisheni ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itarusha mubashara au moja kwa moja Mashindano ya 35 ya Kimataifa ya Qur'ani yanayoanza Alhamisi hii mjini Tehran.
Habari ID: 3471471 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/19
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 9 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Kuwait, maarufu kama Zawadi ya Kuwait, yalianza Jumanne katika mji mkuu wa nchi hiyo.
Habari ID: 3471462 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/12
TEHRAN (IQNA)-Nchi 23 zimetangaza azma ya kushiriki katika Mashindano ya 35 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3471455 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/06
TEHRAN (IQNA)-Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Misri wametangazwa ambapo ambapo Ustadh Haitham Sagar kutoka Kenya ameibuka wa pili katika kitengo cha kuhifadhi Qur'ani kwa wale ambao Kiarabu si lugha yao ya asili.
Habari ID: 3471449 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/31
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 9 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Kuwait yanatazamiwa kuanza katika nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi mnamo Aprili 10.
Habari ID: 3471446 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/28
TEHRAN (IQNA)- Nusu Fainali ya Mashindano ya Sita ya Kimataifa ya Qur'ani ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu imemalizika.
Habari ID: 3471445 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/27
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 25 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yameanza leo asubuhi mjini Cairo ambapo yanahudhuriwa na wawakilishi wa nchi 50.
Habari ID: 3471442 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/24
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Hamburg kimetangaza washindi wa Mashindano ya Sita ya Kimataifa ya Qur’ani ya Waislamu wa Ulaya.
Habari ID: 3471423 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/09
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Marekani inapanga kuandaa mashindano ya Qur'ani kwa watu walemavu na wale wenye mahitajio maalumu.
Habari ID: 3471417 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/05
TEHRAN (IQNA) – Kijana mwenye umri wa miaka 20, Amiru Yunusa, wa Jimbo la Bauchi ametangazwa kuwa mshindi wa Mashindano ya 23 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Nigeria yaliyofanyika katika jimbo la Katsina kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3471416 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/05
TEHRAN (IQNA)-Waandalizi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Tunisia wameiomba Iran imteue qarii na mtaalamu Qur’ani ili awe miongoni mwa jopo la majaji katika mashindano hayo.
Habari ID: 3471413 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/03