TEHRAN (IQNA) – Qarii kutoka Tanzania ameibuka mshindi katika mashindano ya kusoma Qur’ani (qiraa) ya Chuo Kikuu cha Al Qasimia cha Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3473023 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/01
TEHRAN (IQNA) – Duru ya kwanza ya mashindano ya 43 ya Qur'ani Tukufu ya Tehran, mji mkuu wa Iran, imekamilika Julai 14.
Habari ID: 3472968 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/16
TEHRAN (IQNA) – Kamati andalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran haijaafiki pendekezo la mashindano hayo kufanyika kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3472886 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/22
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Imam Ali AS mjini Stockholm, Sweden kimeandaa mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa njia ya intaneti .
Habari ID: 3472763 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/13
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambayo hufanyika kwa njia ya moja kwa moja kupitia Televisheni ya Al Kauthar ya Iran yameanza.
Habari ID: 3472714 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/29
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Indonesia yameakhirishwa kutokana na hofu ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472620 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/31
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Zawadi ya Al Qasimia katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yameakhirishwa ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama kirusi cha corona.
Habari ID: 3472567 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/15
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Malaysia ambayo yalikuwa yamepangwa kufanyika mwezi Aprili sasa yameakhirishwa ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama corona.
Habari ID: 3472556 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/12
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 46 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu yamefanyika nchini Ufilipino ambapo rais Rodrigo Duterte wa nchi hiyo amewatumia washiriki ujumbe maalumu.
Habari ID: 3472532 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/05
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya wanafunzi ya Waislamu yameakhirishwa.
Habari ID: 3472521 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/02
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 37 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yanatazamiwa kuakhirishwa kutokana na hofu ya kirusi cha Corona.
Habari ID: 3472513 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/27
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani yamefanyika katika mji mkuu wa Russia, Moscow katika tawi la Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa (SAW).
Habari ID: 3472409 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/27
TEHRAN (IQNA) - Hatimaye wawakilishi wawili watakaoiwakilisha Tanzania katika mashindano makubwa ya Qur an tukufu ya Hifdh na Tajweed yatakayofanyika nchini Gabon, wamepatikana.
Habari ID: 3472393 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/21
TEHRAN (IQNA) - Washindi wa Mashindani ya 29 ya Qur'ani ya Sultan Qaboos wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika Masikiti wa Sultan Qaboos katika Wilaya ya Basusher nchini humo.
Habari ID: 3472310 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/28
TEHRAN (IQNA) – Washindi wa Duru ya 26 ya Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Jassim bin Mohammed bin Thani nchini Qatar wametunukiwa zawadi katika hafla iliyofanyika Jumatatu.
Habari ID: 3472253 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/03
TEHRAN (IQNA) – Wanawake nchini Uzbekistan wameshiriki katika mashindano ya Qur'ani ambaye yamefanyika hivi karibuni katika mji mkuu, Tashkent.
Habari ID: 3472247 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/01
TEHRAN (IQNA) – Duruy a Nne ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Maalumu kwa Wanawake ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yatakuwa na washiriki kutoka nchi 120.
Habari ID: 3472164 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/10
TEHRAN (IQNA) – Mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamepangwa kufanyika katika Mji Mtakatifu wa Mashhad, kaskazini mashariki mwa nchi.
Habari ID: 3472152 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/28
TEHRAN (IQNA)- Washindi katika mashindano ya kitaifa ya kihifadhi Qur'ani wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika Jumatano katika Ukumbi wa Kituo cha Kiutamaduni na Kiislamu cha mji w Gitega.
Habari ID: 3472105 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/29
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Muungano wa Wasomaji na Waliohifadhi Qur'ani nchini Indonesia amesema hivi sasa kuna vituo 23,000 vya kufunza Qur'ani katika nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3472003 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/16