IQNA-Ramadhan Mushahara, M palestina mwenye umri wa miaka 49, amechapisha kitabu kiitwacho “Qur'ani kwa Wanaohifadhi”. Aliandika kitabu hiki akiwa gereza za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel, licha ya vizuizi vikubwa vya gerezani.
Habari ID: 3480636 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/04
IQNA – Mohsen Mahdawi, mwanafunzi wa Ki palestina katika Chuo Kikuu cha Columbia nchini Marekani aliyekamatwa kwa kushiriki maandamano kupinga vita vya Israel dhidi ya Gaza, ameachiwa huru kutoka kizuizini.
Habari ID: 3480623 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/02
IQNA – Nchi kadhaa za Kiarabu zimelaani vikali kusambazwa kwa klipu iliyotengenezwa kwa kutumia Akili Mnemba (AI) na walowezi wa Kizayuni wa Israel, inayoonyesha uharibifu wa Msikiti wa Al-Aqsa ulioko katika al-Quds inayokaliwa kwa mabavu, na ujenzi wa hekalu la Kiyahudi mahali pake.
Habari ID: 3480568 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/20
IQNA – Makundi yote ya Palestina yameungana katika upinzani wao mkali dhidi ya pendekezo la kuzitaka harakati za Kiislamu za kupigania ukombozi (Muqawama) kuwaka chini silaha, afisa wa harakati ya Jihad Islami amesema.
Habari ID: 3480560 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/18
IQNA – Maelfu ya Wamoroko walikusanyika Jumapili katika mji mkuu, Rabat, kuonyesha mshikamano wao na watu wa Palestina na kulaani uhalifu unaoendelea wa utawala katili wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3480541 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/14
IQNA- Kikao cha kumi na nne cha kila wiki cha Tafsiri ya Qur'anI katika Msikiti wa Al-Azhar nchini Misri kitafanyika kwa mada "Msikiti wa Al-Aqsa katika Quran".
Habari ID: 3480536 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13
IQNA – Watu wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu Tunis na miji mingine siku ya Ijumaa, wakitaka kuwekwa sheria ya kuzuia uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3480531 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/12
Jinai za Israel
IQNA-Umoja wa Mataifa umesema wanawake na watoto wa Ki palestina ndio pekee waliouawa katika mashambulizi yapatayo 36 ya anga yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza tangu katikati ya mwezi Machi na kuonya kwamba mashambulizi ya kijeshi ya Israel yanahatarisha "kuendelea kuwepo Wa palestina kama jamii".
Habari ID: 3480529 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/12
IQNA-Mufti Mkuu wa Oman, Sheikh Ahmed al-Khalili, amekosoa vikali kimya kinachoonyeshwa mbele ya jinai za kinyama zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3480497 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/05
IQNA-Kamati ya Ijtihad na Fatwa ya taasisi moja ya kimataifa ya wanazuoni Kiislamu imesisitiza kuwa kuanzisha Jihad dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Isarel unaoendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Gaza ni wajibu wa Kiislamu.
Habari ID: 3480496 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/05
IQNA – Mashambulizi ya anga ya utawala katili wa Israel katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 100, wakiwemo 33 waliokuwa wakijisitiri katika shule.
Habari ID: 3480492 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/04
IQNA- Swala ya Ijumaa ya mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhani katika misikiti mbalimbali duniani, ikiwemo Msikiti wa Masjid al Al-Haram katika mji mtakatifu wa Makka, na Msikiti wa Al-Azhar nchini, iliandamana na dua kwa ajili ya Wa palestina wa Gaza na Msikiti wa Al-Aqsa.
Habari ID: 3480464 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/29
IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito kwa wananchi wa Iran kuonyesha umoja na mshikamano wao wakati wa Siku ya Kimataifa ya Quds, akisisitiza kwamba kujitokeza kwa wingi wananchi katika siku hii kutaonyesha msaada usiotetereka wa Jamhuri ya Kiislamu kwa malengo ya ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3480446 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/27
IQNA – Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST) imetayarisha bango la Siku ya Kimataifa ya Quds ya mwaka huu wa 1446 H sawa na 2025.
Habari ID: 3480437 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/25
IQNA – Siku ya Kimataifa ya Quds ni fursa ya kuonyesha msaada wa umma kwa taifa la Palestina na ukombozi wa al-Quds, amesema afisa mwandamizi nchini Iran.
Habari ID: 3480435 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/25
IQNA – Jiji la Vienna, mji mkuu wa Austria, lilishuhudia maandamano makubwa yanayopinga kuendelea kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza. Waandamanaji walibeba mabango na vipeperushi vyenye maandiko, “Acha kuua watoto,” “Acha vita sasa,” na “Susia Israel."
Habari ID: 3480427 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/24
IQNA – Wakati ulimwengu wa Kiislamu ukikaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani, Katibu Mkuu wa Shirika la Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), Hissein Brahim Taha, amemuomba Mwenyezi Mungu aujali mwezi huu uwe "hatua muhimu” katika ukombozi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3480284 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/01
IQNA-Vikosi vya utawala vamizi wa Israel vimemkamata na kumpiga marufuku Sheikh Najeh Bakirat, kiongozi mashuhuri wa Kiislamu Palestina kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa ulioko jijini Al Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3480246 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/21
Kadhia ya Palestina
IQNA-Mkuu wa Makao Makuu ya Intifada na Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran, Brigedia Jenerali Ramezan Sharif, amesisitiza umuhimu wa kupanga na kufanya juhudi za kufanikisha maandamano makubwa katika Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu.
Habari ID: 3480232 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/18
IQNA – Afisa mwandamizi wa Hamas alisema kuwa Operesheni ya kimbunga cha Al-Aqsa ina matokeo makubwa ya kistratejia ambayo yatashuhudiwa hivi karibuni.
Habari ID: 3480123 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/30