IQNA – Hatua ya utawala wa Israeli kuzuia meli za Msafara wa Kimataifa wa Sumud imezua shutuma kali kutoka kwa serikali na mashirika ya kimataifa kote duniani.
Habari ID: 3481315 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/02
IQNA – Dada wanne wa Ki palestina kutoka kijiji cha Deir al-Quds, kilichopo katika Mkoa wa Ramallah, Ukingo wa Magharibi, wamefanikiwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote kwa moyo.
Habari ID: 3481272 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/23
IQNA – Kiongozi wa Harakati za Kiislamu nchini Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky, amesema kumeshuhudiwa ongezeko la mwamko na uungaji mkono kwa Wa palestina katika nchi za Magharibi.
Habari ID: 3481242 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/16
IQNA-Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) limepitisha kwa wingi mkubwa sana wa kura "Azimio la New York" linalotoa mwongozo wa kuchukuliwa "hatua zinazoonekana, katika muda maalumu na zisizoweza kutenduliwa" kuelekea kwenye uundwaji wa Dola la Palestina.
Habari ID: 3481227 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/13
IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na Spika wa Bunge, Mohammad Baqer Qalibaf, wamelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya kijeshi iliyofanywa na Israel dhidi ya Yemen, ambayo imesababisha kuuawa kwa shahidi Waziri Mkuu wa Yemen na mawaziri kadhaa wa serikali ya mapinduzi ya nchi hiyo.
Habari ID: 3481163 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/31
IQNA – Watu kutoka maeneo mbalimbali ya Yemen walifanya maandamano makubwa siku ya Ijumaa kulaani uhalifu wa Israeli dhidi ya Wa palestina na kitendo cha hivi karibuni cha kuchomwa motot nakala ya Qur’an Tukufu nchini Marekani.
Habari ID: 3481160 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/30
IQNA – Maandamano ya kuunga mkono Palestina yalifanyika mjini Copenhagen, mji mkuu wa Denmark, ambapo waandamanaji zaidi ya 10,000 walitisha mwito wa kumaliza vita huko Gaza na kuhimiza Denmark kutambua taifa la Palestina.
Habari ID: 3481135 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/25
IQNA – Kamati za Upinzani za Kawaida (PRC), muungano wa makundi ya Ki palestina , zimelaani mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Israel yaliyolenga miundombinu nchini Yemen.
Habari ID: 3481132 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/25
IQNA – Watu katika miji na miji midogo kote Australia walijitokeza kwa wingi Jumapili kuonyesha uungaji mkono wao wa dhati kwa Palestina na kulaani ukatili wa Israel huko Gaza.
Habari ID: 3481129 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24
IQNA- Maandamano yafanyika Uingereza kulaani mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel dhidi ya Gaza Maandamano makubwa yamefanyika nje ya ubalozi wa utawala wa Israel mjini London, Uingereza kulaani mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala huo dhidi ya Wa palestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3481127 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24
IQNA-Mshambuliaji wa timu ya soka ya Liverpool, Mohamed Salah amekosoa hatua ya Muungano wa Vyama vya Soka vya Ulaya UEFA ya kumuenzi Suleiman Al-Obeid, anayejulikana kama "Pele wa Palestina," baada ya bodi inayosimamia soka ya Ulaya kutoelezea mazingira ya kifo chake wiki hii.
Habari ID: 3481065 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/10
IQNA – Jenan Nabil Mohammed Nofal ni hafidha wa Qur’ani Tukufu anayewakilisha Palestina katika Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Uhifadhi wa Qur’ani yanayofanyika nchini Malaysia.
Habari ID: 3481047 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/06
IQNA – Shirika la kutetea haki za Waislamu nchini Marekani limelaani vikali vifo vya raia wa Gaza vinavyosababishwa na njaa inayosababishwa kimakusudi na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ukanda wa Palestina.
Habari ID: 3481043 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/06
IQNA – Mufti Mkuu wa India, Sheikh Abubakr Ahmad, amepongeza uamuzi wa baadhi ya mataifa kutambua rasmi nchi huru ya Palestina.
Habari ID: 3481036 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/04
IQNA – Baraza Kuu la Waislamu wa Kanada (NCCM) limekaribisha kwa mikono miwili uamuzi wa serikali ya Ottawa wa kulitambua rasmi Taifa la Palestina mwezi Septemba, likiitaja hatua hiyo kuwa ya kihistoria na muhimu katika safari ya haki.
Habari ID: 3481026 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/01
IQNA – Msomaji wa Qur’ani wa Palestina na mwimbaji wa kaswida za Kiislamu amekufa shahidi katika shambulizi la hivi karibuni la anga lililofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3480954 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/16
Mtazamo
IQNA – Mkataba wa Abrahamu wa Trump (ujulikanao pia kama "UAbrahamu wa Trump"), ambao unalenga kudhoofisha dini na haki za kitaifa za Wa palestina , hauwezi kufikia malengo yake, kwa mujibu wa mchambuzi wa kisiasa kutoka Lebanon.
Habari ID: 3480922 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/09
IQNA – Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amelaani kuendelea kwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya raia wasio na hatia wa Palestina, huku jumuiya ya kimataifa ikikaa kimya bila kuchukua hatua yoyote.
Habari ID: 3480891 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/04
IQNA – Wakazi wa Plainfield, Illinois, nchini Marekani walikusanyika Jumamosi kufungua mnara wa kumbukumbu kuenzi maisha ya Wadea Al-Fayoume, mtoto M palestina -Mmarekani wa miaka sita aliyekuwa miongoni mwa waliouawa kwa ukatili wa chuki mwaka 2023.
Habari ID: 3480876 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/30
IQNA – Afisa mmoja wa Iran ameelezea mtazamo wa kimapinduzi wa Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu) kuhusu suala la muqawama (mapambano), akisema kuwa muasisi huyo wa Jamhuri ya Kiislamu aligeuza Palestina kuwa suala nambari moja kwa Waislamu duniani.
Habari ID: 3480772 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/01