iqna

IQNA

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na Spika wa Bunge, Mohammad Baqer Qalibaf, wamelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya kijeshi iliyofanywa na Israel dhidi ya Yemen, ambayo imesababisha kuuawa kwa shahidi Waziri Mkuu wa Yemen na mawaziri kadhaa wa serikali ya mapinduzi ya nchi hiyo.
Habari ID: 3481163    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/31

IQNA – Watu kutoka maeneo mbalimbali ya Yemen walifanya maandamano makubwa siku ya Ijumaa kulaani uhalifu wa Israeli dhidi ya Wa palestina na kitendo cha hivi karibuni cha kuchomwa motot nakala ya Qur’an Tukufu nchini Marekani.
Habari ID: 3481160    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/30

IQNA – Maandamano ya kuunga mkono Palestina yalifanyika mjini Copenhagen, mji mkuu wa Denmark, ambapo waandamanaji zaidi ya 10,000 walitisha mwito wa kumaliza vita huko Gaza na kuhimiza Denmark kutambua taifa la Palestina.
Habari ID: 3481135    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/25

IQNA – Kamati za Upinzani za Kawaida (PRC), muungano wa makundi ya Ki palestina , zimelaani mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Israel yaliyolenga miundombinu nchini Yemen.
Habari ID: 3481132    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/25

IQNA – Watu katika miji na miji midogo kote Australia walijitokeza kwa wingi Jumapili kuonyesha uungaji mkono wao wa dhati kwa Palestina na kulaani ukatili wa Israel huko Gaza.
Habari ID: 3481129    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24

IQNA- Maandamano yafanyika Uingereza kulaani  mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel dhidi ya Gaza Maandamano makubwa yamefanyika nje ya ubalozi wa utawala wa Israel mjini London, Uingereza kulaani mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala huo dhidi ya Wa palestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3481127    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24

IQNA-Mshambuliaji wa timu ya soka ya Liverpool, Mohamed Salah amekosoa hatua ya Muungano wa Vyama vya Soka vya Ulaya UEFA ya kumuenzi Suleiman Al-Obeid, anayejulikana kama "Pele wa Palestina," baada ya bodi inayosimamia soka ya Ulaya kutoelezea mazingira ya kifo chake wiki hii.
Habari ID: 3481065    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/10

IQNA – Jenan Nabil Mohammed Nofal ni hafidha wa Qur’ani Tukufu anayewakilisha Palestina katika Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Uhifadhi wa Qur’ani yanayofanyika nchini Malaysia.
Habari ID: 3481047    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/06

IQNA – Shirika la kutetea haki za Waislamu nchini Marekani limelaani vikali vifo vya raia wa Gaza vinavyosababishwa na njaa inayosababishwa kimakusudi na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ukanda wa Palestina.
Habari ID: 3481043    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/06

IQNA – Mufti Mkuu wa India, Sheikh Abubakr Ahmad, amepongeza uamuzi wa baadhi ya mataifa kutambua rasmi nchi huru ya Palestina.
Habari ID: 3481036    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/04

IQNA – Baraza Kuu la Waislamu wa Kanada (NCCM) limekaribisha kwa mikono miwili uamuzi wa serikali ya Ottawa wa kulitambua rasmi Taifa la Palestina mwezi Septemba, likiitaja hatua hiyo kuwa ya kihistoria na muhimu katika safari ya haki.
Habari ID: 3481026    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/01

IQNA – Msomaji wa Qur’ani wa Palestina na mwimbaji wa kaswida za Kiislamu amekufa shahidi katika shambulizi la hivi karibuni la anga lililofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3480954    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/16

Mtazamo
IQNA – Mkataba wa Abrahamu wa Trump (ujulikanao pia kama "UAbrahamu wa Trump"), ambao unalenga kudhoofisha dini na haki za kitaifa za Wa palestina , hauwezi kufikia malengo yake, kwa mujibu wa mchambuzi wa kisiasa kutoka Lebanon.
Habari ID: 3480922    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/09

IQNA – Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amelaani kuendelea kwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya raia wasio na hatia wa Palestina, huku jumuiya ya kimataifa ikikaa kimya bila kuchukua hatua yoyote.
Habari ID: 3480891    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/04

IQNA – Wakazi wa Plainfield, Illinois, nchini Marekani walikusanyika Jumamosi kufungua mnara wa kumbukumbu kuenzi maisha ya Wadea Al-Fayoume, mtoto M palestina -Mmarekani wa miaka sita aliyekuwa miongoni mwa waliouawa kwa ukatili wa chuki mwaka 2023.
Habari ID: 3480876    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/30

IQNA – Afisa mmoja wa Iran ameelezea mtazamo wa kimapinduzi wa Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu) kuhusu suala la muqawama (mapambano), akisema kuwa muasisi huyo wa Jamhuri ya Kiislamu aligeuza Palestina kuwa suala nambari moja kwa Waislamu duniani.
Habari ID: 3480772    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/01

IQNA – Baraza la Kiislamu la Ufaransa (CFCM) limeitaka Ufaransa na Umoja wa Ulaya kuitambua rasmi Palestina kama nchi huru na kusitisha makubaliano yao ya kisiasa na kiuchumi na utawala wa Israel kutokana na jinai za utawala huo huko Gaza.
Habari ID: 3480716    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21

IQNA – Mji wa The Hague, Uholanzi umeshuhudia maandamano makubwa ya kuunga mkono Palestina na Gaza siku ya Jumapili.
Habari ID: 3480704    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/19

IQNA – Nchi wanachama wa Muungano wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (PUIC) zimetoa wito wa kuwekwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya Israel, huku utawala huo ukiwa unaendelea na vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wa palestina katika ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3480695    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/17

IQNA- Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) amesema kuwa mazungumzo kati ya nchi za Kiislamu ni hitaji lisiloweza kuepukika katika kutatua changamoto za msingi za ubinadamu.
Habari ID: 3480688    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/15