IQNA – Harakati ya Muqawama wa Palestina ya Hamas imepongeza kauli ya Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Mohsen Rezaei, kuhusu umuhimu wa kusitishwa kwa vita katika ukanda wa Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
Habari ID: 3482623 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/14
IQNA-Katika mwendelezo wa kuonyesha ustahimilivu na ari ya kiimani katikati ya mapambano, wanafunzi 110 wa kike wenye kuhifadhi Qur’ani huko Gaza wamefanikiwa kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima katika kikao kimoja cha Khatm al-Qur’an.
Habari ID: 3482585 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/04
QNA – Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imekaribisha kupitishwa kwa sheria nchini Ireland inayopiga marufuku uingizaji wa bidhaa kutoka vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina. Wizara hiyo imetoa wito kwa mataifa na mabunge yote duniani kuchukua hatua kama hiyo dhidi ya utawala unaokalia ardhi kwa mabavu.
Habari ID: 3482549 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/28
IQNA – Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imekaribisha hatua ya Ireland kutunga sheria inayopiga marufuku uagizaji wa bidhaa kutoka katika makazi haramu ya Kizayuni yaliyoko katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu na Israel, huku ikizitaka nchi na mabunge duniani kuchukua hatua kama hiyo.
Habari ID: 3482544 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/27
IQNA – Kuongezeka kwa operesheni za muqawama au mapambano ya ukombozi katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Israel kunaakisi kushindwa kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuwazuia Wapalestina kusimama kutetea ardhi yao, haki zao, na maeneo yao matukufu.
Habari ID: 3482537 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/26
IQNA – Hafla maalumu imeandaliwa kwa ajili ya kuwatunuku zawadi na kuwaenzi vijana 600 waliohifadhi Qur’ani Tukufu katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3482530 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/24
IQNA – Meya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, amemtaja Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kuwa ni mhalifu wa kivita, na kuitaka serikali ya Marekani kutekeleza hati ya kukamatwa kwake iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) iwapo atatia mguu katika ardhi ya Marekani.
Habari ID: 3482524 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/22
IQNA – Magenge ya walowezi wa Kizayuni yamefanya mfululizo wa mashambulizi ya kikatili usiku wa Jumapili katika miji na vijiji mbalimbali katika wilaya za al-Khalil (Hebron) na Nablus katika eneo linalokaliw akwa mabavu na Israel la Ukingo wa Magharibi, ambapo wamechoma moto nyumba na msikiti, wamewashambulia wakazi, na kupora mifugo huku wakilindwa na wanajeshi wa utawala katili wa Israel.
Habari ID: 3482514 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/20
IQNA-Afisa mwandamizi wa Harakati ya Kiislamu ya Mapambano ya Palestina, Hamas, ametoa pongezi za dhati kwa Uhispania kufuatia ushindi wake baada ya mechi ngumu katika fainali ya Kombe la Dunia la FIFA la mwaka 2026, akielezea mafanikio hayo kuwa ni chanzo cha furaha kwa watu wa Palestina na wafuasi wote wa haki, huku akibainisha kuwa ushindi huo ni pigo hasa kwa utawala wa Kizayuni wa Israel na wafadhili wake.
Habari ID: 3482512 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/20
IQNA – Meya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, amesema Jumamosi kuwa utawala wake unachunguza iwapo una mamlaka ya kisheria ya kumkamata Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu, iwapo atatembelea jiji hilo kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa mwezi Septemba.
Habari ID: 3482506 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/19
IQNA – Mtaalamu Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Ardhi za Palestina Zinazokaliwa kwa Mabavu, Francesca Albanese, ametoa wito siku ya Jumapili kwa hati ya haraka ya kukamatwa kwa Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni, Yisrael Katz, baada ya waziri huyo kukiri kufanya jinai za kivita huko Gaza na Lebanon.
Habari ID: 3482478 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/13
IQNA – Mashindano ya Kombe la Dunia la 2026 yanafanyika kote Amerika Kaskazini, lakini “sauti” kuu ya michuano hiyo inayoimbwa bila shaka ni ile ya kuunga mkono Palestina.
Habari ID: 3482439 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/04
IQNA – Mahmoud Khalil, mwanaharakati Mpalestina, amekata rufaa katika Mahakama Kuu ya Marekani ili kuzuia kufukuzwa kwake nchini humo.
Habari ID: 3482279 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/24
IQNA – Kuanzia Gaza hadi Catalonia, Pep Guardiola amedhihirisha kuwa anaamini mambo makubwa zaidi ya soka. Kocha huyo wa Manchester City amejipatia sifa duniani kama mmoja wa watu mashuhuri wanaosimama kidete kutetea haki za watu wa Palestina.
Habari ID: 3482274 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/23
IQNA – Watetezi wa haki za binadamu na maafisa wa Palestina wameilaani hatua wanayoieleza kuwa ni kukiuka kwa mfumo uhuru wa ibada, baada ya utawala haramu wa Israel kwa mara nyingine kuzuia maelfu ya Wapalestina wa Gaza kusafiri kwenda Saudi Arabia kwa ajili ya Hija ya kila mwaka.
Habari ID: 3482268 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/22
IQNA – Mchezaji wa Ufaransa, Sacha Bouy, alivutia hisia wakati wa sherehe za ubingwa wa Ligi ya Uturuki za klabu yake Galatasaray, alipohudhuria hafla ya kukabidhiwa kombe akiwa amebeba bendera ya Palestina.
Habari ID: 3482254 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/18
IQNA – Mlipuko mkubwa umetokea katika kituo cha viwanda katika eneo la Beit Shemesh karibu na mji mtakatifu wa Al‑Quds (Jerusalem), huku mtikisiko wake ukihisiwa katika maeneo mbalimbali ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina la 'Israel'.
Habari ID: 3482248 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/17
Maafisa wa UN katika Siku ya Ukumbusho wa Nakba
IQNA – Wakikumbuka mwaka wa Nakba Ijumaa, maafisa wakuu wa Umoja wa Mataifa wameonya kwamba mateso na uhamishaji walioupata Wapalestina tangu mwaka 1948, baada ya ardhi yao kukoliniwa na Israel, ni maumivu yanayoendelea kwa vizazi na maelfu ya kilomita.
Habari ID: 3482243 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/16
IQNA – Uamuzi wa nyota wa soka wa Hispania, Lamine Yamal, kupeperusha bendera ya Palestina wakati wa gwaride la ushindi wa Barcelona katika La Liga umeibua wimbi kubwa la uungwaji mkono duniani.
Habari ID: 3482237 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/13
IQNA – Katika kumbukumbu ya tukio lenye kuhuzunisha, shirika la Amnesty International limeilaani vikali utawala wa Israel kwa kuendelea kumshikilia daktari wa Gaza, Dkt. Hussam Abu Safiya.
Habari ID: 3482229 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/12