nigeria - Ukurasa 6

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Raia zaidi ya 40 na wanajeshi wasiopungua 20 wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Habari ID: 3472864    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/14

TEHRAN (IQNA)- Watu 69 wameauwa katika shambulio lililofanywa na magaidi wakufurishaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Habari ID: 3472853    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/10

TEHRAN (IQNA) –Serikali ya Nigeria imeruhusu misikiti na maeneo mengine ya ibada kufunguliwa nchini humo lakini kwa masharti maalumu huku zuio la COVID-19 likianza kupunguza.
Habari ID: 3472839    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/05

TEHRAN (IQNA) – Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu Nigeria (NSCIA) limetangaza marufuku ya mijimuiko yote ya kidini katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3472704    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/26

TEHRAN (IQNA) –Mhubiri wa Kiislamu Nigeria amekamatwa katika jimbo la Kano kaskazini mwa nchi hiyo baada ya kuswalisha Sala ya Ijumaa kwa siri kinyume cha amri ya serikali.
Habari ID: 3472688    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/21

TEHRAN (IQNA)- Makumi ya wanajeshi wa Nigeria na magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wameuawa katika mapigano baina yao kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3472613    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/29

TEHRAN (IQNA) - Mahakama ya Nigeria imeakhirisha tena kusikiliza kesi ya Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN), Sheikh Ibrahim Zakzaky hadi mwezi Aprili.
Habari ID: 3472503    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/25

TEHRAN (IQNA) - Kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria pamoja na mkewe iliyokuwa ianze kusikilizwa jana imesogezwa mbele kutokana na hali mbaya ya afya zao iliyowafanya washindwe kufika mahakamani.
Habari ID: 3472448    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/07

TEHRAN (IQNA) – Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wameua Waisalmu watatu na kuwajeruhi wengine 13 katika hujuma iliyotekelezwa nje ya msikiti katika mjini Gowza, jimboni Borno kaskazini mashariki wa nchi hiyo.
Habari ID: 3472410    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/27

Mwanaharakati wa Nigeria
TEHRAN (IQNA) – Mwanaharakati wa Nigeria ambaye ni mwanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) amesema kuuawa shahidi kamanda wa ngazi za juu wa Iran Luteni Jenerali Soleimani kuliwaunganisha wapigania uhuru kote duniani.
Habari ID: 3472391    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/21

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetoa taarifa kulalimikia hatua ya utawala wa nchi hiyo kuendelea kumshikilia korokoroni kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3472374    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/15

TEHRAN (IQNA) –Wananchi wa Nigeria wameshiriki katika maandamano ya kulaani jinai ya Marekani ya kumuua shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis.
Habari ID: 3472351    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/07

TEHRAN (IQNA) – Wananchi wa Nigeria wamendamana kulaani jinai ya Marekani ya kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).
Habari ID: 3472332    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/04

TEHRAN (IQNA) – Imebainika kuwa mwili wa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky una vipande vya mabaki ya risasi.
Habari ID: 3472311    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/28

TEHRAN (IQNA) – Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa SAW kimetoa taarifa na kulaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu kuendelea kushikiliwa kinyume cha sheria kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim al-Zakzaky na mke wake, pamoja na kuwa hali yao ya kiafya imezorota.
Habari ID: 3472285    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/17

Katika mahojiano na IQNA
TEHRAN (IQNA) – Suhaila Zakzaky, bintiye Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria (IMN) ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuishinikiza serikali ya Nigeria kumuachilia huru mwanazuoni huyo wa Kiislamu.
Habari ID: 3472279    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/15

TEHRAN (IQNA) - Daktari wa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky amesema kuwa msomi huyo ameathiriwa na sumu na anapaswa kupewa matibabu haraka iwezekanavyo.
Habari ID: 3472263    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/09

TEHRAN (IQNA)- Mahakama Kuu ya jimbo la Kaduna nchini Nigeria imetoa hukumu ya kupelekwa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe katika jela kuu ya jimbo la Kaduna kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3472259    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/06

TEHRAN (IQNA) –Harakati ya Kiislamu Nigeria (INM) imesema hatua ya serikali ya nchi hiyo kuendelea kumshikilia Sheikh Ibrahim Zakzaky na mke wake ni ukiukwaji wa wazi wa sharia.
Habari ID: 3472255    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/04

Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetangaza kuwa hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky ni mbaya kutokana na alimu huyo kuendelea kuwekwa kizuizini kwa muda mrefu sasa.
Habari ID: 3472172    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/15