iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Mapambano (Muqawama) ya Kiislamu wamekutana, Baghdad, Iraq jana Jumamosi.
Habari ID: 3472497    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/23

TEHRAN (IQNA)- Jildi ya 27 ya Kamusi Elezo (ensaiklopedia) ya Ulimwengu wa Kiislamu imechapishwa katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3472496    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/22

TEHRAN (IQNA) - vikosi vya jeshi la Yemen vimefanya mashamblizi mengine ya kulipiza kisasi kwa kutumia makombora dhidi ya taasisi za shirika kubwa zaidi la mafuta la Saudi Arabia la Aramco katika mkoa wa Madina, magharibi mwa Saudia.
Habari ID: 3472495    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/22

TEHRAN (IQNA)- Wanawe wawili wa kiume wa aliyekuwa Rais wa Misri Hosni Mubarak wameondolewa hatiani na mahakama katika kesi iliyokuwa ikiwakabili ya uuzaji hisa za benki kinyume cha sheria miaka minne kabla ya mwamko wa mwaka 2011 uliopelekea baba yao kuondolewa madarakani baada ya miaka 30 ya utawala wake wa kidikteta.
Habari ID: 3472494    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/22

TEHRAN (IQNA) - Umoja wa Mataifa umetangaza leo kuwa, mazungumzo ya usitishaji vita nchini Libya baina ya vikosi vinavyopigania kuudhibiti mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, yameanza tena mjini Geneva, Uswisi siku kadhaa baada ya serikali ya Libya inayotambuliwa kimataifa kujitoa kwenye mazungumzo hayo kufuatia hatua ya mrengo hasimu ya kushambulia bandari ya Tripoli.
Habari ID: 3472493    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/21

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA) - Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran, amesema, kaulimbiu ya "Mauti kwa Marekani" imetimia kwa kushiriki kwa wingi katika uchaguzi wa Majlisi ya 11 ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) na uchaguzi mdogo wa Baraza la 5 la Wataalamu wanaomchagua Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi.
Habari ID: 3472492    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/21

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema leo asubuhi, amepiga kura katika dakika za awali kabisa za kuanza zoezi la upigaji kura za uchaguzi wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na uchaguzi mdogo wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu.
Habari ID: 3472491    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/21

TEHRAN (IQNA) - Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa, Agnès Callamard amesema Marekani ilikiuka sheria za kimataifa kwa kumuua , Luteni Jenerali Qassem Soleimani aliyekuwa kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3472490    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/20

TEHRAN (IQNA) – Mtengeneza filamu wa Iran Narges Abyar ametunukiwa zawadi kama 'mwanamke bora na aliyefanikiwa zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu."
Habari ID: 3472489    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/20

TEHRAN (IQNA) - Magaidi wakufurishaji wa kundi la Al Shabab wametekeleza mashambulizi dhidi ya vituo viwli vya Jeshi la Somalia katika eneo la Lower Shabelle na kuua askari wasiopungua wanne.
Habari ID: 3472488    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/20

TEHRAN (IQNA) – Warsha ya 'Mazingira kwa Mtaamo wa Qur'ani Tukufu na Sunnah ya Mtume Muhammad SAW imefanyika nchini Qatar.
Habari ID: 3472487    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/19

TEHRAN (IQNA) - Huku vita dhidi ya Yemen vikikaribia kutimiza mwaka wake wa tano, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE au Imarati) ambayo inaunda muungano wa kivita unaoongozwa na Saudi Arabia imo mbioni kuondoa majeshi yake yote katika nchi hiyo.
Habari ID: 3472486    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/19

TEHRAN (IQNA) - Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameendeleza vita vyake dhidi ya Uislamu baada ya kutangaza kuwa atapambana na 'Uislamu wa kisiasa."
Habari ID: 3472485    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/19

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesema Marekani itazama kama ilivyozama ile meli kubwa maarufu ya Titanic.
Habari ID: 3472484    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/18

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kusimama kidete katika njia ya muqawama au mapambano na njia ya demokrasia ya kuitishwa kura ya maamuzi ili Wapalestina wenyewe waamue mustakabali wao ndilo suluhisho la kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3472483    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/18

TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amenukulu aya ya Qur'ani Tukufu kuhusu wakimbizi na akazipongeza Iran na Pakistan kutokana na ukarimu wao katika kuwapa hifadhi wakimbizi wa Afghanistan.
Habari ID: 3472482    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/18

TEHRAN (IQNA) – Kanali ya kwanza ya televisheni ya satalaiti ambayo ni maalumu kwa ajili ya Qur'ani Tukufu imezinduliwa nchini Misri.
Habari ID: 3472481    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/17

TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitiza kuendelea uungaji mkono wa Iran kwa Syria katika vita dhidi ya ugaidi.
Habari ID: 3472480    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/17

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani ni muhusika wa vita vyote eneo la Asia Magharibi na amesisitiza kuwa, ni lazima kuendesha muqawama katika pande zote kukabiliana na utawala huo wa kibeberu wa Marekani.
Habari ID: 3472479    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/17

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vilivyowekwa dhidi ya taifa la Iran havina faida kwa maadui na kuongeza kuwa: Jamhuri ya Kiislamu imevuka vikwazo vya kiwango cha juu vya Marekani.
Habari ID: 3472478    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/16