TEHRAN (IQNA) – Qarii (msomaji) maarufu wa Qur’ani Tukufu kutoka Saudi Arabia, Abubakr al-Shateri ameambukizwa ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472622 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/01
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Somalia imeamuru madrassah za Qur'ani zifungwe ili kuzuia kuenea ugonjwa hatair wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472621 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/31
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Indonesia yameakhirishwa kutokana na hofu ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472620 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/31
TEHRAN (IQNA) -Rais Joko Widodo wa Indonesia ametangaza hali ya hatari kitaifa nchini humo kufuatia kuenea ugojwa wa COVID-19 au corona huku akitangaza hatua za kuwasiadia watu wenye kipato cha chini.
Habari ID: 3472619 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/31
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbulah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah anasema athari za ugonjwa wa COVID-19 (corona) zinaweza kupita zile za Vita vya Kwanza na vya Pili vya Dunia na kuibua mfumo mpya duniani.
Habari ID: 3472618 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/30
TEHRAN (IQNA) - Kuna uwezekano Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ameambukizwa ugonjwa hatari wa COVID-19 au corona baada ya vipimo vya mshauri wake wa karibu kuonesha amekumbwa na maradhi hayo yanayoenenea kwa kasi duniani
Habari ID: 3472617 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/30
TEHRAN (IQNA) - Majeshi ya Yemen yametekeleza oparesheni ya kihistoria na kubwa zaidi ya ulipizaji kisasi ndani ya ardhi ya Saudi Arabia kwa kutumia ndege zisizo na rubani na makombora kulenga maeneo muhimu kistratijia katika ufalme huo.
Habari ID: 3472616 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/30
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ameashiria vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na kusema: Madaktari na wananchi wa Iran daima wamekuwa wakifanya mambo yanayolipa fahari taifa hili na sasa wanapata mafanikio katika kupambana na ugonjwa wa COVID-19 au corona na kusimamia vyema masuala ya nchi.
Habari ID: 3472614 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/29
TEHRAN (IQNA)- Makumi ya wanajeshi wa Nigeria na magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wameuawa katika mapigano baina yao kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3472613 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/29
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mpango wa kuwachunguza watu kiafya nchini Iran kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 au kirusi cha corona ni kazi kubwa ya kujivunia.
Habari ID: 3472612 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/29
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Hizbullah ya Lebanon iko mstari wa mbele kukabiliana na ugonjwa hatari wa COVID-19 au corona katika nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3472610 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/28
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ili kukabiliana ugonjwa wa COVID-19 au corona, ni lazima kutekelezwa kikamilifu na kwa uangalifu mpango wa 'kutokaribiana watu' (social distancing) nchini Iran.
Habari ID: 3472609 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/28
TEHRAN (IQNA)- Idadi ya walioambukizwa ugonjwa wa COVID-19 au corona nchini Saudi Arabia wanazidi kuongezeka huku Uturuki ikiituhumu Saudia kuwa inaficha ukweli kuhusu idadi kamili ya walioambukizwa.
Habari ID: 3472608 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/27
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson ameambukizwa ugonjwa hatari wa COVID-19 au corona unaoenea kwa kasi kubwa dunia nzima.
Habari ID: 3472607 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/27
TEHRAN (IQNA) - Idadi ya watu walioambukizwa ugonjwa wa COVID-19 au corona nchini Marekani imeongezeka na kufikia watu 82,400, hiki kikiwa ni kiwango kikubwa zaidi cha maambukizi ya ugonjwa huo hatari duniani hivi sasa.
Habari ID: 3472606 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/27
Katika Barua ya Nchi 8 kwa Katibu Mkuu wa UN
TEHRAN (IQNA)- Iran, Russia, China, Cuba, Korea Kaskazini, Iraq, Venezuela na Nicaragua zimemuandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambapo mbali na kusisitiza kuwa ugonjwa wa COVID-19 aucorona ni adui wa pamoja wa nchi zote, zimetahadharisha kwamba, vikwazo vina taathira hasi na mbaya kwa udhibiti wa maambukizi ya ugonjwa huo.
Habari ID: 3472605 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/26
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Iran ametangaza mipango na mikakati mipya ya kudhibiti maambukizi ya kirusi cha corona hapa nchini ndani ya wiki mbili zijazo.
Habari ID: 3472604 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/26
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Mauritania wamerejea kwenye Qur'ani Tukufu kwa ajili ya kuomba uponyaji au shufaa na maombezi na kuweza kushinda mashinikizo ya kiakili na kinafsi yanayosababishwa na hofu ya maambukizi ya kirusi cha corona kinachoendelea kusambaa kwa kasi kubwa katika nchi mbalimbali duniani.
Habari ID: 3472602 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/26
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Kuwait imetangaza mpango wa kuanzisha masoo ya kuhifadhi Qur'ani kupitia intaneti baada ya madrassah za Qur'ani nchini humo kufungwa kwa muda ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama kirusi cha corona.
Habari ID: 3472600 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/25
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Ulinzi wa Sudan, Luteni Jenerali Jamaleldin Omar, amefariki baada ya kupata mshtuko wa moyo akiwa Sudan Kusini katika mazungumzo ya amani baina ya serikali na waasi mjini Juba.
Habari ID: 3472599 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/25