iqna

IQNA

daesh
Shujaa Muislamu
IQNA - Kijana wa Kiislamu ambaye aliokoa zaidi ya watu 100 wakati wa shambulio la kigaidi dhidi ya ukumbi wa tamasha mjini Moscow, ameendelea kupongezwa na kuenziwa.
Habari ID: 3478595    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/28

Shujaa
IQNA - Mvulana mwenye umri wa miaka 15 anayeitwa Islam amesifiwa baada ya kuokoa zaidi ya watu 100 wakati wa shambulio la kigaidi kwenye ukumbi wa tamasha mjini Moscow siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3478573    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/25

Ugaidi Afghanistan
TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 32 wameuawa katika shambulio la kigaidi la mripuko wa bomu uliotokea mapema leo katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.
Habari ID: 3475857    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/30

Mshauri wa Rais wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Mshauri wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kaumu na waliowachache kidini amesema kuna haja ya kuwafahaisha vijana utambulisho halisi wa Marekani ambayo inatenda jinai lakini inadai kutetea haki za binadamu.
Habari ID: 3475459    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/04

Ugaidi barani Afrika
TEHRAN (IQNA) – Idara ya Kupambana na Ugaidi ya Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri imetahadharisha kuhusu kuongezeka kwa vitendo vya magaidi nchini Mali.
Habari ID: 3475428    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/26

TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 25 wameuawa kufuatia hujuma ya magaidi wa kundi Boko Haram wanaofungamana na kundi la kigaidi la ISIS Tawi la Afrika Magharibi (ISWAP) katika hujuma dhidi ya kijiji kimoja katika mji wa Askira Uba katika jimbo la Borno Kaskazini mwa Nigeria.
Habari ID: 3474700    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/20

TEHRAN (IQNA)- Kundi la kigaidi la ISIS limetoa taarifa na kudai kuwa limehusika na hujuma za kigaidi nchni Uganda Jumanne.
Habari ID: 3474575    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/18

TEHRAN (IQNA)- Kwa uchache watu 10 wameuawa katika shambulizi la magaidi wakufurishaji walilolenga msikiti wa kijiji kimoja huko magharibi mwa Niger.
Habari ID: 3474421    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/14

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Taliban nchini Afghanistan umetangaza habari ya kuuvunja mtandao wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) katika eneo la kaskazini mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Kabul.
Habari ID: 3474383    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/05

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Misri lilisema Jumapili limewaua watu 89 wanaoshukiwa kuwa waasi katika operesheni Kaskazini mwa Sinai, mkoa ambao kundi la kigaidi linalofungamana na kundi la kigaidi la Daesh limekuwa likitekeleza hujuma.
Habari ID: 3474147    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/01

TEHRAN (IQNA) – Taasisi ya Darul Iftaa ya Misri imelaani vikali hatua ya gazeti la Kimarekani la Washington Post kumsifu kinara wa kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) aliyeuawa kuwa eti alikuwa 'mwanazuoni wa kidini aliyishi kwa unyenyekevu na usahali'.
Habari ID: 3472195    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/31

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Iraq limefanikiwa kuukomboa mji wa kistratijia wa Hawija ambao ulikuwa ngome kuu ya mwisho ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh nchini humo.
Habari ID: 3471206    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/06

Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah Sayyid Hassan Nasrullah
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu harakati ya Hizbullah cha nchini Lebanon amesema ushindi mwingine mkubwa umekaribia nchini humo kwani katika kipindi kifupi kijacho, magaidi wote wa ISIS au Daesh watafurushwa katika mpaka mzima wa Lebanon na Syria na usalama kurejea eneo hilo.
Habari ID: 3471141    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/25

TEHRAN (IQNA)-Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran limetekeleza shambulizi la makombora na kulenga ngome za magaidi wa ISIS au Daesh nchini Syria ambapo mamia ya magaidi wameangamizwa.
Habari ID: 3471025    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/19

Waziri wa Ulinzi wa Iran
IQNA: Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema muungano wa Wamagharibi wa kupambana na ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati ni hatua ya kimaonesho na ya hadaa.
Habari ID: 3470765    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/29

IQNA-Mufti Mkuu wa Syria Sheikh Badreddin Hassoun amesema baadhi ya vituo vinavyojiita kuwa vya Kiislamu barani Ulaya vinaunga mkono kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
Habari ID: 3470713    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/03

Kiongozi wa Harakati wa Hizbullah
Kiongozi wa Harakati wa Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah amesema Saudi Arabia na Marekani ndio waungaji mkono wakuu wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika eneo.
Habari ID: 3470632    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/24

Mufti wa Misri
Mufti wa Misri amevitaka vyombo vya habari vya nchi za Magharibi viache kutumia neno "Dola la Kiislamu" kuliarifisha kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
Habari ID: 3470602    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/07

Kinara wa magaidi wakufurishaji wa ISIS (Daesh), Ibrahim al Sammarai, maarufu kama Abu Bakr al-Baghdadi, amepewa sumu akiwa pamoja na makamanda wengine wa kundi hilo katili.
Habari ID: 3470596    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/03

Baada ya kundi la kigaidi la ISIS kutangaza kuteua kinara mpya wa kundi la kigaidi la Boko Haram, kumeibuka hitilafu huku kinara wa muda mrefu wa Boko Haram akipinga uteuzi huo.
Habari ID: 3470495    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/05