iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imesisitiza kuwa, mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) pamoja na Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa Umma wa Kiislamu na amani na utulivu hauwezi kupatikana bila ya kukombolewa maeneo hayo matakatifu kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3475174    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/27

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani hujuma iliyofanywa na walowezi wa Kizayuni wakisaidiwa na askari wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa.
Habari ID: 3475129    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/15

TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Wapalestina walisaidia katika kusafisha Msikiti wa Al-Aqsa huko katika mji wa Quds (Jerusalem) ambao uko katika sehemu ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kukoloniwa na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475082    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/28

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa kituo cha afya na majengo mengine kadhaa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3474766    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/04

TEHRAN (IQNA)- Mpalestina amekataa dola milioni tano za Kimarekani kutoka wa Wazayuni ambao walikuwa wanataka kumiliki nyumba yake katika mtaa wa Sheikh Jarrah mjini Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474661    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/10

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jordan imelaani hujuma za mara kwa mara za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474353    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa hujuma dhidi ya maeneo matukufu katika mji wa Quds (Jerusalem) inaweza kupelekea kuibuka vita vya kieneo na kuangamizwa utawala huo wa Kizayuni.
Habari ID: 3473947    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/26

TEHRAN (IQNA)- Hali ya taharuki imetanda tena katika viwanja vya Msikiti wa al Aqsa huko Palestina kutokana na hujuma ya walowezi wa Kizayuni wanaowashambulia raia wa Palestina wanaoelekea eneo hilo kwa ajili ya ibada baada ya jeshi la utawala katili wa Israel kushindwa kufikia malengo yake katika vita vya siku 12 huko Gaza.
Habari ID: 3473937    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/23

TEHRAN (IQNA)- Tawi la kijeshi la Harakati ya Mapamabno ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) limevurumisha mamia ya makombora katika miji ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kusababisha hasara kubwa.
Habari ID: 3473909    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/14

TEHRAN (IQNA)- Ijumaa ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambayo pia ilikuwa Siku ya Kimataifa ya Quds ilishuhudia hujuma mpya askari wa utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti Mtakatifu wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473891    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/09

TEHRAN (IQNA)- Ijumaa iliyopita tarehe 7 Mei askari wa utawala haramu wa Israel walivamia msikiti mtakatifu wa al-Asqa katika mji wa Quds (Jerusalem). na kuwapiga kikatili Wapalestina waliokuwa wanatekeleza ibada zao katika msikiti huo. Shirika la Hilali Nyekundu ya Palestina limesema Wapalestina wasiopungua 205 wamejeruhiwa katika hujuma hiyo.
Habari ID: 3473890    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/09

TEHRAN (IQNA) - Utawala wa Kizayuni wa Israel unajaribu kuvuruga mchakato wa uchaguzi wa Bunge la Palestina katika mji wa Quds (Jerusalem) hatua ambayo imekabiliwa na tahadhari kutoka kwa makundi ya kupigania ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3473853    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/27

TEHRAN (IQNA)- Mufti Mkuu wa Misri ametadharisha juu ya njama ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuuyahudisha mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu, na kufuta kabisa utambulisho wake halisi.
Habari ID: 3473687    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/27

TEHRAN (IQNA) - Sheikh Mohammad Hussein, Mufti Mkuu wa Quds (Jerusalem) ameulaani vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuzuia ukarabati wa Msikiti wa Al Aqsa.
Habari ID: 3473597    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/28

TEHRAN (IQNA) – Mufti wa Quds (Jerusalem) amelaani vikali hatua ya Walowezi wa Kizayuni kuuhujumu Msikiti wa Al Aqsa mjini humo na kuweka nembo ya Kiyahudi ya Menorah katika msikiti huo.
Habari ID: 3473464    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/17

TEHRAN (IQNA) – Utawala wa Kizayuni wa Israel umempiga marufuku naibu mkurugenzi wa Idara ya Wakfu ya Mji wa Quds (Jerusalem) kuingia katika Msikiti wa Al Aqsa kwa muda wa miezi sita.
Habari ID: 3473330    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/05

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa wito wa kuanzishwa kamati ya mirengo yote ya Palestina kwa ajili ya kuutetea mji wa Quds Tukufu (Jerusalem) na kuulinda kutokana na hujuma ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473042    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/07

TEHRAN (IQNA) –Zaidi ya Waislamu 30,000 wameshiriki katika Swala ya Ijumaa katika msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) huku wakizingatia kanuni za afya zilizowekwa na idara ya wakfu mjini humo kwa lengo la kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19.
Habari ID: 3472903    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/27

TEHRAN (IQAN)- Swala ya Ijumaa imeswaliwa katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) kwa mara ya kwanza jana baada ya msikiti huo kufungwa kwa wiki kadhaa kutokana na janga la COVID-19.
Habari ID: 3472840    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/06

TEHRAN (IQNA) – Maafisa wa kijasusi wa utawala haramu wa Israel Ijumaa walimkamata Imamu wa Msikiti wa Al Aqsa Sheikh Ekrima Sabri akiwa nyumbani kwake Quds (Jerusalem) Mashariki.
Habari ID: 3472814    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/29