IQNA – Kile kilichoanza kama mzaha wa kistaarabu wa “Siku ya Wajinga wa Aprili” hatimaye kimegeuka kuwa kashfa iliyoangusha uongozi wa rais wa klabu moja ya daraja la chini nchini Uhispania.
Habari ID: 3482141 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/15
IQNA – Licha ya kuonywa, baadhi ya wafuasi wa timu ya taifa ya Uhispania walisikika wakipaza kauli ya kudhalilisha Uislamu wakati wa sare ya Jumanne dhidi ya Misri—kitendo kilichomkasirisha mshambuliaji wa Barcelona, Lamine Yamal.
Habari ID: 3482111 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/01
IQNA – Winga chipukizi wa Klabu ya Soka ya Barcelona na Hispania, Lamine Yamal, amesema kutembelea msikiti humpa mtu utulivu wa kipekee bila kujali dini anayofuata.
Habari ID: 3481781 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/08
IQNA – Wachezaji wa timu ya taifa ya kandanda ya Misri wamesoma aya za Qur’ani Tukufu kwa sauti ya pamoja kabla ya mechi dhidi ya Zimbabwe katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Habari ID: 3481714 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/25
IQNA – Mkurugenzi wa michezo wa klabu ya soka ya Uhispania ya Real Valladolid amesoma aya kutoka kwenye Qur’ani Tukufu kumkaribisha mlinzi mpya wa klabu hiyo, mchezaji wa kimataifa kutoka Morocco, Mohamed Jaouab.
Habari ID: 3481125 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/23
IQNA – Wachezaji wa soka Waislamu nchini Ufaransa wamepigwa marufuku kufunga wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani wanapokuwa wakifanya mazoezi na timu ya taifa.
Habari ID: 3480302 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/04
Michezo
IQNA - Chama cha Soka cha Uingereza (FA) kimeomba msamaha kwa mwana soka mwanamke mwenye uraia pacha wa Uingereza - Somalia.
Habari ID: 3479684 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/02
Wanamichezo Waislamu
IQNA - Picha za mchezaji wa soka wa Tunisia akisoma Qur'ani ndani ya ndege zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3479636 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/23
Wanamichezo Waislamu
RIYADH (IQNA) - Karim Mostafa Benzema, mwana soka wa kulipwa wa Ufaransa ambaye anacheza kama mshambuliaji katika Klabu ya Al-Ittihad ya Ligi Kuu ya Saudia , alipokea zawadi ya nakala ya Qur'ani Tukufu kutoka kwa ripota wa Saudi.
Habari ID: 3477455 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/18
Waislamu na michezo
TEHRAN (IQNA)- Mesut Ozil, mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya soka ya Ujerumani, alihudhuria sala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa Istiqlal katika mji mkuu wa Indonesia Jakarta.
Habari ID: 3475305 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/28
TEHRAN (IQNA)- Wiki za hivi karibuni nchini Uingereza, mshambuliaji Muislamu na Mwarabu wa Timu ya Soka ya Liverpool katika Ligi Kuu ya maarufu kama EPL amevuma kwa umahiri na dini yake.
Habari ID: 3471405 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/26
Algeria imetaka waandalizi wa Kombe la Soka la Dunia 2014 kuwapa nakala za Qur’ani wachezaji na maafisa wa timu yake ya taifa.
Habari ID: 1399941 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/26