iqna

IQNA

yemen
Kadhia ya Palestina
IQNA - Msemaji wa Harakati ya Ansarullah inayotawala Yemen amesisitiza kwamba jambo muhimu zaidi kwa Waislamu katika mwezi mtukufu wa Ramadhani ni uungaji mkono kwa Wapalestina wanaoteseka huko Gaza.
Habari ID: 3478464    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/07

Al Houthi
IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen Abdul-Malik al-Houthi anasema kulengwa kwa meli zinazohusishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kutaendelea katika Bahari ya Sham hadi Wapalestina walioko Gaza watakapoweza kupokea misaada.
Habari ID: 3478254    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/26

Khatibu wa Sala ya Ijumaa
IQNA-Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa Tehran amesema kuwa, leo hii Yemen shujaa inaungwa mkono kila upande na kwamba licha ya kupita siku 100 tangu utawala wa Kizayuni uanzishe jinai zake kila upande lakini imeshindwa kufikia malengo yake huko Ghaza.
Habari ID: 3478188    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/12

Mgogor
IQNA-Msemaji wa majeshi ya Yemen, Brigedia Jenerali Yahya Sarii amesema kuwa, mashambulizi ya kiuadui ya Marekani na Uingereza hayatobadilisha msimamo wa Yemen wa kuliunga mkono taifa la Palestina ikiwemo Gaza na kwamba uadui huo uliofanyika mapema leo Ijumaa dhidi ya Yemen hautoachwa vivi hivi bila ya majibu na kuadhibiwa madola hayo ya kibeberu.
Habari ID: 3478186    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/12

IQNA - Wanazuoni waandamizi wa Kiislamu nchini Yemen katika taarifa wamesisitiza kuwa ni Haramu kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3478131    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/02

Watetezi wa Palestina
IQNA - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen imetangaza kuanza mchakato wa uhamasishaji wa vijana wanaojitolea kuenda kupigana katika vita vya Gaza pamoja na wapiganaji wa harakati za Kiislamu huko Palestina.
Habari ID: 3478070    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/21

Mapambano dhidi ya Israel
SANAA (IQNA) - Yemen imevurumisha makombora ya cruise dhidi ya maeneo ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Habari ID: 3477933    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/23

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya Mapambano ya Kiisalmu (muqawama) ya Ansarullah ya Yemen amezitaka nchi za Kiarabu na Ulimwengu wa Kiislamu kuwa na misimamo ya wazi katika kukabiliana na mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa.
Habari ID: 3477890    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/14

Siasa
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen imekosoa taarifa ya kikao cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu iliyotolewa jana Jumamosi na kusisitiza kuwa, hakuna matumaini ya kuifanyia mageuzi na marekebisho jumuiya hiyo.
Habari ID: 3477025    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/21

Njama za Mabeberu
TEHRAN (IQNA)- Katika hali ambayo, Saudi Arabia na Yemen zimepiga hatua muhimu kwa ajili ya kuhitimisha vita vya Yemen, mashinikizo ya serikali ya Marekani kwa utawala wa Riyadh yamekuwa kikwazo na kizingiti kikuu cha kuhitimishwa vita hivyo.
Habari ID: 3476947    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/02

Maafa
TEHRAN (IQNA)- Makumi ya watu wamepoteza maisha na mamia kujeruhiwa huko Yemen katika mkanyagano uliotokea leo katika zoezi la ugavi wa msaada wa hisani.
Habari ID: 3476895    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/20

Amani
TEHRAN (IQNA)-Harakati ya Ansarullah ya Yemen na Baraza la la Urais linaloungwa mkono na Saudi Arabia (PLC) wamewaachilia huru wafungwa wengi katika mabadilishano ya mwisho ya wafungwa 900 na hivyo kuongeza matarajio ya amani ya nchi nzima katika nchi hiyo iliyokumbwa na vita vikali vinavyoongozwa na Saudi Arabia.
Habari ID: 3476883    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/17

Kukabiliana na maadui wa Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Yemen imepiga marufuku kuingia kwa bidhaa zinazozalishwa na nchi za Ulaya ambazo zimewezesha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu, ambapo kiongozi wa harakati ya muqawama ya Ansarullah ameitaja hatua wanayochukua kuwa ni "vikwazo vya kiuchumi".
Habari ID: 3476802    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/02

Vita vya Saudia dhidi ya Yemen
TEHRAN (IQNA) – Ujumbe kutoka Oman uko katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a, kufanya mazungumzo na wanachama wa ngazi za juu wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah kuhusu kurefusha usitishaji vita unaosimamiwa na Umoja wa Mataifa nchini Yemen.
Habari ID: 3476286    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/22

Maulid ya Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa harakati ya muqawama ya Ansarullah ya Yemen alitoa wito kwa maafisa wa nchi za Magharibi kuacha kuivunjia heshima Qur'ani, Mtume Mtukufu (SAW) na matukufu mengine ya Kiislamu katika nchi hizo.
Habari ID: 3475902    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/09

Waislamu wa Yemen
TEHRAN (IQNA) – Wanazuoni wa Yemen wamesisitiza haja ya kuimarisha umoja wa Kiislamu, wakibainisha kwamba sikukuu ya kuzaliwa kwa Mtukufu Mtume (SAW) ni tukio la kukuza umoja.
Habari ID: 3475854    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/29

Jinai za Saudia nchini Yemen
TEHRAN (IQNA)- Shirika la Kimataifa la Kupambana na Mateso limesema katika ripoti yake kwamba, muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia ndio chimbuko la ukame na njaa inayowakabili wananchi wa Yemen kutokana na kuiziingira nchi nchi hiyo.
Habari ID: 3475836    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesisitiza kuwa, mapambano ya watu wa Palestina na Yemen ni muendelezo wa mapambano ya Ashura katika jangwa la Karbala mwaka 61 Hijria.
Habari ID: 3475790    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16

Hali ya Yemen
TEHRAN (IQNA) – Maadui wa Yemen wamo matatani kweli leo, amesema kiongozi wa harakati ya wananchi ya Ansarullah ya Yemen na kuongeza kuwa wameshindwa katika jaribio lao la kuikalia kwa mabavu nchi hiyo.
Habari ID: 3475720    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02

Vita vya Saudia dhidi ya Yemen
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa harakati ya muqawama (mapambano) ya Ansarullah ya Yemen ameushauri muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia kuchukua fursa ya usitishaji vita ili kukomesha uvamizi wake dhidi ya Yemen sambamba na kusitisha mzingiro wake dhidi ya nchi hiyo.
Habari ID: 3475675    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/24