IQNA-Jeshi la Yemen limeshambulia meli nyingine iliyokuwa inaelekea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina 'Israel', ili kuwaunga mkono Wapalestina wanaokabiliwa na mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3480923 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/10
IQNA- Mamlaka ya anga ya Israel imesitisha safari zote za ndege za kuwasili na kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ben Gurion na kusema kuwa kituo hicho kitaendelea kufungwa "kwa muda usiojulikana" baada ya Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen kufanya shambulio la kombora, kulipiza kisasi vita vya mauaji ya halaiki vinavyoendelea vya utawala wa Tel Aviv dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
Habari ID: 3480912 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/07
IQNA – Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amelaani kuendelea kwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya raia wasio na hatia wa Palestina, huku jumuiya ya kimataifa ikikaa kimya bila kuchukua hatua yoyote.
Habari ID: 3480891 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/04
IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel na kuutaka usitishe hujuma na jinai zake dhidi ya Ukanda wa Gaza vinginevyo utaendelea kuandamwa na mashambulio.
Habari ID: 3480756 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/29
IQNA -Majeshi ya Yemen yamelenga kwa mafanikio uwanja mmoja wa ndege wa Israel na manuwari ya Marekani yenye uwezo wa kusheheni ndege za kivita katika mashambulizi ya makombora siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3480434 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/25
IQNA-Vikosi vya Jeshi la Yemeni vimetangaza shambulio jingine dhidi ya vikosi vya Marekani katika eneo la Bahari ya Shamu, vikitumia makombora na ndege zisizo na rubani ili kuzuia shambulio tarajiwa la Marekani dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3480393 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/18
IQNA – Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeahidi kujibu uchokozi wa kijeshi wa hivi karibuni wa Marekani, kufuatia mashambulizi ya angani ya Marekani na Uingereza ambayo yalilenga maeneo kadhaa kote nchini, ikiwemo mji mkuu, Sanaa, na jimbo la kaskazini la Saada.
Habari ID: 3480380 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/16
IQNA – Kampeni ya kusafisha misikiti kujiandaa kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani imeanzishwa Yemen.
Habari ID: 3480204 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/12
Qarii maarufu
IQNA-Sheikh Muhammad Hussein al-Faqih ni hafidh na qari wa Qur'ani kutoka Yemen ambaye ameanza kujipatia umaarufu kwenye mitandao ya kijamii kutokana na usomaji wake wenye mvuto.
Habari ID: 3480057 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/15
Muqawama
IQNA-Jeshi la Yemen limetangaza kwamba limeilenga kwa mafanikio Wizara ya Vita ya utawala haamu wa Israel na kuitwanga kwa kombora la balestiki.
Habari ID: 3480052 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/14
Diplomasia ya Muqawama
IQNA – Msimamo wa Yemen katika mhimili wa muqawama unatokana na msingi wa Imani, Qur'an Tukufu na mwongozo wa Mwenyezi Mungu, amesema balozi wa nchi hiyo nchini Iran.
Habari ID: 3480032 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/11
Muqawama
IQNA – Katika ulimwengu wa Kiarabu, ni Yemen pekee ambayo imesimama thabiti dhidi ya utawala wa Kizayuni na kwa mshikamano na Gaza na Palestina.
Habari ID: 3479972 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/29
Muqawama
IQNA-Kiongozi wa Harakati za Ansarullah yaYemen amezungumzia uhalifu wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kwamba kile kinachofanywa na adui wa Kizayuni ni mauaji ya kimbari.
Habari ID: 3479962 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/27
Muqawama
IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, kitendo cha utawala wa Israel cha kunyakua ardhi zaidi ya Syria wa hivi karibuni baada ya kuangushwa serikali ya nchi hiyo ni sehemu ya mpango wa utawala huo wa Kizayuni unaoitwa 'Israeli Kubwa'.
Habari ID: 3479924 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/20
Muqawa
IQNA-Zaidi ya walowezi haramu milioni moja wamekimbilia katika mahandaki huku wakiwa na hofu na wahka mkubwa baada ya kombora lililorushwa kutoka upande wa Yemen kutua katika eneo kubwa zaidi la mji wa Tel Aviv katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina bandi la Israel.
Habari ID: 3479920 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/19
Jinai
IQNA-Siku moja baada ya vikosi vya ulinzi vya Yemen kushambulia mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Tel Aviv kwa kombora la 'hypersonic, la Palestina 2 ndege za kivita za Marekani na Uingereza zimeshambulia maeneo kadhaa ya Harakati ya Ansarullah katika mji mkuu wa Yemen, Sana'a
Habari ID: 3479914 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/17
Waungaji mkono Palestina
IQNA - Maelfu ya wananchi wa Yemen waliingia barabarani mjini Saada kutangaza uungaji mkono wao kwa mataifa ya Palestina na Lebanon na kulaani vitendo vya uchokozi vya utawala wa Israel dhidi ya Syria.
Habari ID: 3479896 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/14
Watetezi wa Palestina
IQNA-Wananchi wa Yemen wamefanya maandamano mapya ya kila wiki katika mji mkuu Sana'a na miji kadhaa nchini humo kusisitiza uungaji mkono wao kwa Wapalestina wanaokabiliwa na vita vya mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel.
Habari ID: 3479868 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/07
Muqawama
IQNA - Balozi wa Yemen nchini Iran amesema taifa la Yemen litaendelea kuwa na msimamo thabiti katika kuunga mkono harakati za muqawama au mapambano ya Kiislamu huko Palestina na Lebanon.
Habari ID: 3479560 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08
Msaada
IQNA - Idadi kubwa ya wataalam wa matibabu wa Iran wametoa wametangaza utayari wao wa kwenda Lebanon kuwahudumia watu wa nchi hiyo ya Kiarabu huku utawala wa Kizayuni, ukiendeleza vita dhidi ya nchi hiyo, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479552 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/07