iqna

IQNA

Jinai za Israel
IQNA - Makundi ya kisiasa ya Yemen yamelaani vitendo vya kigaidi vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon ambavyo vilisababisha wengi kuuawa shahidi au kujeruhiwa.
Habari ID: 3479451    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/18

Muqawama
IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen kwa mara nyingine tena amesisitiza uungaji mkono wa nchi hiyo kwa Wapalestina katika kukabiliana na vita vya mauaji ya kimbari ya Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479441    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/16

Waungaji mkono Palestina
IQNA - Harakati mashuhuri ya Yemen ya Ansarullah imesambaza video na picha za sherehe za Maulid ya Mtume Mtukufu (SAW) zilizofanyika kwenye sitaha ya meli ya utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3479439    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/15

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Hatua ya nusu fainali ya mashindano ya Qur'ani kwa vijana nchini Yemen ilianza katika mji mkuu Sana'a Jumatatu usiku.
Habari ID: 3479415    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/11

Maulidi
IQNA - Mamlaka na watu huko Sana'a, mji mkuu wa Yemen, katika wiki za hivi karibuni wamekuwa wakifanya maandalizi ya kufanya Sherehe za Milad-un-Nabi. Sherehe hizi ni za kila mwaka hufanyika kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtukufu Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3479404    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/09

Watetezi wa Palestina
IQNA - Maandamano yalifanyika katika maeneo tofauti ya Yemen siku ya Ijumaa kulaani ukatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza na pia vitendo vya Waisraeli vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479395    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07

Muqawama
IQNA- Badreddin Abdul Malik al-Houthi, kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, katika hotuba yake kuhusu hali mbaya ya hivi sasa ya Umma wa Kiislamu amesema kuna ulazima kufungamana na Mtume Muhammad (SAW0 Mtume na Qur'ani Tukufu, amesisitiza haja ya Waislamu kusoma na kuiga shakhsia ya Mtume (SAW).
Habari ID: 3479387    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/06

Watetezi wa Palestina
IQNA - Maandamano ya kukaa ndani yameandaliwa na wanafunzi na wafanyakazi wa Chuo cha Juu cha Qur'ani Tukufu katika mji mkuu wa Yemen wa Sana'a kulaani kitendo cha jeshi la utawala haramu wa Israel kuvunjiwa heshima nakala za Qur'ani Tukufu hivi karibuni na ukatili wao dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3479366    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/02

Watetezi wa Palestina
IQNA - Takriban watu milioni moja walikusanyika katika mji mkuu wa Yemen wa Sana'a siku ya Ijumaa ili kuelezea mshikamano wao na Wapalestina huko Gaza na pia kulaani jinai ya wanajeshi wa Israel ya kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479356    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/31

Kuiunga Mkono Palestina
Zaidi ya watu milioni moja walishiriki katika maandamano huko Sanaa, mji mkuu wa Yemen, siku ya Ijumaa ili kuthibitisha mshikamano wao na watu wa Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479118    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/13

Jinai za Israel
IQNA - Vikosi vya Yemen vitaendelea kulenga meli yoyote inayoelekea bandari zinazokaliwa kwa mabavu na Israel, bila kujali kama zinapitia Bahari ya Sham au la, kiongozi wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu (muqawma)  ya Ansarullah alisema.
Habari ID: 3478838    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/17

Kadhia ya Palestina
IQNA - Msemaji wa Harakati ya Ansarullah inayotawala Yemen amesisitiza kwamba jambo muhimu zaidi kwa Waislamu katika mwezi mtukufu wa Ramadhani ni uungaji mkono kwa Wapalestina wanaoteseka huko Gaza.
Habari ID: 3478464    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/07

Al Houthi
IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen Abdul-Malik al-Houthi anasema kulengwa kwa meli zinazohusishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kutaendelea katika Bahari ya Sham hadi Wapalestina walioko Gaza watakapoweza kupokea misaada.
Habari ID: 3478254    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/26

Khatibu wa Sala ya Ijumaa
IQNA-Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa Tehran amesema kuwa, leo hii Yemen shujaa inaungwa mkono kila upande na kwamba licha ya kupita siku 100 tangu utawala wa Kizayuni uanzishe jinai zake kila upande lakini imeshindwa kufikia malengo yake huko Ghaza.
Habari ID: 3478188    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/12

Mgogor
IQNA-Msemaji wa majeshi ya Yemen, Brigedia Jenerali Yahya Sarii amesema kuwa, mashambulizi ya kiuadui ya Marekani na Uingereza hayatobadilisha msimamo wa Yemen wa kuliunga mkono taifa la Palestina ikiwemo Gaza na kwamba uadui huo uliofanyika mapema leo Ijumaa dhidi ya Yemen hautoachwa vivi hivi bila ya majibu na kuadhibiwa madola hayo ya kibeberu.
Habari ID: 3478186    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/12

IQNA - Wanazuoni waandamizi wa Kiislamu nchini Yemen katika taarifa wamesisitiza kuwa ni Haramu kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3478131    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/02

Watetezi wa Palestina
IQNA - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen imetangaza kuanza mchakato wa uhamasishaji wa vijana wanaojitolea kuenda kupigana katika vita vya Gaza pamoja na wapiganaji wa harakati za Kiislamu huko Palestina.
Habari ID: 3478070    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/21

Mapambano dhidi ya Israel
SANAA (IQNA) - Yemen imevurumisha makombora ya cruise dhidi ya maeneo ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Habari ID: 3477933    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/23

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya Mapambano ya Kiisalmu (muqawama) ya Ansarullah ya Yemen amezitaka nchi za Kiarabu na Ulimwengu wa Kiislamu kuwa na misimamo ya wazi katika kukabiliana na mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa.
Habari ID: 3477890    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/14

Siasa
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen imekosoa taarifa ya kikao cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu iliyotolewa jana Jumamosi na kusisitiza kuwa, hakuna matumaini ya kuifanyia mageuzi na marekebisho jumuiya hiyo.
Habari ID: 3477025    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/21