iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Mamilioni ya watu wa Yemen wamejitokeza katika Maulidi ya Mtume Muhammad SAW y katika miji mbalimbali ya Yemen ukiwemo mji mkuu Sanaʽa.
Habari ID: 3474440    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/19

TEHRAN (IQNA)- Idadi kubwa ya wananchi wa Yemen Jumanne wamefanya maandamano makubwa katika mkoa wa Saada wa kaskazini wa nchi hiyo kwa mnasaba wa maadhimisho ya tarehe 21 Septemba, siku ya mapinduzi ya nchi hiyo.
Habari ID: 3474326    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/22

Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema kuwa Saudi Arabia na Imarati ni nyenzo zinazotumiwa na Marekani.
Habari ID: 3474320    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/21

Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema Saudi Arabia, utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani ziko kwenye muungano mmoja.
Habari ID: 3474252    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/03

TEHRAN (IQNA)- Jopo la kisheria lililojumuisha mawakili walioko London ambao wanawakilisha waathirika wa mgogoro wa miaka mingi wa Yemen wametaka uchunguzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kuhusu uhalifu wa kivita uliotekelezwa na muungano unaoongozwa na Saudi Arabia katika nchi hiyo masikini zaidi katika Bara Arabu.
Habari ID: 3474244    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/31

TEHRAN (IQNA)- Hali ya kibinadamu inayozidi kuwa mbaya nchini Yemen kutokana na vita vinavyoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo masikini ya Kiarabu na kusema kuwa, mtoto mmoja wa Yemen hupoteza maisha kila baada ya dakika 10.
Habari ID: 3474223    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/24

TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen linasema linasubiri majibu chanya kutoka kwa Umoja wa Mataifa na mjumbe wake mpya wa Yemen, Hans Grundberg, kuhusu mpango uliopendekezwa na Harakati ya Ansarullah kwa ajili ya kusaidia kumaliza vita nchini Yemen.
Habari ID: 3474204    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/18

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa hatua ya utawala wa Aal Saud ya kuzuia kufanyika ibada tukufu ya Hija kwa mwaka wa pili mfululizo kwa kisingizio cha corona ni kuivunjia heshima Nyumba Tukufu ya Allah.
Habari ID: 3474176    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/10

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa kumpenda na kumfuata wasii wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Ali bin Abi Twalib (AS) ndiyo njia ya uokovu na kujikwamua katika makucha ya mabeberu.
Habari ID: 3474139    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/29

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Yemen likishirikiana na Kamati za Kujitolea za Wananchi limeweza kutekeleza kwa mafanikio oparesheni ya Al-Nasr Al-Mubin katika mkoa wa Al-Baidha (Al Bayda).
Habari ID: 3474104    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/16

TEHRAN (IQNA)-Kituo cha sheria mjini Sana'a kimetoa takwimu za jinai zilizofanywa na muungano wa Saudi Arabia katika kipindi cha siku 2,300 za uvamizi wake nchini Yemen.
Habari ID: 3474097    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/13

TEHRAN (IQNA)- Muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia umeua shahidi raia kadhaa na kuwajeruhi wengine katika hujuma dhidi ya mkoa wa Sa'ada nchini Yemen.
Habari ID: 3474059    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/01

TEHRAN (IQNA)- Watoto wa Yemen wamelaani vikali uungaji mkono wa Umoja wa Mataifa kwa muungano vamizi wa Saudia baada ya umoja huo kukataa kukosoa Saudia na waitifaki wake wanaotenda jinai dhidi ya watoto Wa yemen i.
Habari ID: 3474038    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/24

TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Afya ya Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen ameweka wazi athari mbaya za mashambulio ya muungano vamizi wa Saudia dhidi ya Yemen na kuzingirwa nchi hiyo ya Kiarabu
Habari ID: 3474009    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/15

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Hija ya Yemen imelaani vikali hatua ya Saudia kuwazuia Waislamu kutoka nje ya ufalme huo kutekeleza ibada ya Hija.
Habari ID: 3474002    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/13

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Yemen limefanikiwa kumuua kinara wa magaidi wa Daesh ambaye pia ni muitifaki mkubwa wa muungano vamizi wa Saudia katika mkoa wa Ma’rib.
Habari ID: 3473870    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/02

TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Yemen wanajumuika pamoja misikitini katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani pamoja na kuwa nchi yao inakabiliwa na hujuma ya kinyama ya muungano vamizi wa Saudia-Marekani.
Habari ID: 3473820    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/16

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Yemen limetangaza kuwa vikosi vyake vya angani na makombora vimetekeleza oparesheni ya pamoja kwa kutumia makombora saba na ndege zisizo na rubani au drone na kulenga kituo cha kusafisha mafuta cha Aramco mkoani Jizan nchini Saudia.
Habari ID: 3473817    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/15

Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kitendo cha Saudia kuendeleza mzingiro dhidi ya Yemen katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ni kitendo kilicho dhidi ya ubinadmau.
Habari ID: 3473803    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/11

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah Sayyid Abdul-Malik Badreddin al-Houthi amesema Waislamu duniani kote wanapaswa kurejea katika mafundisho ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3473800    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/10