TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 25 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yameanza leo asubuhi mjini Cairo ambapo yanahudhuriwa na wawakilishi wa nchi 50.
Habari ID: 3471442 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/24
TEHRAN (IQNA)- Watoto watu wa familia moja wamehifadhi Qur’ani kikamilifu nchini Misri pamoja na kuwa wamezaliwa wakiwa na ulemavu wa macho.
Habari ID: 3471424 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/10
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Marekani inapanga kuandaa mashindano ya Qur'ani kwa watu walemavu na wale wenye mahitajio maalumu.
Habari ID: 3471417 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/05
TEHRAN (IQNA)-Nakala nne nadra za Qur'ani Tukufu ni kati ya turathi zenye thamani katika maktaba ya Msikiti wa Sayyida Zainab mjini Cairo, Misri.
Habari ID: 3471372 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/26
TEHRAN (IQNA)-Sheikh Khalid al Jundi, mwanachama wa Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu Misri amesikitishwa na uhaba wa wasomaji Qur'ani wanawake nchini humo.
Habari ID: 3471371 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/25
TEHRAN (IQNA)- Waislamu wasiopungua 305 wameuawa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa katika shambulizi la magaidi wa Kiwahhabi dhidi ya msikiti mmoja wa Twariqa katika Peninsula ya Sinai nchini Misri.
Habari ID: 3471278 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/24
TEHRAN (IQNA)-Waziri wa Waqfu na Masuala ya Kiislamu Misri Sheikh Mohamed Mokhtar Gomaa amesema wizara yake itaanzisha shule za Qur’ani katika misikiti yote mikubwa nchini humo.
Habari ID: 3471193 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/26
Inna Lillah wa Inna Ilahyi Rajioun
TEHRAN (IQNA)-Qarii (msomaji) mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka Misri, Sheikh Mohammad Abdul Wahhab el-Tantawi ameaga dunia akiwa na umri wa zaidi ya miaka 70.
Habari ID: 3471089 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/27
Msomi wa Misri
TEHRAN (IQNA)-Mtaalamu wa masuala ya kidini nchini Misri amesema watoto wanapaswa kuepwa mafunzo sahihi ya Qur'ani ili kunusuru vizazi vijavyo visitumbukie katika misimamo mikali na utumiaji mabavu.
Habari ID: 3471063 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/12
TEHRAN-(IQNA)-Waziri wa Waqfu Misri ametangaza kuundwa Baraza Kuu la Qur'ani nchini humo kwa lengo la kuimarisha viwango vya kuhifadhi Qur'ani na kuratibu vituo vya Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3471052 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/06
TEHRAN (IQNA)- Kumefanyika kikao cha siri mjini Cairo kati ya nchi kadhaa za Kiarabu na Utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu mustakabali wa eneo la Palestina la Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471041 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/29
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)-Qarii mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka Misri Ustadh Farajullah Al-Shadhili ameaga dunia Jumatatu tarehe 10 Ramadhani, sawa na 5 Juni.
Habari ID: 3471010 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/06
TEHRAN (IQNA) Baada ya Saudi Arabia, Misri, Imarati na Bahrain kukatika uhusiano na Qatar, wizara ya mambo ya nje wa Qatar imekosoa hatua hiyo.
Habari ID: 3471008 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/05
TEHRAN (IQNA) Wizara ya Waqfu na Masuala ya Kidini Misri limetoa wito wa kuongezwa bajeti ya mashindano ya Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3470983 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/17
TEHRAN (IQNA)-Qarii mtajika na mtaalamu wa Qur'ani kutoka Misri amesema kila mshiriki katika mashindano ya Qur'ani ni mshindi.
Habari ID: 3470946 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/22
TEHRAN (IQNA)-Misri hivi sasa iko katika hali ya tahadhari ya juu kufuatia hujuma mbili za kigaidi zilizolenga makanisa ya Wakristo wa Kikhufti katika miji ya Tanta na Alexandria na kuua watu 49 siku chache zilizopita.
Habari ID: 3470944 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/21
TEHRAN (IQNA)-Mufti Mkuu wa Misri Shawqi Ibrahim Abdel-Karim Allam amesema Imam Ali AS alitabiri kudhihiri kundi la kigaidi la ISIS zaidi ya miaka 1400 iliyopita.
Habari ID: 3470935 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/15
TEHRAN (IQNA)- Watu wa Misri wanamuenzi afisa wa polisi mwanamke Mwislamu ambaye alipoteza maisha yake akijijaribu kumzuia gaidi wa kundi la ISIS kuingia katika kanisa la Kikhufti (Coptic) mjini Alexandria.
Habari ID: 3470933 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/13
TEHRAN (IQNA) Kundi la kigaidi la ISIS limetekeleza hujuma za mabomu dhidi ya makanisa mawili ya Kikhufti (Coptic) katika miji ya Tanta na Alexandria Misri na kuua Wakristo wasiopungua 47.
Habari ID: 3470926 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/09
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 23 la Ijaz (miujiza) katika Qur'ani Tukufu na Sunna ya Mtume SAW limefanyika wiki hii nchini Misri.
Habari ID: 3470923 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/08