iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Msichana M misri mwenye ulemavu wa macho na ambaye pia aliugua saratani amehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3471593    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/14

TEHRAN (IQNA)- Golkipa wa Timu ya Taifa ya Soka ya Misri katika Kombe la Dunia la FIFA 2018 nchini Russia amekataa zawadi ya mchezaji bora ambayo alitunukiwa na shirika moja la utegenezaji na uuzaji pombe.
Habari ID: 3471565    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/19

Sheikh Mkuu wa Al Azhar
TEHRAN (IQNA)-Sheikh Mkuu wa Al Azhar Ahmed el-Tayeb amesema kuna haja ya Waislamu kujifunza lugha ya Kiarabu ili waweze kuifahamu Qur'ani Tukufu na Hadithi za Mtume SAW kwa kina zaidi.
Habari ID: 3471493    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/04

TEHRAN (IQNA)-Mtoto mwenye ulemavu wa machi Misri amefanikiwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamlifu kwa lugha asi ya Kiarabuna pia kwa lugha za Kiingereza na Kifaransa.
Habari ID: 3471450    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/01

TEHRAN (IQNA)-Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Misri wametangazwa ambapo ambapo Ustadh Haitham Sagar kutoka Kenya ameibuka wa pili katika kitengo cha kuhifadhi Qur'ani kwa wale ambao Kiarabu si lugha yao ya asili.
Habari ID: 3471449    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/31

TEHRAN (IQNA)-Baraza la Kimataifa la Wahudumu wa Qur'ani Tukufu limeasisiwa nchini Misri katika kikao kilichohudhuriwa na wataalamu na wanaharakati wa Qur'ani.
Habari ID: 3471443    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/25

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 25 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yameanza leo asubuhi mjini Cairo ambapo yanahudhuriwa na wawakilishi wa nchi 50.
Habari ID: 3471442    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/24

TEHRAN (IQNA)- Watoto watu wa familia moja wamehifadhi Qur’ani kikamilifu nchini Misri pamoja na kuwa wamezaliwa wakiwa na ulemavu wa macho.
Habari ID: 3471424    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/10

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Marekani inapanga kuandaa mashindano ya Qur'ani kwa watu walemavu na wale wenye mahitajio maalumu.
Habari ID: 3471417    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/05

TEHRAN (IQNA)-Nakala nne nadra za Qur'ani Tukufu ni kati ya turathi zenye thamani katika maktaba ya Msikiti wa Sayyida Zainab mjini Cairo, Misri.
Habari ID: 3471372    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/26

TEHRAN (IQNA)-Sheikh Khalid al Jundi, mwanachama wa Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu Misri amesikitishwa na uhaba wa wasomaji Qur'ani wanawake nchini humo.
Habari ID: 3471371    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/25

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wasiopungua 305 wameuawa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa katika shambulizi la magaidi wa Kiwahhabi dhidi ya msikiti mmoja wa Twariqa katika Peninsula ya Sinai nchini Misri.
Habari ID: 3471278    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/24

TEHRAN (IQNA)-Waziri wa Waqfu na Masuala ya Kiislamu Misri Sheikh Mohamed Mokhtar Gomaa amesema wizara yake itaanzisha shule za Qur’ani katika misikiti yote mikubwa nchini humo.
Habari ID: 3471193    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/26

Inna Lillah wa Inna Ilahyi Rajioun
TEHRAN (IQNA)-Qarii (msomaji) mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka Misri, Sheikh Mohammad Abdul Wahhab el-Tantawi ameaga dunia akiwa na umri wa zaidi ya miaka 70.
Habari ID: 3471089    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/27

Msomi wa Misri
TEHRAN (IQNA)-Mtaalamu wa masuala ya kidini nchini Misri amesema watoto wanapaswa kuepwa mafunzo sahihi ya Qur'ani ili kunusuru vizazi vijavyo visitumbukie katika misimamo mikali na utumiaji mabavu.
Habari ID: 3471063    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/12

TEHRAN-(IQNA)-Waziri wa Waqfu Misri ametangaza kuundwa Baraza Kuu la Qur'ani nchini humo kwa lengo la kuimarisha viwango vya kuhifadhi Qur'ani na kuratibu vituo vya Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3471052    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/06

TEHRAN (IQNA)- Kumefanyika kikao cha siri mjini Cairo kati ya nchi kadhaa za Kiarabu na Utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu mustakabali wa eneo la Palestina la Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471041    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/29

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)-Qarii mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka Misri Ustadh Farajullah Al-Shadhili ameaga dunia Jumatatu tarehe 10 Ramadhani, sawa na 5 Juni.
Habari ID: 3471010    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/06

TEHRAN (IQNA) Baada ya Saudi Arabia, Misri, Imarati na Bahrain kukatika uhusiano na Qatar, wizara ya mambo ya nje wa Qatar imekosoa hatua hiyo.
Habari ID: 3471008    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/05

TEHRAN (IQNA) Wizara ya Waqfu na Masuala ya Kidini Misri limetoa wito wa kuongezwa bajeti ya mashindano ya Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3470983    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/17