iqna

IQNA

Maqarii wa Qur'ani kutoka pembe mbali mbali duniani hasa Misri wanaendelea kuomboleza vifo vya maqarii wawili mashuhuri wa Iran waliokuwa wakitekeleza ibada ya Hija katika eneo la Mina karibu na mji mtakatifu wa Makkah.
Habari ID: 3372181    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/27

Wanazuoni wa Kiislamu leo wamemaliza kikao chao Misri ambapo wamejadili ‘fatwa za misimamo mikali’ ambazo zimekuwa zikitolewa na makundi ya kigaidi hasa kundi la kitakfiri la Daesh (ISIS).
Habari ID: 3345846    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/18

Mhadhiri mmoja wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al-Azhar nchini Misri amesema kuwa, hakuna tatizo lolote katika kuwakurubisha pamoja Waislamu wa madhehebu ya Suni na Shia.
Habari ID: 3345811    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/18

Wafuasi 452 wa Harakati ya Ikwanul Muslimin nchini Misri wamehukumiwa kifungo cha miaka mitatu hadi 25 jela katika hukumu iliyotolewa na mahakama ya kijeshi.
Habari ID: 3341805    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/13

Shekhe Mkuu wa Chuo Kikuu cha kidini cha al Azhar nchini Misri amepinga hatua ya wahubiri wa Kiwahabi na Kisalafi ya kutumia kauli isiyofaa ya ‘Rafidh’ kuwataja Wapenzi wa Ahul Bayt wa Mtume SAW.
Habari ID: 3323156    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/04

Maqari 12 kutoka Misri watashiriki katika majlisi na vikao vya kusoma Qur'ani Tukufu nchini Iran katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3317012    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/22

Mahakama ya Misri leo imetoa hukumu ya mwisho dhidi ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Muhammad Mursi na viongozi wengine wa Harakati ya Ikhwanul Muslimeen iliyopigwa marufuku nchini humo.
Habari ID: 3315286    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/16

Mahakama moja nchini Misri imewahukumu kifungo hafifu cha miaka 14 jela watu 23 waliokuwa wanatuhumiwa kwa kutekeleza mauaji dhidi ya Waislamu wanne wa Kishia hapo mwezi Juni mwaka 2013 nchini humo.
Habari ID: 3314097    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/14

Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani hukumu ya kifo dhidi ya rais wa zamani wa Misri Mohammad Morsi na kusema kesi hiyo haikuzingatia taratibu za mahakama.
Habari ID: 3304307    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/17

Misri itakuwa mwenyeji wa mashindano mawili ya kimataifa ya Qur’ani katika miezi michache ijayo.
Habari ID: 2968365    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/12

Sheikh Shawki Ibrahim Abdulkarim Allam Mufti Mkuu wa Misri amesema kuwa, kundi la kigaidi la Daesh (ISIL) ni kundi hatari mno na kusisitiza kwamba kundi hilo la kitakfiri na kigaidi halifungamani kabisa na matukufu ya dini ya Kiislamu na lina fikra na uelewa potofu kuhusiana na dini ya Kiislamu.
Habari ID: 2846216    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/13

Makamu wa zamani wa rais wa Misri Mohammad El Baradei Ijumaa ametuma aya ya Qur’ani kupitia mtandao wa kijamii wa twitter kujibu hujuma za kigaidi zilizotekelezwa na wanamgambo katika eneo la Sinai nchini Misri ambapo watu 30 waliuawa.
Habari ID: 2790529    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/31

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar mjini Cairo Misri amelaani vikali jinai zinazofanywa na makundi ya kitakfiri duniani hasa kundi la Daesh (ISIL).
Habari ID: 2615011    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/04

Sheikh Ahmad Karima Mhadhiri mwandamizi katika Chuo Kikuu cha al Azhar nchini Misri amepigwa marufuku kufundisha na siku zijazo atafunguliwa mashtaka mahakamani, kwa kosa eti la kuitembelea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 1470086    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/04

Waislamu wa Kishia nchini Misri wamemwalika Sheikh Mkuu wa al-Azhar kuhudhuria shughuli ya maombolezo ya Ashura ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein mjukuu wa Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 1465815    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/31

Wawakilishi wa Misri na Morocco wametia saini makubaliano ya ushirikiano katika masuala ya kidini ikiwa ni pamoja na kubadilishana uzefu katika sekta ya uchapishaji na usambazaji wa nakala za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 1450407    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/15

Mufti Mkuu wa Misri Shawki Allam ameipunguza kuwa kifungo cha maisha jela hukumu ya adhabu ya kifo iliyotolewa na mahakama kwa Mohamed Badie, kiongozi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin.
Habari ID: 1445550    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/01

Mufti Mkuu wa Misri
Mufti Mkuu wa Misri amesema kuwa vitendo vinavyofanywa na kundi la Daesh vinapingana na thamani za kibinadamu na Kiislamu na kwamba kundi hilo ni genge la kigaidi ambalo haliwezi kutambuliwa kuwa ni dola la Kiislamu.
Habari ID: 1439297    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/14

Sheikhe mkuu wa Al Azhar Ahmad Tayyib amehutubu katika sherehe za ufunguzi katika sherehe za ufunguzi wa Kombe la Dunia Brazil baadaye hii leo
Habari ID: 1416916    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/12

Muungano wa Wasomaji Qurani Tukufu nchini Misri umemfutia uanachama wa muungano huo Sheikh Farajullah al Shadhilii mmoja kati ya wasomaji Qurani Tukufu mashuhuri nchini Misri kwa sababu tu ya kuadhini kwenye Msikiti wa Kishia nchini Iraq.
Habari ID: 1407016    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/15