hija - Ukurasa 2

IQNA

Hija Katika Qur'ani /8
IQNA-Katika maneno matukufu ya Qur’ani, Mwenyezi Mungu anaitambulisha Kaaba kama nyumba ya kwanza iliyoanzishwa kwa ajili ya ibada ya Mola Mmoja wa kweli. Katika Surah Aal Imran, aya za 96-97, utukufu na umuhimu wa nyumba hii takatifu vinaelezwa wazi:
Habari ID: 3480792    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/05

Msomi wa Bahrain
IQNA – Kwa mujibu wa mtazamo wa Imam Khomeini (RA), Hija ni ibada isiyotenganishwa na wajibu wa kisiasa na wa kidini, amesema mwanazuoni mmoja kutoka Bahrain.
Habari ID: 3480789    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/04

Hija Katika Qur'ani / 6
IQNA – Qur'ani Tukufu inawasilisha ibada za Hija kama fursa adhimu ya kujiimarisha kimaadili, kufanya mazoezi ya kujizuia, na kuandaa zana za kiroho kwa ajili ya maisha ya Akhera. Hii ni fursa isiyokadirika kwa kila Muislamu anayetafuta ukaribu na Mola wake.
Habari ID: 3480780    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/03

IQNA – Ibada ya Hija ni fursa adhimu kwa wasomaji wa Qur'ani kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu kukutana, kushirikiana na kunufaika na tajiriba za wenzao, amesema Qari mmoja kutoka Iran.
Habari ID: 3480771    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/01

IQNA – Jumla ya milango 199 imewezeshwa ili kuboresha mtiririko wa Mahujaji wanaoingia na kutoka katika Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al Haram na Msikiti wa Mtume, Al Masjid an Nabawi, huko Madina wakati wa msimu wa Hija.
Habari ID: 3480768    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/31

Hija katika Qur’ani Tukufu /5
IQNA – Qur’an Tukufu haioneshi Hija tu kama faradhi ya mtu binafsi, bali pia kama mkusanyiko mkubwa wa pamoja wenye faida kwa mtu mmoja mmoja na kwa jamii kwa ujumla.
Habari ID: 3480757    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/30

QNA – Kufuatia tangazo la kuanza kwa mwezi wa Hijria wa Dhul Hijjah, serikali ya Saudi Arabia imepitia upya mipango ya msimu wa Hija wa mwaka huu katika kikao kilichofanyika Jumanne.
Habari ID: 3480755    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/28

Hija Katika Qur’ani /4
IQNA – Kuheshimu alama za ibada za Mwenyezi Mungu ni ishara ya usafi wa ndani wa nafsi na moyo wenye kumcha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3480751    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/28

IQNA – Zaidi ya Waislamu milioni moja kutoka nje ya Saudi Arabia wamewasili katika ufalme huo kwa ajili ya kushiriki katika ibada ya Hija ya kila mwaka, mamlaka husika zimetangaza siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3480749    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/27

IQNA – Mbunge kutoka Iran ameelezea Hija kama fursa muhimu ya kukuza umoja miongoni mwa Waislamu duniani na kuimarisha juhudi za pamoja dhidi ya changamoto za pamoja.
Habari ID: 3480748    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/27

IQNA – Maonesho mapya huko Makkah yanaonesha historia ya Kaaba kwa Mahujaji wanaohudhuria msimu wa Hija mwaka huu wa 1446 Hijria.
Habari ID: 3480742    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/26

Hija katika Qur’ani /3
IQNA – Safa na Marwa si milima miwili tu iliyopo karibu karibu na Msikiti Mtakatifu wa Makka. Ni alama za ibada, za Tauhidi, na kujitolea. Sa’i, yaani kitendo cha kutembea au kukimbia baina ya milima hiyo miwili, ambacho Qur’ani imekitaja kuwa miongoni mwa Sha’a’ir Allah (alama za ibada za Mwenyezi Mungu), ni kitendo chenye uzito kinachorejea katika tukio la kihistoria.
Habari ID: 3480740    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/26

IQNA – Mfululizo wa mifumo ya kiteknolojia ya hali ya juu umetangazwa rasmi kwa ajili ya kuboresha usimamizi wa mahujaji katika Msikiti Mtakatifu wa Makkah kabla ya Hija ya mwaka 1446 Hijri (2025).
Habari ID: 3480735    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/25

Hija Katika Qur’ani/2
IQNA – Katika aya mbalimbali za Qur’ani, ibada za Hija kama Tawafu (kuzunguka Kaaba), kuchinja (udhiya), na nyinginezo, zimeelezwa kuwa sehemu ya ibada za mja kwa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3480733    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/24

IQNA –Roboti mpya ya Manarat Al-Haramain inayotumia Akili Mnemba (AI) imezinduliwa ili kuwasaidia Mahujaji huko Makka, Saudi Arabia.
Habari ID: 3480727    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/23

Hija katika Qur'ani /1
IQNA – Qur'ani Tukufu inaitazama Hija kama haki ya Mwenyezi Mungu juu ya wanadamu, na ni wajibu kwa wale wote walio na uwezo wa kufika katika Nyumba ya Mwenyezi Mungu katika mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3480719    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21

IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran amepinga madai kwamba Waislamu wa madhehebu ya Shia hawana uhusiano wa karibu na Qur'ani Tukufu huku akiyataja madai kama hayo kuwa ni uzushi wa muda mrefu unaoenezwa na maadui wa Uislamu.
Habari ID: 3480707    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/19

IQNA – Uongozi wa Al Masjid an Nabawi (Msikiti wa Mtume) huko Madina umetangaza utekelezaji wa mpango wa kielimu wa kufundisha Qara’at Ashar (mitindo kumi ya usomaji wa Qur'ani) ndani ya msikiti huo.
Habari ID: 3480706    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/19

IQNA – Omid Reza Rahimi ni qari mwenye ulemavu wa macho ambaye amehifadhi Qur'ani ambaye ni mwanachama wa Msafara wa Qur'ani wa Nur (Noor) kutoka Iran, ambao ni ujumbe wa wasomaji Qur'ani katika ibada ya Hija.
Habari ID: 3480699    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/18

IQNA – Ibada ya Hija, inayofanywa kila mwaka, inatajwa katika Qur’an kama bendera ya Uislamu, kulingana na maelezo ya mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran.
Habari ID: 3480698    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/17