iqna

IQNA

IQNA – Maonesho mapya huko Makkah yanaonesha historia ya Kaaba kwa Mahujaji wanaohudhuria msimu wa Hija mwaka huu wa 1446 Hijria.
Habari ID: 3480742    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/26

Hija katika Qur’ani /3
IQNA – Safa na Marwa si milima miwili tu iliyopo karibu karibu na Msikiti Mtakatifu wa Makka. Ni alama za ibada, za Tauhidi, na kujitolea. Sa’i, yaani kitendo cha kutembea au kukimbia baina ya milima hiyo miwili, ambacho Qur’ani imekitaja kuwa miongoni mwa Sha’a’ir Allah (alama za ibada za Mwenyezi Mungu), ni kitendo chenye uzito kinachorejea katika tukio la kihistoria.
Habari ID: 3480740    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/26

IQNA – Mfululizo wa mifumo ya kiteknolojia ya hali ya juu umetangazwa rasmi kwa ajili ya kuboresha usimamizi wa mahujaji katika Msikiti Mtakatifu wa Makkah kabla ya Hija ya mwaka 1446 Hijri (2025).
Habari ID: 3480735    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/25

Hija Katika Qur’ani/2
IQNA – Katika aya mbalimbali za Qur’ani, ibada za Hija kama Tawafu (kuzunguka Kaaba), kuchinja (udhiya), na nyinginezo, zimeelezwa kuwa sehemu ya ibada za mja kwa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3480733    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/24

IQNA –Roboti mpya ya Manarat Al-Haramain inayotumia Akili Mnemba (AI) imezinduliwa ili kuwasaidia Mahujaji huko Makka, Saudi Arabia.
Habari ID: 3480727    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/23

Hija katika Qur'ani /1
IQNA – Qur'ani Tukufu inaitazama Hija kama haki ya Mwenyezi Mungu juu ya wanadamu, na ni wajibu kwa wale wote walio na uwezo wa kufika katika Nyumba ya Mwenyezi Mungu katika mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3480719    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21

IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran amepinga madai kwamba Waislamu wa madhehebu ya Shia hawana uhusiano wa karibu na Qur'ani Tukufu huku akiyataja madai kama hayo kuwa ni uzushi wa muda mrefu unaoenezwa na maadui wa Uislamu.
Habari ID: 3480707    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/19

IQNA – Uongozi wa Al Masjid an Nabawi (Msikiti wa Mtume) huko Madina umetangaza utekelezaji wa mpango wa kielimu wa kufundisha Qara’at Ashar (mitindo kumi ya usomaji wa Qur'ani) ndani ya msikiti huo.
Habari ID: 3480706    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/19

IQNA – Omid Reza Rahimi ni qari mwenye ulemavu wa macho ambaye amehifadhi Qur'ani ambaye ni mwanachama wa Msafara wa Qur'ani wa Nur (Noor) kutoka Iran, ambao ni ujumbe wa wasomaji Qur'ani katika ibada ya Hija.
Habari ID: 3480699    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/18

IQNA – Ibada ya Hija, inayofanywa kila mwaka, inatajwa katika Qur’an kama bendera ya Uislamu, kulingana na maelezo ya mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran.
Habari ID: 3480698    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/17

IQNA – Mwanamume mwenye umri wa miaka 100 na mke wake wa miaka 95 kutoka Aceh ya Kati nchini Indonesia wanajiandaa kujiunga na mamilioni ya Waislamu katika ibada ya Hija ya mwaka huu, wakionyesha imani thabiti na uthabiti wa mwili katika uzee wao.
Habari ID: 3480697    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/17

IQNA – Mbunge wa zamani wa Iran ameielezea Hija kama ibada ya kiroho yenye malipo makubwa, lakini pia yenye manufaa mapana ya kisiasa na kijamii kwa Waislamu kote duniani.
Habari ID: 3480683    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/14

IQNA – Msafara wa Qur'ani wa Nur (Noor) kutoka Iran, ambao ni ujumbe wa wasomaji Qur'ani, unajiandaa kuendesha zaidi ya matukio 220 ya Qur'ani wakati wa ibada ya Hija ya mwaka huu wa 1446 Hijria (2025) katika miji mitakatifu ya Makka na Madina.
Habari ID: 3480682    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/13

IQNA – Kituo cha uelimishaji kwa lugha mbalimbali kimezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka, mji mtukufu.
Habari ID: 3480674    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/12

IQNA – Afisa wa afya kutoka Iran amesisitiza umuhimu wa kuzingatia kanuni za usafi na afya wakati wa safari ya Hija ili kuweza kunufaika vilivyo na safari hii ya kiroho.
Habari ID: 3480669    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/11

IQNA – Taathira chanya ya Hija katika kuimarisha umoja wa Waislamu sio ya eneo maalum wala ya muda mfupi, amesema mtaalamu na mchunguzi.
Habari ID: 3480663    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/10

IQNA – Kubeba kadi ya Nusuk ndani ya Saudi Arabia ni sharti kwa walio katika safari ya Hijja kwani ina taarifa muhimu. Lakini itakuwaje iwapo atapoteza?
Habari ID: 3480655    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/08

IQNA – Mpango mpana wa uendeshaji kwa msimu wa Hija utazinduliwa nchini Saudi Arabia, huku tangazo rasmi likipangwa kutolewa Alhamisi. 
Habari ID: 3480645    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/06

IQNA – Mamlaka za Saudi Arabia zimewakamata raia watano wa kigeni huko Khamis Mushayt, katika mkoa wa Asir kusini mwa nchi, kwa kuhusika na mpango wa kuwatapeli Mahujaji.
Habari ID: 3480642    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/05

IQNA – Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija aameitaja safari ya Hija kama fursa ya dhahabu ya kujitambua na kupata uelewa wa kina zaidi wa Uislamu.
Habari ID: 3480639    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/05