IQNA – Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija aameitaja safari ya Hija kama fursa ya dhahabu ya kujitambua na kupata uelewa wa kina zaidi wa Uislamu.
Habari ID: 3480639 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/05
IQNA--Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei, amesema kuwa lengo la Mwenyezi Mungu katika kwa kuweka ibada ya Hija ni kuwasilisha kielelezo kamili na kinachoelekeza namna ya kuendesha maisha ya binadamu, na akaongeza: muundo na sura ya dhahiri ya ibada hii ni ya kisiasa kabisa, huku maudhui yake yakiwa ya kiroho na ya ibada, ili kuhakikisha manufaa kwa wanadamu wote.
Habari ID: 3480637 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/04
IQNA – Waumini wanaokusudia kutekeleza Ibada ya Hija wanaendelea kuwasili Saudi Arabi na kupokelewa katika Msikiti Mkuu wa Makka, ambapo makundi ya awali yaliwasili mnamo Aprili 30.
Habari ID: 3480626 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/02
IQNA – Uwanja wa ndege wa kimataifa katika mji mtakatifu wa Madina ulipokea kundi la kwanza la waumini wanaotekeleza ibada ya Hija ya mwaka huu wa 1446 (2025) siku ya Jumanne.
Habari ID: 3480620 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30
IQNA –Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanaoelekea katika ibada ya Hija nchini Saudi Arabia mwaka huu wanatarajia kuanza safari yao wiki ijayo, kulingana na
Habari ID: 3480612 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/29
IQNA – Utoaji wa kadi mahiri za Hija za Nusuk, ambazo ni hati rasmi za utambulisho zinazosaidia kutofautisha mahujaji waliopata idhini na wale wasioidhinishwa, umeanza nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3480601 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/27
IQNA – Saudi Arabia imetangaza kuwa zaidi ya Waislamu milioni 18.5 walitekeleza ibada za Hija na Umrah mwaka uliopita.
Habari ID: 3480591 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/25
IQNA – Mpango kamili umeanzishwa kuhakikisha usalama wa vyakula, dawa, na bidhaa za matibabu zinazotolewa kwa Mahujaji katika miji ya Makka na Madina wakati wa msimu ujao wa Hija.
Habari ID: 3480580 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/22
IQNA – Mipango inaendelea kuanzisha maeneo ya kupumzika kwa Mahujaji katika sehemu mbalimbali za Mina, Arafat na Muzdalifah karibu na Makka wakati wa Hija ya kila mwaka.
Habari ID: 3480557 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/18
IQNA – Jumla ya raia 85,000 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran watashiriki katika ibada ya Hija mwaka huu ambapo miongoni mwao 1,100 wana umri wa zaidi ya miaka 80, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3480553 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/17
IQNA – Saudi Arabia imewafukuza raia wa kigeni wasiopungua 8,000 kama sehemu ya kampeni ya usalama kwa lengo la kuhakikisha utaratibu kabla ya Hija ya mwaka huu, Wizara ya Mambo ya Ndani ilitangaza.
Habari ID: 3480540 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/14
IQNA – Saudi Arabia imetangaza msururu wa vikwazo na vizuizi vya kuingia mji mtakatifu wa Makka kabla ya msimu wa Hija
Habari ID: 3480533 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13
Hija na Umrah
IQNA Vifaa mahiri vinatarajiwa kutumika kuboresha viwango vya huduma katika Msikiti Mkuu wa Makka (Masjid Al Haram) na Msikiti wa Mtume wa Medina (Al Masjid An Nabawi), afisa mmoja amesema.
Habari ID: 3480081 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/20
Hija
IQNA - Jeddah nchini Saudi Arabia itakuwa mwenyeji wa toleo la nne la Mkutano na Maonyesho ya Hija mapema mwaka ujao wa Miladia.
Habari ID: 3479908 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/16
Hija na Umrah
IQNA – Mamlaka ya Jumla ya Saudi Arabia kwa Utunzaji wa Masuala ya Msikiti Mkuu na Msikiti wa Mtume imetoa seti ya miongozo tisa kwa mahujaji wa kike, lengo likiwa ni kuhakikisha mazingira yenye mpangilio na heshima kwenye maeneo hayo matakatifu.
Habari ID: 3479869 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/07
Ustawi wa Hija
IQNA - Saudi Arabia imezindua mipango ya kuunda mfumo wa magari yanayotumia nyaya angani (cable cars) ili kuboresha ufikiaji wa Pango la Hira katika Jabal Al Noor, Makka, na mradi huo unatarajiwa kukamilika ifikapo 2025.
Habari ID: 3479299 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/19
Karbala ya Mwaka 1445
Kifuniko, kinachojulikana kama Kiswa, cha Kaaba Tukufu kinatarajiwa kubadilishwa katika siku ya kwanza ya mwezi wa maombolezo ya Muharram, mamlaka ya Saudi ilisema.
Habari ID: 3479079 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/06
Hija ya Mwaka 1445
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Thailand Chada Thaiset aliwataja mahujaji wa nchi hiyo kuwa ni mabalozi wa amani na urafiki.
Habari ID: 3479064 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/04
Hija ya mwaka huu
Mabadiliko ya hali ya hewa yalizidisha hali ya joto nchini Saudi Arabia inayolaumiwa kwa vifo vya watu 1,300 katika ibada ya Hija mwezi huu.
Habari ID: 3479046 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/01
Hija ya 1445
Hatua mpya zimeanzishwa katika Msikiti wa Mtume (SAW) huko Madina ili kuboresha huduma inayotolewa kwa wageni wazee na watu wenye ulemavu.
Habari ID: 3479044 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/01