TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Nchi za Kiislamu (ISBO) na Sheikh Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar wametangaza azma ya kuandaa kikao cha Idhaa za Qur’ani za nchi za Kiislamu mwezi Februari mwaka 2022.
Habari ID: 3474294 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/14
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema, uhusiano na ushirikiano imara baina ya Chuo cha Kidini cha Qum na cha Al Azhar cha Misri unaweza kuwa na matokeo chanya na yenye faida kwa Waislamu duniani katika kupambana na ukufurishaji na misimamo ya kufurutu mpaka.
Habari ID: 3474107 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/17
TEHRAN (IQNA)- Chuo Kikuu cha Al Azhar kimewatunuku Qur'ani Tukufu wageni katika Maonyesho ya 52 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Cairo, Misri.
Habari ID: 3474072 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/05
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri ametuma ujumbe kwa lugha 15 akitaka dunia iwaunge mkono Wapalestina wanaokandamizwa na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473916 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/16
TEHRAN (IQNA)- Sheikh mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri ametoa taarifa na kulaani ‘ugaidi wa Kizayuni’ baada ya wanajeshi wa utawala haramu wa Israel kuwahujumu Wapalestina katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds.
Habari ID: 3473892 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/09
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu ya Al Azhar kwa mara nyingine imesisitiza kuhusu Fatwa yake ya awali kuwa kudungwa chanjo ya COVID-19 au corona hakubatilishi Saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473791 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/07
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar kimetangaza kuwa kudungwa chanjo ya Corona au COVID-19 haitabatilisha Saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473713 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/07
TEHRAN (IQNA) – Uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wa kuchunguza jinai za Israel dhidi ya Wapalestina umeungwa mkono na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na chuo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri.
Habari ID: 3473631 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/08
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Ahmed el-Tayeb, mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha al Azhar ametoa wtio wa kusambazwa chanjo ya corona au COVID-19 kwa usawa.
Habari ID: 3473367 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/17
TEHRAN (IQNA) – Imamu Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri amewakosoa vikali wale ambao wanajaribu kuufungamanisha Uislamu na ugaidi.
Habari ID: 3473277 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/20
Sheikh Mkuu wa Al Azhar
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mkuu wa Al Qur’ani amelaani vikali vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu na kutaja vitendo hivyo vilivyo dhidi ya dini kuwa ni jinai ya kigaidi.
Habari ID: 3473143 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/06
TEHRAN (IQNA) – Chuo Kikuu cha Al Azhar nchini Misri kimeanzisha kampeni maalumu ya kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3473126 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/01
TEHRAN (IQNA) – Imamu Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri Sheikh Ahmed EL-Tayeb amekutana kwa njia ya intaneti na Askofu Mkuu wa Canterbury wa Kanisa la Anglikana Justin Welby ambapo wamejadili njia za kuimarisha uhusiano wa taasisi hizo mbili na kustawisha mazungumzo baina yao.
Habari ID: 3472944 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/09
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kimataifa cha Fatwa katika Chuo Kikuu cha Al Azhar nchini Misri kimetoa taarifa kuhusu uvumizi unaoenezwa kuwa umewadia mwisho wa dunia au qiyamah.
Habari ID: 3472921 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/02
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimelaani matamshi ya mwanasiasa wa mrengo wa kulia wa Austria ambaye alivunjia heshima Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3472881 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/20
TEHRAN (IQNA) - Baraza kuu la kutekeleza malengo ya Waraka wa Urafiki wa Kibinadamu baina ya Taasisi ya Al-Azhar ya Misri na Vatican limetoa wito kwa viongozi na wafuasi wa dini zote duniani kuainisha Mei 14 kama siku maalumu ya duaa na maombi kwa ajili ya kumuomba Mwenyezi Mungu ainusuru dunia kutokana na janga la COVID-19.
Habari ID: 3472733 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/04
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimetoa wito wa kusitishwa vita na umwagaji damu kote duiani.
Habari ID: 3472637 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/06
TEHRAN (IQNA) – Idara ya Kufuatia Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika Chuo cha Al Azhar nchini Misri imelaani hatua mwanasiasa mwenye chuki dhidi ya Uislamu nchini Uholanzi ya kupanga kufanyika mashindano ya vibonzo vya kumdhalilisha Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3472321 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/31
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kimataifa cha Fatwa katika Chuo cha Al Azhar nchini Misri kimetoa taarifa na kusema vazi la Hijabi ni faradhi kwa mujibu wa mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3472227 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/23
TEHRAN (IQNA)- Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimetangaza mpango wa kuwawezesha vijana kuhifadhi Qur'ani Tukufu kwa kutumia programu ya kompyuta inayojulikana kama 'Kitabu cha Kielektroniki'.
Habari ID: 3472154 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/30