qurani tukufu - Ukurasa 81

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Kuwait yataandaliwa tena mwaka huu baada ya kusitishwa kwa muda wa miaka mitatu.
Habari ID: 3475624   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/15

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Vyuo vya Kiislamu nchini Iran amelaani vikali kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Hamburg, Ujerumani.
Habari ID: 3475617   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/13

Haraakti za Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Maonyesho yanayohusiana na sekta ya uchapishaji Qur’ani Tukufu yamefanyika katika mji wa Asir nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3475614   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/12

Waliowachache
TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Pakistan wa Masuala ya Kidini na Upatanifu wa Dini Mbalimbali amesisitiza kwamba Qur’ani Tukufu iliteremshwa kwa ajili ya wanadamu wote, si kwa ajili ya Waislamu pekee.
Habari ID: 3475613   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/12

Ibada
TEHRAN (IQNA) – Sala ni moja ya nguzo za Uislamu na Waislamu wanaamini kuwa ibada hii ni daraja linalowaunganisha na Mwenyezi Mungu SWT. Kwa hivyo, Sala ni muhimu sana kwa kila Muislamu.
Habari ID: 3475610   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/11

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali kitendo cha kichochezi cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu, na kutusiwa matukufu ya Kiislamu nchini Ujerumani.
Habari ID: 3475593   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/08

Sura za Qur'ani Tukufu /23
TEHRAN (IQNA) – Surah Al-Mu’minun ni sura ya Makki ya Qur’ani Tukufu inayoeleza sifa za waumini wa kweli.
Habari ID: 3475575   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/03

Tafakari
TEHRAN (IQNA) – Kwa mtazamo wa Qur’ani Tukufu, wanadamu ni bora kuliko viumbe wengine kutokana na akili na hekima zao na ni kwa ajili ya sifa hii, miongoni mwa nyinginezo, ambapo mwanadamu amechaguliwa kuwa khalifa wa Mwenyezi Mungu duniani.
Habari ID: 3475570   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/02

Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Hafla imefanyika Silopi, mkoa wa Sirnak, kusini mashariki mwa Uturuki, kuzindua shule ya kufundisha vijana kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3475564   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31

TEHRAN (IQNA) - Duru ya kwanza ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya wawakilishi wa Haram Takatifu zilizo katika maeneo mbali mbali imekamikila Jumanne, huko Karbala nchini Iraq.
Habari ID: 3475549   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/27

Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Wanafunzi wa shule katika nchi 52 hadi sasa wamenufaika kutokana na shughuli za jumuiya ya Qur’ani ya Kuwait ambayo inatoa misaada ya kimaisha na huduma za Qur’ani katika sehemu mbalimbali za dunia.
Habari ID: 3475546   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/27

Shakhsia katika Qur'ani/2
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa Qur'ani Tukufu, Hawa ni Mama wa ubinadamu ambaye asili ya kuwepo kwake ni sawa na ile ya Nabii Adam (AS).
Habari ID: 3475544   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/26

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu katika Ukanda wa Gaza imeandaa vikao katika misikiti miwili katika eneo hilo lililozingirwa la Palestina ili kutathmini ujuzi wa Qur’ani Tukufu wa wavulana na wasichana waliohifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3475543   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/26

Qur'ani Tukufu Inasemaje /22
TEHRAN (IQNA) – Baada ya tukio la Mubahala lililotokea kufuatia msisitizo wa Wakristo wa Najran juu ya wao kuwa kwenye haki, aya za Qur’an ziliteremshwa zinazotaka mazungumzo na kuzingatia mambo nukta za pamoja. Hii inaonyesha kwamba mtazamo wa Qur'an ambao unatilia mkazo mwingiliano na mazungumzo.
Habari ID: 3475540   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/25

Idul Ghadir
TEHRAN (IQNA) - Kozi za Qur'ani Tukufu za Kituo cha Kiislamu cha Imam Ali (AS) huko Berlin, mji mkuu wa Ujerumani, zimehitimishwa kwa sherehe Jumapili jioni.
Habari ID: 3475514   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/17

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) – Ofisi ya Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija imeandaa mahafali za qiraa ya Qur’ani Tukufu katika mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3475513   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/17

TEHRAN (IQNA) – Lee Myung Won ni Muislamu kutoka Korea Kusini ambaye hivi sasa anafanya kazi ya kutafsiri Qur'ani Tukufu katika lugha ya Kikorea.
Habari ID: 3475505   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/15

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Wito unaendelea kutolea nchini Jordan wa kubatilisha hatua ya serikali ya kufunga vituo 68 vya Qur’ani nchini humo.
Habari ID: 3475497   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/13

Qur'ani Tukufu Inasemaje/17
TEHRAN (IQNA) – Qur’ani Tukufu inadhihirisha kwamba matendo ya watu binafsi yana athari kubwa na ya moja kwa moja kwa jamii kwani haitoshi kutegemea sheria kali za kijamii kwa ajili ya kurekebisha jamii; badala yake, kuwe na juhudi za kukuza uelewa miongoni mwa wanajamii.
Habari ID: 3475495   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/12

Teknolojia
TEHRAN (IQNA) – Huduma mpya ya kisasa imezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al-Haram, mwaka huu ili kusambaza Misahafu kwa waumini na Mahujaji.
Habari ID: 3475493   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/12