TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni kumesambaa klipu ya qarii Muirani, Mehdi Adeli, akisema aya za Qur'ani Tukufu nchini Uturuki.
Habari ID: 3473951 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/27
TEHRAN (IQNA) –Qarii maarufu wa Qur'ani Tukufu kutoka Iran Ustadh Hamed Shakernejad alitembelea Ujerumani katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka 2019.
Habari ID: 3473923 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/18
TEHRAN (IQNA)- Mwambata wa Utamaduni wa Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania ametangaza kuanzishwa kanali ya YouTube ya kufunza Qur’ani Tukufu kwa wazungumzao lugha ya Kiswahili.
Habari ID: 3473921 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/17
TEHRAN (IQNA)- Surah Al-Qadr ni ya 97 katika Qur'ani Tukufu na ina aya 5.
Habari ID: 3473883 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/06
TEHRAN (IQNA)- Radio ya Qur'ani mjini Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imeandaa mashindano ya Qur'ani Tukufu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473876 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/04
TEHRAN (IQNA)- Qarii mashuhuri wa Iran, Sayyed Javad Hussein amewahi kualikwa maeneo mbali mbali duniani katika vikao vya Qur'ani Tukufu na moja ya nchi hizo ni Bangladesh.
Habari ID: 3473875 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/04
TEHRAN (IQNA)- Haram Takatifu ya Hadhrat Abdul Adhim Hassani (AS) katika eneo la Rey, kusini mwa Tehran imeandaa vikao vya amali katika usiku kwa kwanza wa Laylatul Qadr katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473868 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/02
TEHRAN (IQNA) - Tunaingia kumi la mwisho la Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na hili ni kumi ambalo ndani yake kuna Laylatul-Qadr.
Habari ID: 3473866 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/01
TEHRAN (IQNA)- Haram Takatifu ya Hadhrat Abdul Adhim Hassani (AS) katika eneo la Rey, kusini mwa Tehran huandaa vikao vya qiraa ya Tarteel ya Qur'ani Tukufu kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473854 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/27
TEHRAN (IQNA) – Qarii maarufu wa Qur’ani Tukufu nchini Misri ametuma ujumbe kwa Waislamu kote duniani kwa mnasaba wa kuanza Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473823 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/17
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah Sayyid Abdul-Malik Badreddin al-Houthi amesema Waislamu duniani kote wanapaswa kurejea katika mafundisho ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3473800 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/10
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya kila mwaka ya kuhifadhi Qur’ani katika Umoja wa Falme za Kiarabu yatafanyika kwa njia ya intaneti mwaka huu.
Habari ID: 3473793 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/08
TEHRAN (IQNA) – Radio ya Qur’an ya Qatar imetangaza kuwa tayari kurusha hewani vipindi maalumu vya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473784 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/05
TEHRAN (IQNA)- Wanachama kadhaa wa jamii ya Qur'ani nchini Iran, wakiwemo wasomaji wakongwe wa Qur'ani, wanazuoni na wasimamizi wa taasisi za Qur'ani wamekutana Jumamosi katika ofisi za Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa (IQNA) katika siku ya kwanza ya kazi ya mwaka mpya wa 1400 Hijria Shamsiya
Habari ID: 3473780 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/04
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Qatar imetangaza mpango wa kuanzisha vituo zaidi vya kusomesha wanawake Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3473771 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/30
TEHRAN (IQNA) – Mchezaji maarufu wa soka wa timu ya Ligi Kuu ya England, Mohammad Salah ameonekana akisoma Qur’ani Tukufu akiwa ndani ya ndege.
Habari ID: 3473758 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/24
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Jumamosi alisikiliza qiraa ya Qur'ani katika mji wa kale mji wa Ur Kaśdim kaskazini mwa Iraq, eneo ambalo inaaminika alizaliwa Nabii Ibrahim (Abraham) –Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake.
Habari ID: 3473714 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/07
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Saeed Mohammad Nour, maarufu kama 'Sheikh Saeed' alikuwa qarii maarufu wa Sudan ambaye kwa muda mrefu aliishi Misri na kisha akaaga dunia akiwa nchini Kuwait.
Habari ID: 3473696 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/02
TEHRAN (IQNA) – Mwaka 1994, qarii mashuhuri wa Misri marhum Sheikh Abolainain Shoaisha alitembelea Iran ambapo alishiriki katika kikao cha qiraa ya Qur'ani Tukufu katika Haram ya Hadhrat Abdul Adhim Hassani AS mjini Tehran.
Habari ID: 3473691 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/01
TEHRAN (IQNA) – Mohammad al-Fardi ni baba Mmisri ambaye watoto wake wote 8 wamehifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3473678 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/24