iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya tano ya Qur’ani ya wanawake yanafanyika wiki hii nchini Libya.
Habari ID: 3471131    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/20

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Qur'ani Tukufu barani Ulaya yamepwanga kufanyika katika mji mkuu wa Sweden, Stockholm kwa munasaba wa Siku Kuu ya Idul Ghadir.
Habari ID: 3471108    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/06

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya Qur'ani Tukufu barani Ulaya yamepwanga kufanyika katika mji mkuu wa Sweden, Stockholm.
Habari ID: 3471062    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/12

TEHRAN (IQNA)-Radio Bilal nchini Uganda imeandaa mashindano ya Qur'ani yaliyofanyika katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3471040    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/28

TEHRAN (IQNA)-Televisheni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imerusha hewani mashindano makubwa zaidi duniani ya Qur'ani ya moja kwa moja (live).
Habari ID: 3471035    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/25

TEHRAN (IQNA)-Kufuatia nchi kadhaa za Kiarabu zikiongozwa na Saudia na Umoja wa Falme za Kiarabu UAE kukata uhusiano na Qatar, washiriki wa Qatari na Somalia wametimuliwa katika mashindano ya Qur’ani ya Dubai.
Habari ID: 3471018    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/13

TEHRAN-(IQNA)-Mashindano ya 18 ya Kieneo ya Qur'ani Tukufu yameanza Jumapili nchini Djibouti.
Habari ID: 3471011    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/07

TEHRAN (IQNA)- Sayyed Mostafa Husseini wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangazwa kushika nafasi ya pili katika qiraa katika Mashindano ya 5 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Uturuki.
Habari ID: 3470992    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/24

KUALA LUMPUR (IQNA)-Mashindano ya 59 ya Kimataifa ya Qur'ani yamemalizika Jumamosi katika sherehe iliyofanyika mjini Kuala Lumpur
Habari ID: 3470989    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/21

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu yatafanyika nchini Uganda katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa ushirikiano wa Ofisi ya Utamaduni ya Iran na Radio Bilal nchini humo.
Habari ID: 3470980    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/14

TEHRAN (IQNA)-Wawakilishi kutoka nchi 96 wamethibitisha kushiriki katika Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Dubai katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3470973    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/09

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yamemalizika huku Ustadh Haitham Sagar Ahmad wa Kenya akishika nafasi ya nne katika kuhifadhi Qur'ani kikamilfu.
Habari ID: 3470952    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/26

Mtaalamu wa Qur'ani kutoka Algeria
TEHRAN (IQNA)-Mtaalamu wa masuala ya Qur'ani kutoka Algeria amesema mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Iran mwaka huu ni ya kipekee na ya aina yake duniani.
Habari ID: 3470949    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/24

TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa 10 wa Kimataifa wa Masomo ya Qur’ani unafanyika leo Jumatatu nchini Iran katika mji mtakatifu wa Qum, kusini mwa Tehran.
Habari ID: 3470948    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/24

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur'ani nchini Iran yanapatikana moja kwa moja au live kwa njia ya mtandao wa kijamii wa Instagram na kupitia televisheni ya qurantv.ir/live.
Habari ID: 3470947    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/23

TEHRAN (IQNA)-Qarii mtajika na mtaalamu wa Qur'ani kutoka Misri amesema kila mshiriki katika mashindano ya Qur'ani ni mshindi.
Habari ID: 3470946    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/22

TEHRAN (IQNA) –Raia wa Kenya amefika fainali za Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur'ani Tukufu yanayofanyika nchini Iran.
Habari ID: 3470945    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/22

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yana washiriki kutoka Tanzania, Malawi na Burundi wamewasili Tehran kuwakilisha nchi zao katika mashindano hayo.
Habari ID: 3470942    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/20

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran yamefunguliwa rasmi Jumatano hii katika Ukumbi wa Sala wa Imam Khomeini MA mjini Tehran.
Habari ID: 3470941    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/19

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya kitaifa na kimataifa ya Qur'ani ni kati ya mafanikio makubwa ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na yanalenga kuleta umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3470936    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/16