iqna

IQNA

KUALA LUMPUR (IQNA)-Mashindano ya 59 ya Kimataifa ya Qur'ani yamemalizika Jumamosi katika sherehe iliyofanyika mjini Kuala Lumpur
Habari ID: 3470989    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/21

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu yatafanyika nchini Uganda katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa ushirikiano wa Ofisi ya Utamaduni ya Iran na Radio Bilal nchini humo.
Habari ID: 3470980    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/14

TEHRAN (IQNA)-Wawakilishi kutoka nchi 96 wamethibitisha kushiriki katika Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Dubai katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3470973    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/09

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yamemalizika huku Ustadh Haitham Sagar Ahmad wa Kenya akishika nafasi ya nne katika kuhifadhi Qur'ani kikamilfu.
Habari ID: 3470952    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/26

Mtaalamu wa Qur'ani kutoka Algeria
TEHRAN (IQNA)-Mtaalamu wa masuala ya Qur'ani kutoka Algeria amesema mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Iran mwaka huu ni ya kipekee na ya aina yake duniani.
Habari ID: 3470949    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/24

TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa 10 wa Kimataifa wa Masomo ya Qur’ani unafanyika leo Jumatatu nchini Iran katika mji mtakatifu wa Qum, kusini mwa Tehran.
Habari ID: 3470948    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/24

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur'ani nchini Iran yanapatikana moja kwa moja au live kwa njia ya mtandao wa kijamii wa Instagram na kupitia televisheni ya qurantv.ir/live.
Habari ID: 3470947    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/23

TEHRAN (IQNA)-Qarii mtajika na mtaalamu wa Qur'ani kutoka Misri amesema kila mshiriki katika mashindano ya Qur'ani ni mshindi.
Habari ID: 3470946    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/22

TEHRAN (IQNA) –Raia wa Kenya amefika fainali za Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur'ani Tukufu yanayofanyika nchini Iran.
Habari ID: 3470945    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/22

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yana washiriki kutoka Tanzania, Malawi na Burundi wamewasili Tehran kuwakilisha nchi zao katika mashindano hayo.
Habari ID: 3470942    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/20

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran yamefunguliwa rasmi Jumatano hii katika Ukumbi wa Sala wa Imam Khomeini MA mjini Tehran.
Habari ID: 3470941    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/19

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya kitaifa na kimataifa ya Qur'ani ni kati ya mafanikio makubwa ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na yanalenga kuleta umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3470936    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/16

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamepangwa kuanza tarehe 19 Aprili mjini Tehran.
Habari ID: 3470932    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/12

TEHRAN (IQNA)-Washiriki zaidi ya 280 kutoka nchi 80 wanatazamiwa kushiriki katika mashindano kadhaa ya kimataifa ya Qur’ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mwaka huu.
Habari ID: 3470920    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/06

TEHRAN(IQNA)-Kitengo cha wanawake cha Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jordan yamepangwa kuanza Jumatano Machi 29.
Habari ID: 3470910    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/27

TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Awqaf Misri imesema nchi 40 zimetangaza kuwa tayari kushiriki katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3470904    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/22

IQNA: Mashindano ya 28 ya Qur'ani na Hadithi kwa ajili ya vijana wa nchi za Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi yameanza Februari 26 mjini Muscat, Oman.
Habari ID: 3470869    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/27

IQNA-Iran imechagua wanawake watakaoiwakilisha nchi hii katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yatakayofanyika maeneo mbali mbali duniani mwaka huu.
Habari ID: 3470863    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/22

IQNA: Iran imealika nchi 70 kushiriki katika Mashindano ya Tano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya wanafunzi wa shule.
Habari ID: 3470846    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/12

IQNA: Mashindano ya Qur'ani yamefanyika nchini Tanzania wiki hii kuchagua wawakilishi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki katika mashindano yajayo ya kimataifa katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3470845    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/12