IQNA-Mashindano ya Qur'ani ya Waislamu wa Japan yamefanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tokyo.
Habari ID: 3470778 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/03
IQNA-Hafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka nchini Kuwait ametangazwa mshindi wa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yaliyopewa jina la 'Bingwa wa Mabingwa' nchini Qatar.
Habari ID: 3470723 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/08
IQNA-Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani yamefanyika mapema wiki hii visiwani Zanzibar nchini Tanzania.
Habari ID: 3470712 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/03
IQNA-Qatar imeandaa mashindano maalumu ya Qur'ani ya walioshika nafasi za kwanza katika mashindano ya kimataifa ya Qurani dunaini.
Habari ID: 3470705 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/29
IQNA-Duru ya kwanza ya mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani ya wanawake yamemalizika Dubai Ijumaa usiku.
Habari ID: 3470687 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/20
IQNA-Gazeti moja la Misri limemtaja Binti Muirani mwenye umri wa miaka tisa kuwa ‘kompyuta’ kutokana na ustadi wake katika kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3470668 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/11
IQNA-Binti Muirani mwenye umri wa miaka tisa amejibu vizuri maswali ya jopo la majaji katika mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani ya wanawake.
Habari ID: 3470665 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/10
Mashindano ya Qur'ani ya wanafunzi kwa ajili ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Cairo yameanza.
Habari ID: 3470662 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/08
IQNA-Binti Muirani mwenye umri wa miaka 9, Hannaneh Khalfi yuko katika Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE (Imarati) kushiriki mashindano ya Qur’ani ya wanawake.
Habari ID: 3470650 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/04
Mashindano ya kwanza ya Qur'ani Tukufu kwa wale waliosilimu yamepangwa kufanyika mjini Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE, (Imarati).
Habari ID: 3470624 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/21
Mwambata wa Utamaduni wa Iran nchini Tanzania amesema Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Wanachuo Waislamu ni mjumuiko wa viongozi wa baadaye wa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3470598 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/04
Awamu ya 10 ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani nchini Iran yamemalizika Ijumaa mjini Tehran.
Habari ID: 3470578 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/24
Mashindano ya Qur’ani ya msimu wa joto yameanza mjini Bidiya nchini Oman.
Habari ID: 3470530 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/18
Mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yanafanyika nchini Gambia kwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa nchi 28.
Habari ID: 3470478 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/28
Katibu wa Baraza la Ustawi wa Utamaduni wa Qur’ani Iran amesema Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Wanachuo Waislamu ni tukio la kipekee katika Ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3470445 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/10
Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu yamefanyika hivi karibuni nchini Liberia katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3470402 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/20
Sherehe za kufunga Mashindano ya 4 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Uturuki zimefanyika Ijumaa hii mjini Istanbul.
Habari ID: 3470394 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/18
Qarii wa Muirani Medhi Gholamnejad Jumamosi alionyesha ustadi wake katika kusoma Qur'ani Tukufu katika Mashindano ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Uturuki.
Habari ID: 3470379 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/12