Rais wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia uwezo wa Umma wa Kiislamu katika ulimwengu wa sasa na kueleza kwamba, bendera iliyoinuliwa juu na Imamu Ruhullah Khomeini (RA) ni bendera ya umoja baina ya Waislamu kote duniani.
Habari ID: 3475916 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/12
Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Rais wa zamani wa Afghanistan Hamid Karzai anasema kupambana na itikadi kali na ugaidi ni suluhisho la kivitendo la kuimarisha umoja katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3475910 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/10
Wiki ya Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa 36 wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu unatarajiwa kufanyika wiki ijayo hapa jijini Tehran kwa kuhudhuriwa na makumi ya shakhsia wa kidini wa ndani na nje ya nchi kwa mnasaba wa maadhimisho ya Wiki ya Umoja.
Habari ID: 3475907 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/10
Wiki ya Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa siri ya ushindi wa nchi hii katika sekta mbalimbali ni kuwepo umoja baina ya Masuni na Mashia na kusisitiza kuwa, Waislamu wa Kisuni na pia wa Kishia waliifanya Iran kuwa imara zaidi na yenye nguvu wakati wa kujihami kutakatifu na katika matukio ya ndani kupitia umoja na dhamira yao thabiti.
Habari ID: 3475904 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/09
Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria majaribio ya maadui ya kutaka kuleta mgawanyiko baina ya Waislamu na kuwasilisha taswira potovu ya kuuonyesha Uislamu kuwa ni dini ya ghasia na mapigano na kusema kuna haja ya kutilia mkazo juu ya umoja wa makundi ya Kiislamu na juhudi za kuutambulisha Uislamu wa kweli.
Habari ID: 3475724 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/03
Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Ahlul Bayt AS- yaani watu wa nyumba ya Mtume Muhammad SAW, ni ufungu wa Umoja wa Kiislamu na chimbuko la matumaini katika jamii ya mwanadamu.
Habari ID: 3475717 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/01
Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Khatibu wa Kisunni wa Iraq anasema utawala wa Kizayuni wa Israel unapanda mbegu za mifarakano kati ya mataifa ya Kiislamu ili kufikia malengo yake.
Habari ID: 3475651 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/20
Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA0- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa Tehran Ameashiria ujumbe muhimu wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu na kubainisha kuwa, "Nguzo mbili muhimu za ibada ya Hija ni Dhikr (kumtaja/kumdhukuru Allah) na umaanawi.
Habari ID: 3475477 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/08
Katibu Mkuu wa Baraza la Kukurubisha Madhehebu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Baraza la Kimataifa la Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesisitiza kuwa kulinda uthabiti, usalama, uhuru kujitawala na amani ya nchi za Kiislamu ni jukumu la Waislamu wote na akabainisha kwamba, ikiwa nchi isiyo ya Kiislamu itataka kuzivamia nchi za Kiislamu na kupora sehemu ya ardhi yake na utajiri wake, ni jukumu la kila mtu kusimama ili kuihami na kulinda ardhi hiyo.
Habari ID: 3475448 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/01
Waziri Mkuu wa Malaysia
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Malaysia Ismail Sabri Yaakob amewasihi Waislamu kurejelea Qur’ani Tukufu na Sunnah ya Mtume Muhammad SAW kama miongozo wakati wa kushughulika na kutokuelewana.
Habari ID: 3475445 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/01
Msomi wa Algeria
TEHRAN (IQNA) – Msomi na mwanafikra wa Qur’ani wa Algeria anasema umoja baina ya nchi za Kiislamu ni jambo la lazima na unapaswa kufikiwa katika nyanja tofauti.
Habari ID: 3475409 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/22
Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) amesema ustaarabu mpya wa Kiislamu unaweza kupatikana tu kupitia umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3475302 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27
Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST) amesemakuanzisha umoja wa nchi za Kiislamu ni jambo linalowezekana
Habari ID: 3475301 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, umoja na mshikamano wa Waislamu ndiyo silaha pekee inayoweza kutumiwa kwa ajili ya kupambana na njama zinazofanywa dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474733 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/28
TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utafanyika Abu Dhabi, mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mwezi Disemba.
Habari ID: 3474504 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/02
TEHRAN (IQNA) – Mwakilishi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa (SAW) katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema maadamu hakuna umoja halisi katikaumma wa Kiislamu basi maadui watazidi kueneza chuki dhidi ya Uislamu duniani.
Habari ID: 3474478 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/27
TEHRAN (IQNA)- Msomi wa Kiislamu kutoka Ubelgiji anasema kuna haja ya kuanzisha soko la pamoja la nchi za Kiislamu ili kuleta mabadiliko katika dunia.
Habari ID: 3474472 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/25
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Waislamu hawapaswi kuungana na kusimama pamoja wakati wa matukio fulani maalumu pekee, bali wanapaswa kushirikiana nyakati zote na kustawi pamoja, kwani hilo ni jambo la dharura.
Habari ID: 3474468 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 35 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu limemalizika Jumamosi mjini Tehran baada ya kufanyika kwa muda wa siku tano. Mkutano huo umefanyika kwa mnasaba wa kukumbuka kuzaliwa Mtume Muhammad SAW au Maulid.
Habari ID: 3474465 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi ametuma salamu maalumu na mkono wa baraka na fanaka kwa viongozi wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa maadhimisho ya kukumbuka kuzaliwa Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad Muhammad SAW na Wiki ya Umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3474464 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24