TEHRAN (IQNA) - Saudi Arabia imetangaza kuanza usitishaji vita wa wiki mbili huko Yemen hata hivyo nchi hiyo ilikiuka usitishaji vita huo katika masaa ya awali tu ya kuanza kutekelezwa.
Habari ID: 3472650 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/10
Kiongozi Muadhamu katika hotuba ya Idi ya Nisf Shaaban
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema hitajio la kina na pana la mwanadamu wa leo la kuwa na mkombozi halina kifani katika historia.
Habari ID: 3472649 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/09
TEHRAN (IQNA) – Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametoa hakikisho kuwa, Waislamu watakaofariki nchini humo kutokana na ugonjwa wa COVID-19 au corona watazikwa kwa mujibu wa taratibu za Kiislamu.
Habari ID: 3472648 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/09
TEHRAN (IQNA) – Baraza la Maulamaa Russia limetangaza Fatwa mpya inayowataka Waislamu waswali katika majumba yao katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika mwaka huu wa 1441 Hijria Qamaria ili kuzuia kuenea zaidi ugonjwa ambukizi wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472647 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/09
TEHRAN (IQNA) - Muungano vamizi wa Saudi Arabia na Imarati umeshambulia maeneo mbali mbali ya Yemen zaidi ya mara 300 katika kipindi cha siku saba zilizopita.
Habari ID: 3472645 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/08
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Idara ya Hija na Ziyara ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameelezea matumaini yake kuwa, janga la COVID-19 au corona litamalizika utakapowadia msimu wa joto na kwamba Hija itafanyika kama ilivyopangwa. Hatahivyo ameongeza kuwa, Iran iko tayari kwa hali yoyote itakayojitokeza kuhusu Ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3472643 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/07
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Masuala ya Kidini Algeria imetangaza kuwa, Qiraa ya Qur’ani Tukufu itasikika kupitia vipaza sauti vya misikiti yote nchini humo nusu saa kabla ya Adhana ya adhuhuri kwa lengo la kuibua hali ya kimaanawi na kudumisha utulivu wa kiroho wakati huu wa janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472642 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/07
TEHRAN (IQNA)- Tarehe 15 Shaaban Hijiria Qamaria ni kumbukumbu ya kuzaliwa mwokozi wa ulimwengu, Imam Mahdi –Mwenyezi Mungu Aharakishe Kudhihiri Kwake- (ATF).
Habari ID: 3472641 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/07
TEHRAN (IQNA) – Makundi ya wabaguzi wenye misimamo mikali wa mrengo wa kulia yanatumia janga la ugonjwa wa COVID-19 au corona kueneza chuki dhidi ya Waislamu nchini Uingereza.
Habari ID: 3472640 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/06
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimetoa wito wa kusitishwa vita na umwagaji damu kote duiani.
Habari ID: 3472637 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/06
TEHRAN (IQNA) -Watu wote wa familia moja nchini Yemen wameauwa katika hujuma ya roketi iliyotekeleza na wapiganaji wa muungano wa kivita unaoongozwa na Saudi Arabia.
Habari ID: 3472636 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/05
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu nchin Misri imetangaza kuwa ni marufuku kuandaa futari kwa umma misikitini katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472635 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/05
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa vyuo vya kidini katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia barua Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, na kusema vyuo vya kidini Iran viko tayari kubadilishana uzoefu na vyuo vya kidini na viongozi wa dini za mbinguni kote duniani.
Habari ID: 3472634 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/05
TEHRAN (IQNA) – Ugonjwa wa COVID-19 au corona umepelekea kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu nchini India.
Habari ID: 3472631 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/04
TEHRAN (IQNA) - Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio lake la kwanza kuhusu vita dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 au corona ambapo limetoa wito wa kuweko ushirikiano wa kimataifa kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa huo hatari.
Habari ID: 3472629 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/03
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Pakistan imetnagaza kusitishwa kwa muda sala za Ijumaa za jamaa kubwa kote nchini humo ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3472628 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/03
Hofu ya corona
TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia imetangaza sheria kali ya kutotoka nje katika miji mitakatifu ya Makka na Madina ikiwa ni sehemu za mkakati wa utawala huo wa kifalme kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472627 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/02
Brigedia Jenerali Mohammad Baqeri
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Kamandi ya Vikosi vya Ulinzi vya Iran ameashiria harakati za kijeshi za Marekani nchini Iraq na katika eneo la Ghuba ya Uajemi na kueleza kuwa Marekani itakabiliwa na jibu kali iwapo itachua hatua au kutaka kuteteresha usalama wa Iran.
Habari ID: 3472626 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/02
Iran yatahadharisha
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameashiria harakati za wanajeshi wa Marekani huko Iraq na kueleza kuwa, harakati hizo mbali na kukiuka mamlaka ya kitaifa ya Iraq zinasababisha ghasia na ukosefu wa amani katika eneo la Asia Magharibi.
Habari ID: 3472625 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/02
Hofu ya corona
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Hija wa Saudi Arabia amewataka Waislamu kote duniani kusitiha kwa muda maandalizi ya ibada ya mwaka huu ya Hija hadi pale hali ya mambo kuhusiana na maambukizi ya virusi vya corona duniani itakapobainika vyema.
Habari ID: 3472623 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/01