iqna

IQNA

wafungwa
Jinai za Isarel
TEHRAN (IQNA) - Takriban Wapalestina 74 waliokuwa wakishikiliwa katika jela za utawala wa Kizayuni wa Israel wamekufa shahidi kutokana na kunyimwa huduma kiafya.
Habari ID: 3476287    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/22

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kuanzia 22 Agosti, mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika jela za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel walianzisha mgomo usio na kikomo wa kula chakula wakilalamikia hatua za kidhalimu na maafisa wa utawala huo katika magereza.
Habari ID: 3475679    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/25

TEHRAN (IQNA)- Hatua ya utawala wa Kifalme wa Saudi Arabia ya kuwanyonga watu 81 wakiwemo vijana 41 wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia imekbiliwa na upinzani mkali na jamii ya kimataifa, makundi na harakati za kisiasa katika nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3475034    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13

TEHRAN (IQNA)- Vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel jana Jumanne vimewapiga risasi na kuwajeruhi waandishi wawili wa habari wa Kipalestina katika maandamano ya amani yaliyoandaliwa katika mji wa Al-Khalil (Hebron) unaokaliwa kwa mabavu na utawa huo katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474997    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/02

TEHRAN (IQNA)- Wafungwa wapatao 608 huko Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wamefanikiwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.
Habari ID: 3474801    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/13

TEHRAN (IQNA)- Wafungwa 115 mjini Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu wamepunguziwa adhabu zao kwa miezi sita hadi miaka 20 baada ya kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3474734    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/28

TEHRAN (IQNA)- Wafungwa Wapalestina wakiwa katika mahakama moja ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Nazareth wamempongeza Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah Sayyed Hassan Nasrallah.
Habari ID: 3474657    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/08

TEHRAN (IQNA)- Abdulatif al-Qanua, msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu wa Palestina HAMAS ametahadharisha kuwa, hali mbaya ya mazingira yasiyo ya kibinadamu wanayoishi mateka Wapalestina, ambao wanashikiliwa kwenye magereza ya utawala wa Kizayuni, yatakuwa cheche itakayowasha moto wa mapigano ya kukabiliana na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474538    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/10

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umewakamata Wapalestina zaidi ya 1,280 katika kipindi cha miezi mitati iliyopita.
Habari ID: 3474471    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/25

Ripoti
TEHRAN (IQNA0- Mateka 6 wa Kipalestina wametoa pigo kali kwa hadhi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa hatua yao ya kuchimba njia ya chini ya ardhi iliyopewa jina la "Handaki ya Uhuru".
Habari ID: 3474323    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/21

TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel ijumaa walivamia Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) wakati Wapalestina walipokuwa wakiandamana kubainisha kufungamana na wenzao wanaoteswa katika jela za Israel.
Habari ID: 3474281    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/11

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imepongeza kitendo cha kishujaa cha Wapalestina sita ambapo walitoroka jela lenye ulinzi mkali la utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474270    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/07

TEHRAN (IQNA) – Tangu mwanzo wa mwaka huu wa 2021, Utawala wa Kizayuni wa Israeli umewakamata Wapalestina wasiopungua 1,900, pamoja na idadi kubwa ya watoto, kote mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3474241    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/30

TEHRAN (IQNA)- Afisa mwandamizi wa Umoja wa Mataifa amebainisha wasiwasi wake juu ya kampeni ya utawala wa Israeli ya kuwakamata, kuwatesa na kuwakandamiza watetezi wa haki za binadamu wa Palestina kote Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3474187    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/13

TEHRAN (IQNA)- Wafungwa watano Waplaestina wameanza mgomo wa kususia chakula katika magereza ya kuogofya ya utawala wa Kizayuni wa Israel kama kwa lengo la kulalamikia kushikiliwa gerezani bila ya kubainika makosa yao.
Habari ID: 3474105    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/16

TEHRAN (IQNA)- Kadhia ya wafungwa Wapalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel ni kipaumbele kwa watu wa Palestina.
Habari ID: 3473830    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/19

TEHRAN (IQNA)- Hali ngumu na isiyo ya kibinadamu ya magereza ya utawala wa Israel imepelekea mateka au wafungwa kadhaa kususia chakula kama njia ya kubainisha malalamiko yao.
Habari ID: 3473252    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/12

Kufuatia janga la corona
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imetoa wito kwa taasisi za za kisheria Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu kuchukua hatua za dharura za kuwaokoa mateka Wapalestina wanaoshikiliwa katika jela za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472675    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/17

TEHRAN (IQNA)-Wafungwa 21,000 wanaohudumu vifungo nchini Iran wamehifadhi Qur'ani Tukufu katika viwango mbali mbali.
Habari ID: 3471338    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/01

TEHRAN (IQNA)-Wafungwa 21,000 wanaoshikiliwa katika magereza ya Iran wamehifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3471126    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/16