iqna

IQNA

saudia
Njama za Wazayuni
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa Lebanon na katibu mkuu wa Umoja wa Wanazuoni wa Muqawama au Mapambano ya Kiislamu amelaani vikali ufalme wa Saudia kwa kumteua mhubiri anayeunga mkono utawala haramu wa Israel kuongoza Sala wakati wa Siku ya Arafah wakati wa Hija.
Habari ID: 3475494    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/12

Ibada ya kila mwaka ya Hija ya imeanza rasmi leo Alhamisi katika mji mtakatifu wa Makka, ikiashiria hatua kubwa kuelekea hali ya kawaida baada ya miaka miwili ya janga la corona ambapo idadi ya Mahujaji ilipunguzwa sana.
Habari ID: 3475469    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/07

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) - Waislamu wa Uingereza yamkini hawataweza kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu baada ya kusibiri kwa muda wa miaka wakati Hija ilikuwa marufuku kwa walio nje ya Saudia kutokana na janga la corona.
Habari ID: 3475434    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/27

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) – Tume ya Kitaifa ya Hija ya Nigeria (NAHCON) imelazimika kukataa maombi ya kuongeza nafasi zaidi kwa ajili ya Mahujaji mwaka huu ikisisitiza kuwa nafasi zote zimejaa.
Habari ID: 3475424    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/25

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)- Mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu yameishutumu Saudi Arabia kwa kuingiza siasa katika ibada ya Hija na kuwakandamiza wapinzani.
Habari ID: 3475387    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/17

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Shirika la Hija na Ziyara za Kidini la Iran amesema maafisa wa Saudi bado hawajajibu malalamiko ya nchi kadhaa juu ya kuongezeka kwa gharama za Hija mwaka huu wa 1443 Hijria Qamaria sawa na 2022 Miladia.
Habari ID: 3475344    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/07

Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameashiria mapatano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida baina ya utawala wa Kizayuni wa Israel na baadhi ya nchi za Kiarabu na kusema mapatano kama hayo yatatoa mwanya kwa utawala wa Tel Aviv kujipenyeza zaidi Asia Magharibi.
Habari ID: 3475269    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/20

TEHRAN (IQNA)- Ndege ya kwanza itakayokuwa imewabeba watu wa Iran wanaokusudia kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu itaondoka Tehran kuelekea Saudia mnamo Juni 13.
Habari ID: 3475214    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/06

TEHRAN (IQNA) – Zaidi ya watu 40,000 kutoka nchi mbali mbali duniani wametembelea Maonyesho ya Qur'ani Tukufu ambayo yamefanyika kaitka ukumbi wa Four Points wa Hoteli ya Sheraton Al Naseem katika mji mtakatifu wa Makka nchini Saudia.
Habari ID: 3475196    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/02

TEHRAN (IQNA)- Msimu wa sasa wa Hija ndogo ya Umrah kwa Waislamu kutoka nje ya Saudia utamalizika katika siku ya mwisho ya Mwezi wa Shawwal ambayo inatarajiwa kusadifina na Mei 31.
Habari ID: 3475177    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/27

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Serikali ya Uokoaji wa Kitaifa ya Yemen amesema kuwa, jeshi la Yemen na kamati za wananchi zitatoa jibu kali kwa ukiuka wa makubaliano ya kusitisha vita, akigusia vitendo viovu vya muungano wa vita unaoongozwa na Saudia huko Ma'rib.
Habari ID: 3475165    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/25

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Qur’ani Tukufu na Adhana yajulikanayo kama Otr Elkalam ya Saudi Arabia yamemalizika katika mji wa Jeddah nchini humo.
Habari ID: 3475152    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/21

TEHRAN (IQNA)- Maafisa wa usalama Saudi Arabia wamemkamata raia wa Palestina aliyekuwa akitekeleza ibada ya Umrah katika mji wa Mtakatifu wa Makka kwa sababu tu aliomba dua ya kukombolewa Msikiti wa Al Aqsa unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475144    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/19

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema licha ya sera na azma ya Marekani na washirika wake ya kutaka kulisambaratisha suala la Palestina, na kuifanya dunia isahau uwepo kwa taifa hilo, lakini kadhia ya Wapalestina ipo hai na inazidi kuimarika na kupata nguvu kila siku.
Habari ID: 3475120    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/13

TEHRAN (IQNA)- Abdrabbuh Mansour Hadi, rais wa zamani wa Yemen aliyejiuzulu mwenyewe na kukimbilia Saudi Arabia ametangaza rasmi kukabidhi madaraka kwa baraza jipya la urais lililoundwa karibuni.
Habari ID: 3475096    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/07

TEHRAN(IQNA)-Msemaji wa vikosi vya ulinzi vya Yemen ametoa ufafanuzi wa shambulio la ndege zisizo na rubani lililofanywa na jeshi la nchi hiyo ndani kabisa ya ardhi ya Saudi Arabia kujibu uchokozi na hujuma za kila leo wanazofanyiwa raia wa Yemen na muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na utawala wa Riyadh.
Habari ID: 3475031    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/12

TEHRAN (IQNA)- Idadi ya Waislamu wanaokusudia kutekeleza ibada ya Hija ndogo au Umrah katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani inazidi kuongezeka.
Habari ID: 3475028    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/10

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amewataka walimwengu kujitokeza na kukabiliana na hujuma na mashambulio ya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya wananchi madhulumu wa Yemen.
Habari ID: 3474896    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/06

TEHRAN (IQNA)- Milipuko kadhaa mikubwa imesikika katika anga ya Umoja wa Falme za Kiarabu punde tu baada ya majeshi ya Yemen kutangaza oparesheni kubwa ya ulipizaji kisasi dhidi ya vituo muhimu vya kiuchumi vya nchi hiyo.
Habari ID: 3474871    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/31

TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya wananchi katika miji mingi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameshiriki katika maandamano ya kuunga mkono taifa linalodhulumiwa la Yemen na kulaani jinai zinazotendwa na muungano vamizi unaoongozwa na Saudia dhidi ya taifa hilo.
Habari ID: 3474861    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/28