iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Kyrgyzstan, Sadyr Japarov, amekutana na mwakilishi wa nchi hiyo aliyeibuka mshindi wa mashindano ya hivi karibuni ya kimataifa ya Qur'ani nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476184    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/02

Hali ya Yemen
TEHRAN (IQNA) – Maadui wa Yemen wamo matatani kweli leo, amesema kiongozi wa harakati ya wananchi ya Ansarullah ya Yemen na kuongeza kuwa wameshindwa katika jaribio lao la kuikalia kwa mabavu nchi hiyo.
Habari ID: 3475720    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02

Kaaba Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Maafisa kadhaa wa Saudia walihudhuria sherehe za kila mwaka za kuosha Kaaba Tukufu katika mji wa Makka Jumanne asubuhi.
Habari ID: 3475630    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16

Ibada ya Umrah
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Urais Mkuu wa Masuala ya Misikiti Miwili Mitukufu ya Makka na Madina imepokea kundi la kwanza la Waislamu waliongia Saudia kutekeleza ibada ya Hija ndogo ya Umrah Jumamosi.
Habari ID: 3475563    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31

Njama za Wazayuni
TEHRAN (IQNA)- Chama cha wasomi wa Kiislamu Yemen kimesema watawala wa Saudi Arabia hawastahili kusimamia maeneo matakatifu zaidi ya Kiislamu ya Makka na Madina baada Yahudi Muisraeli kuachwa kuingia katika maeneo hayo.
Habari ID: 3475528    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/23

Njama za Wazayuni
TEHRAN (IQNA) –Saudi Arabia inasema imemkamata raia wake ya ambaye alimuwezesha mwandishi habari Yahudi Muisraeli kuingia katika mji mtakatifu wa Makka, jambo ambalo ni kinyume cha sheria kwani wasio Waislamu hawaruhusiwi kuingia katika eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3475522    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/22

Umrah
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia ilitangaza kurejesha utoaji wa visa za Umrah baada ya kusitishwa wakati wa msimu wa Hija.
Habari ID: 3475511    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/16

Njama za Wazayuni
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa Lebanon na katibu mkuu wa Umoja wa Wanazuoni wa Muqawama au Mapambano ya Kiislamu amelaani vikali ufalme wa Saudia kwa kumteua mhubiri anayeunga mkono utawala haramu wa Israel kuongoza Sala wakati wa Siku ya Arafah wakati wa Hija.
Habari ID: 3475494    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/12

Ibada ya kila mwaka ya Hija ya imeanza rasmi leo Alhamisi katika mji mtakatifu wa Makka, ikiashiria hatua kubwa kuelekea hali ya kawaida baada ya miaka miwili ya janga la corona ambapo idadi ya Mahujaji ilipunguzwa sana.
Habari ID: 3475469    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/07

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) - Waislamu wa Uingereza yamkini hawataweza kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu baada ya kusibiri kwa muda wa miaka wakati Hija ilikuwa marufuku kwa walio nje ya Saudia kutokana na janga la corona.
Habari ID: 3475434    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/27

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) – Tume ya Kitaifa ya Hija ya Nigeria (NAHCON) imelazimika kukataa maombi ya kuongeza nafasi zaidi kwa ajili ya Mahujaji mwaka huu ikisisitiza kuwa nafasi zote zimejaa.
Habari ID: 3475424    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/25

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)- Mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu yameishutumu Saudi Arabia kwa kuingiza siasa katika ibada ya Hija na kuwakandamiza wapinzani.
Habari ID: 3475387    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/17

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Shirika la Hija na Ziyara za Kidini la Iran amesema maafisa wa Saudi bado hawajajibu malalamiko ya nchi kadhaa juu ya kuongezeka kwa gharama za Hija mwaka huu wa 1443 Hijria Qamaria sawa na 2022 Miladia.
Habari ID: 3475344    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/07

Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameashiria mapatano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida baina ya utawala wa Kizayuni wa Israel na baadhi ya nchi za Kiarabu na kusema mapatano kama hayo yatatoa mwanya kwa utawala wa Tel Aviv kujipenyeza zaidi Asia Magharibi.
Habari ID: 3475269    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/20

TEHRAN (IQNA)- Ndege ya kwanza itakayokuwa imewabeba watu wa Iran wanaokusudia kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu itaondoka Tehran kuelekea Saudia mnamo Juni 13.
Habari ID: 3475214    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/06

TEHRAN (IQNA) – Zaidi ya watu 40,000 kutoka nchi mbali mbali duniani wametembelea Maonyesho ya Qur'ani Tukufu ambayo yamefanyika kaitka ukumbi wa Four Points wa Hoteli ya Sheraton Al Naseem katika mji mtakatifu wa Makka nchini Saudia.
Habari ID: 3475196    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/02

TEHRAN (IQNA)- Msimu wa sasa wa Hija ndogo ya Umrah kwa Waislamu kutoka nje ya Saudia utamalizika katika siku ya mwisho ya Mwezi wa Shawwal ambayo inatarajiwa kusadifina na Mei 31.
Habari ID: 3475177    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/27

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Serikali ya Uokoaji wa Kitaifa ya Yemen amesema kuwa, jeshi la Yemen na kamati za wananchi zitatoa jibu kali kwa ukiuka wa makubaliano ya kusitisha vita, akigusia vitendo viovu vya muungano wa vita unaoongozwa na Saudia huko Ma'rib.
Habari ID: 3475165    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/25

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Qur’ani Tukufu na Adhana yajulikanayo kama Otr Elkalam ya Saudi Arabia yamemalizika katika mji wa Jeddah nchini humo.
Habari ID: 3475152    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/21

TEHRAN (IQNA)- Maafisa wa usalama Saudi Arabia wamemkamata raia wa Palestina aliyekuwa akitekeleza ibada ya Umrah katika mji wa Mtakatifu wa Makka kwa sababu tu aliomba dua ya kukombolewa Msikiti wa Al Aqsa unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475144    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/19