IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Israel ililazimika "kusalimu amri na kuing'ang'ani Marekani" kwa kukata tamaa, wakati wa vita vya hivi karibuni vya siku 12 dhidi ya Iran, na kuthibitisha kuwa haina na uwezo wa kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu bila msaada.
Habari ID: 3480956 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/16
IQNA – Shirika la Kimataifa la Habari za Qur’ani limeandaa warsha ya kimtandaoni (webinar) ya kimataifa iitwayo "Hadhi na Nguvu ya Iran; Ujumbe Zaidi ya Makombora" itakayofanyika mwishoni mwa wiki hii.
Habari ID: 3480952 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/16
Jamii ya Qur’ani Tukufu nchini Iran imejumuika katika Mahafali ya Qur’ani Tukufu iliyofanyika Alhamisi, tarehe 11 Julai, jijini Tehran, chini ya anuani “Kuelekea Ushindi”. Katika mkusanyiko huo, hadhirina waliwakumbuka na kuwaenzi mashahidi wa mapambano, na wakaahidi tena uaminifu wao kwa malengo matukufu ya makamanda waliouawa shahidi pamoja na mashujaa wa vita vya siku 12.
Habari ID: 3480929 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12
IQNA – Qari maarufu wa Iran, Ustadh Ahmad Abolqsemi, alisoma kwa umahiri aya za Qur'ani Tukufu za 138 hadi 150 za Surah Al-Imran katika hafla maalum iliyofanyika Tehran mnamo Julai 10, 2025, kwa ajili ya Khitma ya mashahidi waliouawa katika uvamizi wa hivi karibuni wa siku 12 wa pamoja wa Marekani na Israel dhidi ya Iran.
Habari ID: 3480927 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/11
IQNA – Jumuiya ya Qur'ani ya Iran imepanga kuandaa mikusanyiko 114 ya usomaji wa Qur'ani katika maeneo mbalimbali ya nchi, kwa ajili ya kuwaenzi mashahidi wa mashambulizi ya hivi karibuni ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3480917 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/08
IQNA – Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amelaani kuendelea kwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya raia wasio na hatia wa Palestina, huku jumuiya ya kimataifa ikikaa kimya bila kuchukua hatua yoyote.
Habari ID: 3480891 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/04
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Mienendo ya hivi karibuni ya kindumakuwili ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) inatia wasiwasi na inasababiisha changamoto kubwa kwa imani ya umma ya taifa la Iran."
Habari ID: 3480879 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/01
IQNA – Jumuiya ya Wanaharakati wa Qur’an ya Iran imelaani vikali matusi na vitisho vya rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ikiyataja matamshi hayo kuwa shambulizi la moja kwa moja dhidi ya umoja wa Kiislamu na maadili ya Uislamu.
Habari ID: 3480877 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/01
IQNA – Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, ameisifu hadhira kubwa ya Wairani waliohudhuria mazishi ya pamoja yaliyofanyika Jumamosi mjini Tehran kwa ajili ya mashujaa waliouawa shahidi katika hujuma ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya Iran.
Habari ID: 3480863 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/28
IQNA-Leo Jumamosi tarehe 28 mwezi Juni 2025 inayosadifiana na tarehe pili Muharram 1447 Hijria Tehran inashuhudia shughuli kubwa na ya kihistoria ambapo zaidi ya mashahidi 60 wa muqawama kuanzia makamanda wa jeshi hadi raia wa kawaida wa wanawake na watoto, wameagwa na umati mkubwa wa wananchi wanamapinduzi wa Iran.
Habari ID: 3480861 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/28
IQNA - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei amelipongeza taifa la Iran kwa ushindi dhidi ya utawala wa Israel na Marekani pamoja na umoja wa ajabu wa taifa la Iran.
Habari ID: 3480859 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/26
IQNA - Mshikamano wa Waislamu katika ulimwengu wa Kiislamu umefikia kiwango kisicho na kifani kufuatia Operesheni ya Ahadi ya Kweli III dhidi ya utawala wa Israel, mwanazuoni mmoja anasema.
Habari ID: 3480855 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/25
IQNA - Waziri wa Afya wa Iran Daktari Mohammad Reza Zafarghandi amesema idadi ya waliouawa katika hujuma ya utawala wa Israel dhidi ya Iran ni 606.
Habari ID: 3480854 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/25
IQNA-Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran limetoa taarifa Jumanne na kuthibitisha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umelazimika kukubali mapatano ya usitishaji vita .
Habari ID: 3480853 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/24
IQNA-Mohammad Eslami Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuwa, hatuna imani tena na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) na ukaguzi wake, kwa sababu zana zote hizo zimetumika katika kufanya ujasusi kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3480852 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/22
IQNA-Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran imetoa taarifa ikilaani hujuma na uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya taifa hili vinavyofanya shughuli zake kwa malengo ya amani.
Habari ID: 3480851 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/22
IQNA-Waziri wa zamani wa Utamaduni wa Iran ameeleza jinsi Mahujaji wa kigeni na watu wa Saudia wanavopongeza jibu halali la Iran kufuatia uhokozi na uvamizi wa utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3480850 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/21
IQNA-Maandamano yamefanyika katika nchi kadhaa za eneo siku ya Ijumaa kutangaza kufungamana na Iran wakati huu wa kukabiliana na hujuma ya kichokozi na kijinai ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3480849 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/21
IQNA-Imam wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri amelanaani ikali mashambulizi yanayoendelea ya utawala haramu wa Israeldhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3480848 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/21
IQNA-Mufti wa Libya, Sheikh Sadiq al Ghariani amesema kuwa vita vinavyooendelea kati ya Iran na Israel ni vita baina ya Uislamu na ukafiri.
Habari ID: 3480847 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/20