iqna

IQNA

Muqawama
IQNA - Harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah imesema imepata ushindi dhidi ya utawala wa Kizayuni, na kuongeza kuwa adui Mzayuni alijidanganya na hivyo alishindwa kudhoofisha azma ya Hizbullah.
Habari ID: 3479821    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/28

Muqawama (Mapambano ya Kiislamu)
IQNA- Hatimaye baada ya miezi 14 ya vita vikali kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon, usitishaji vita wa siku 60 umeanza kutekelezwa asubuhi ya leo (Jumatano) baina ya pande hizo mbili.
Habari ID: 3479815    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/27

Msaada
IQNA - Idadi kubwa ya wataalam wa matibabu wa Iran wametoa wametangaza utayari wao wa kwenda Lebanon kuwahudumia watu wa nchi hiyo ya Kiarabu huku utawala wa Kizayuni, ukiendeleza vita dhidi ya nchi hiyo, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479552    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/07

Operesheni ya Ahadi ya Kweli II
TEHRAN- Ving'ora vinasikika katika kote Israel (ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu) baada ya majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuvurumisha idadi kubwa ya makombora ambayo yamelenga ngome muhimu za kijeshi za utawala wa Kizayuni wa Israel
Habari ID: 3479519    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/01

Muqawama
IQNA- Askari kadhaa wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon.
Habari ID: 3479455    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/19

Kadhia ya Sudan
IQNA – Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) ametoa wito kwa mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kuunganisha juhudi zao ili kukomesha vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan.
Habari ID: 3479409    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/10

kadhia ya Palestina
Afisa wa Hamas alisema pendekezo lolote la kusitisha mapigano ambalo halijumuishi kumalizika kwa vita vya Israel dhidi ya Gaza litakataliwa na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas.
Habari ID: 3479007    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/24

Sudan
IQNA - Nakala ya Qur'an Tukufu ilibakia salama baada ya moto kuteketeza gari nchini Sudan hivi karibuni.
Habari ID: 3478271    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/29

Jinai za Israel
BEIT LAHM (IQNA)- Kanisa moja la Palestina limeamua kuweka kunyesha magofu ya nyumba zilizobomolewa badala ya Mti wa Krismasi kama ilivyo ad ana kusema kuwa hakuna cha kusherehekea wakati huu utawala haramu wa Israel unapendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3477989    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/05

Vita
TEHRAN (IQNA)- Mapigano kati ya wanajeshi wa Sudan yameingia wiki yake ya tatu ambapo hadi kufikia leo watu zaidi ya 578 wameuawa huku Umoja wa Mataifa ukionya kuwa nchi hiyo inasambaratika.
Habari ID: 3476936    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/30

Vita vya Saudia dhidi ya Yemen
TEHRAN (IQNA) – Ujumbe kutoka Oman uko katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a, kufanya mazungumzo na wanachama wa ngazi za juu wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah kuhusu kurefusha usitishaji vita unaosimamiwa na Umoja wa Mataifa nchini Yemen.
Habari ID: 3476286    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/22

Qur’ani Tukufu Inasemaje /34
TEHRAN (IQNA) – Katika aya nyingi za Qur’ani Tukufu Mwenyezi Mungu anawaonya wale wanaovuka mipaka na kuwa na mawazo yenye misimamo mikali, kama vile katika Aya ya 190 ya Sura Al-Baqarah: “Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi waanzao uadui.”
Habari ID: 3476085    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/14

Sira ya Mtume Muhammad
TEHRAN (IQNA) - Mapitio ya vita bu vya historia yanaonyesha kuwa vita vyote wakati wa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) vilikuwa vya kujihami au kujitetea na kwamba hakuanzisha vita yoyote.
Habari ID: 3476040    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/05

Sura za Qur'ani/ 8
TEHRAN (IQNA)- Kuongezeka kwa makundi ya kigaidi duniani na matumizi mabaya ya Uislamu kumepelekea istilahi Jihadi ( vita vita katifu) kupachikwa maana isiyo sahihi na hivyo kunasibishwa na maneno kama vile kuchochea vita , ghasia na mauaji.
Habari ID: 3475385    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/16

Kiongozi Muadhamu na Masuala ya Kimataifa
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha sababu za hali maalumu duniani sasa na kusema kusema katika hali ya sasa ya dunia, uendeshaji mambo umekuwa mgumu kwa nchi zote.
Habari ID: 3475295    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/25

TEHRAN (IQNA)- Vyombo vya habari vya Yemen vimetangaza kuwa ndege za ki vita za muungano vamizi wa Saudi Arabia vimeshambulia nyumba za raia katika mji wa Magharibi wa Hudaydah na jengo moja la mahabusu kaskazini ya mji wa Sa'ada.
Habari ID: 3474833    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/21

TEHRAN (IQNA)- Ndege za ki vita za muungano vamizi wa Saudia zimedondosha mabomu katika wilaya ya Maqbanah mkoani Taiz nchini Yemen na kuua raia wasiopungua 16.
Habari ID: 3474638    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/04

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina (Hamas) imetangaza ushindi katika mapambano ya siku 10 dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel ambao umevamia Ukanda wa Ghaza na kuongeza kwamba waziri mkuu wa utawala huo Benjamni Netanyahu ameshindwa vibaya katika makabiliano hayo.
Habari ID: 3473928    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/20

Hadi sasa Wapalestina karibu 218, wakiwemo watoto 58, wameuawa shahidi katika hujuma mpya ya utawala dhalimu wa Israel dhidi ya Ghaza huku wengine zaidi ya 1,235 wamejurhiwa.
Habari ID: 3473918    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/17

TEHRAN (IQNA)- Tawi la kijeshi la Harakati ya Mapamabno ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) limevurumisha mamia ya makombora katika miji ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kusababisha hasara kubwa.
Habari ID: 3473909    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/14