Mafunzo hay ni kwa walimu wa shule za kiume na wa kike ambao wanaendesha mafundisho ya Kiislamu.
Abla Abdul Malik Muhammad, afisa wa idara hiyo, alisema mpango huo unalenga kuinua elimu ya Qur'ani kwa walimu na kuongeza ufanisi wa ufundishaji wao.
Kozi hizo zitafanyika mtandaoni kupitia jukwaa la Saad, ambalo linatumiwa na walimu 2,000 kote Kuwait alibainisha.
Jukwaa hilo linatoa fursa kwa walimu kuimarisha ujuzi wao wa Qur’ani, Khalid Walid al-Makimi, mwangalizi mkuu wa jukwaa alisema.
Aliongeza kuwa jukwaa hilo pia linasaidia pia katika kutathmini ufaulu wa walimu.
3490410