IQNA

Wairani waapa utii kwa Kiongozi Mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu

18:09 - March 10, 2026
Habari ID: 3482038
IQNA – Maandamano makubwa ya wananchi yalifanyika kote nchini Iran, yakiwemo katika mji mkuu Tehran, Jumatatu tarehe 9 Machi 2026, ambapo wananchi walitangaza utii na uungaji mkono wao kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei. Hizi hapa baadhi ya picha za maandamano hayo.
Kishikizo: imam khamenei shahidi
captcha