IQNA – Maandamano makubwa ya wananchi yalifanyika kote nchini Iran, yakiwemo katika mji mkuu Tehran, Jumatatu tarehe 9 Machi 2026, ambapo wananchi walitangaza utii na uungaji mkono wao kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei. Hizi hapa baadhi ya picha za maandamano hayo.