Awamu ya 23 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri yatafanyika hivi karibuni katika mji wa Sharm el Sheikh mkoa wa Sinai.
Habari ID: 3457049 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/25
Warsha ya kielimu kuhusu ‘Miujiza ya Kisayansi katika Qur’ani’ imefanyikanchini Misri katika Chuo Kikuu cha Tanta mkoani Gharbia.
Habari ID: 3454189 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/18
Waziri wa Awqaf nchini Misri ametangaza kuwa misikiti mipya zaidi ya 1000 imejengwa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika katika miaka ya hivi karibuni.
Habari ID: 3447288 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/11
Ujenzi wa Chuo cha Sayansi za Qur’ani cha Al Hussary umezinduliwa katika mkoa wa Minya nchini Misri.
Habari ID: 3409344 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/29
Waziri wa Awqaf nchini Misri katika kuendeleza uhasama na chuki zake dhidi ya madhehebu ya Shia amewataka Mashia nchini humo kutoa taarifa rasmi ya kutangaza kuipinga Iran ili kuoneysha nia yao njema!
Habari ID: 3395050 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/26
Idara ya waqfu iliyo chini ya Wizara ya Waqfu nchini Misri, imeamuru kufungwa msikiti wa Imamul-Hussein (as) mjini Cairo kuanzia jana Alkhamis hadi baada ya kesho Jumamosi ikiwa ni katika kuwazuia Waislamu wa Kishia kutekeleza marasimu za Taasua na Ashura.
Habari ID: 3392920 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/23
Musa Motamedi hafidh wa Qur’ani kutoka Iran ameshika nafasi ya kwanza katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani katika mji mkuu wa Russia, Moscow.
Habari ID: 3384686 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/12
Maqarii wa Qur'ani kutoka pembe mbali mbali duniani hasa Misri wanaendelea kuomboleza vifo vya maqarii wawili mashuhuri wa Iran waliokuwa wakitekeleza ibada ya Hija katika eneo la Mina karibu na mji mtakatifu wa Makkah.
Habari ID: 3372181 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/27
Wanazuoni wa Kiislamu leo wamemaliza kikao chao Misri ambapo wamejadili ‘fatwa za misimamo mikali’ ambazo zimekuwa zikitolewa na makundi ya kigaidi hasa kundi la kitakfiri la Daesh (ISIS).
Habari ID: 3345846 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/18
Mhadhiri mmoja wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al-Azhar nchini Misri amesema kuwa, hakuna tatizo lolote katika kuwakurubisha pamoja Waislamu wa madhehebu ya Suni na Shia.
Habari ID: 3345811 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/18
Wafuasi 452 wa Harakati ya Ikwanul Muslimin nchini Misri wamehukumiwa kifungo cha miaka mitatu hadi 25 jela katika hukumu iliyotolewa na mahakama ya kijeshi.
Habari ID: 3341805 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/13
Shekhe Mkuu wa Chuo Kikuu cha kidini cha al Azhar nchini Misri amepinga hatua ya wahubiri wa Kiwahabi na Kisalafi ya kutumia kauli isiyofaa ya ‘Rafidh’ kuwataja Wapenzi wa Ahul Bayt wa Mtume SAW.
Habari ID: 3323156 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/04
Maqari 12 kutoka Misri watashiriki katika majlisi na vikao vya kusoma Qur'ani Tukufu nchini Iran katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3317012 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/22
Mahakama ya Misri leo imetoa hukumu ya mwisho dhidi ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Muhammad Mursi na viongozi wengine wa Harakati ya Ikhwanul Muslimeen iliyopigwa marufuku nchini humo.
Habari ID: 3315286 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/16
Mahakama moja nchini Misri imewahukumu kifungo hafifu cha miaka 14 jela watu 23 waliokuwa wanatuhumiwa kwa kutekeleza mauaji dhidi ya Waislamu wanne wa Kishia hapo mwezi Juni mwaka 2013 nchini humo.
Habari ID: 3314097 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/14
Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani hukumu ya kifo dhidi ya rais wa zamani wa Misri Mohammad Morsi na kusema kesi hiyo haikuzingatia taratibu za mahakama.
Habari ID: 3304307 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/17
Misri itakuwa mwenyeji wa mashindano mawili ya kimataifa ya Qur’ani katika miezi michache ijayo.
Habari ID: 2968365 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/12
Sheikh Shawki Ibrahim Abdulkarim Allam Mufti Mkuu wa Misri amesema kuwa, kundi la kigaidi la Daesh (ISIL) ni kundi hatari mno na kusisitiza kwamba kundi hilo la kitakfiri na kigaidi halifungamani kabisa na matukufu ya dini ya Kiislamu na lina fikra na uelewa potofu kuhusiana na dini ya Kiislamu.
Habari ID: 2846216 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/13
Makamu wa zamani wa rais wa Misri Mohammad El Baradei Ijumaa ametuma aya ya Qur’ani kupitia mtandao wa kijamii wa twitter kujibu hujuma za kigaidi zilizotekelezwa na wanamgambo katika eneo la Sinai nchini Misri ambapo watu 30 waliuawa.
Habari ID: 2790529 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/31
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar mjini Cairo Misri amelaani vikali jinai zinazofanywa na makundi ya kitakfiri duniani hasa kundi la Daesh (ISIL).
Habari ID: 2615011 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/04