IQNA – Toleo la 10 la Kongamano la Kimataifa la Kitaalamu kuhusu Ziyara ya Arbaeen limeandaliwa katika Haram takatifu ya Imam Hussein (AS) iliyoko mjini Karbala, Iraq, siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3482598 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/08
IQNA – Iran na Iraq zimeanza mapema mashauriano na maandalizi ya ziara ya Arbaeen ya mwaka ujao, mara tu baada ya kumalizika kwa matembezi ya mwaka huu, amesema Mojtaba Shahti Karimi, Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kibalozi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran na Mkuu wa Kamati ya Kisiasa na Kibalozi ya Makao Makuu ya Arbaeen.
Habari ID: 3482591 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/07
IQNA – Mbunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesisitiza kuwa Arbaeen inawakilisha mwendelezo wa harakati ya Ashura na uhuishaji wa kiapo cha uaminifu kwa malengo matukufu ya Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3482589 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/05
IQNA – Matembezi ya Arbaeen si tukio la kitamaduni pekee wala ibada ya kawaida, bali ni dhihirisho la falsafa ya kina ya ustaarabu na utu inayoyaita nyoyo za watu huru duniani kuelekea kwenye ukweli, uadilifu, na uhuru.
Habari ID: 3482586 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/04
IQNA – Kongamano la Mazuwar wa Arbaeen likitoa wito wa kulipiza kisasi cha damu ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah SayyidAli Khamenei, limefanyika barabarani kati ya Najaf na Karbala, nchini Iraq. Tukio hili lameshuhudia mahudhurio makubwa ya jamii ya wapenzi wa Qur’ani kutoka Iran, Iraq, na kundi la Mazuwar kutoka mataifa mengine ya Kiislamu.
Habari ID: 3482582 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/04
IQNA – Akisisitiza mwitikio mzuri wa programu za Qur'ani Tukufu miongoni mwa mazuwaru wakati wa matembezi ya Arbaeen, msomaji mashuhuri wa Qur'ani kutoka Iran ametoa wito wa kuongezwa kwa idadi ya programu hizo.
Habari ID: 3482581 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/03
IQNA – Mbali na uwepo wa wanahabari 143 wa ndani na wanaharakati wa vyombo vya habari wanaohabarisha kuhusu matembezi ya Arbaeen, karibu wanahabari 600, wanaharakati wa vyombo vya habari, wapiga picha, na wafanyakazi wa kiufundi kutoka nchi mbalimbali wanashiriki katika kuangazia tukio hili adhimu.
Habari ID: 3482578 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/03
IQNA – Balozi wa Iran nchini Iraq amesema kuwa Mashaya au matembezi ya Arbaeen ya mwaka huu yanaendeshwa kwa utukufu mkubwa zaidi, kwa utaratibu mzuri na ikiwa na changamoto chache ikilinganishwa na miaka iliyopita.
Habari ID: 3482575 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/02
IQNA – Mawkib ya kiutamaduni, yaani kituo cha huduma, iliyoanzishwa na Astan, taasisi inayosimamia Haram tukufu ya Hadhrat Abbas (AS), kwenye njia ya kutoka Najaf hadi Karbala, imepokelewa kwa furaha na mazuwar wa Arbaeen.
Habari ID: 3482574 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/02
IQNA – Astan, yaani taasisi inayosimamia Haram tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, inaendesha programu za Qur’ani kwa ajili ya mazuwari wanawake katika msimu wa Arbaeen.
Habari ID: 3482573 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/02
IQNA – Afisa mmoja wa Iran amesisitiza umuhimu wa Mawakib za Qur’ani,vituo vya huduma vilivyojengwa kando ya njia ya Arbaeen, katika kukidhi mahitaji ya kiroho na kiutamaduni ya mazuwar
Habari ID: 3482570 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01
IQNA – Kutokana na kuwasili kwa mazuwar au wafanyaziara wa Arbaeen, vipindi vya Qur’ani vya Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen wa Imam Ridha (A.S.) vimeanza katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3482561 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01
IQNA – Makao Makuu ya Usimamizi wa Ziara ya Arbaeen nchini Iraq yalitangaza siku ya Alhamisi kuwa idadi ya mazuwar au wafanyaziara wa kigeni walioingia nchini humo inakaribia kufikia milioni tatu.
Habari ID: 3482559 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01
IQNA – Mkuu wa Makao Makuu ya Kitaifa ya Arbaeen nchini Iran amesisitiza kuwa, matembezi ya kila mwaka ya kiroho ya Arbaeen yana uwezo mkubwa usio na kifani katika kukuza na kueneza utamaduni wa Qur’ani Tukufu miongoni mwa mamilioni ya mazuwaru.
Habari ID: 3482558 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/29
IQNA – Mkuu wa Kitengo cha Habari za Usalama nchini Iraq ametangaza kuwa jumla ya watu 1,813,188 kutoka nchi 172 tofauti wamewasili nchini humo hadi sasa kwa ajili ya kushiriki katika matembezi ya kiroho ya Arbaeen.
Habari ID: 3482554 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/29
IQNA – Mkoa wa Karbala nchini Iraq umetangaza likizo rasmi kuanzia Jumatano hadi Jumatatu kwa ajili ya mapokezi na huduma kwa mazuwari wa Arbaeen.
Habari ID: 3482550 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/28
IQNA – Makao Makuu ya Kituo cha Arbaeen nchini Iran yametangaza kuanza rasmi kwa utumaji wa mazuwari kuelekea Iraq kwa ajili ya msafara wa Arbaeen wa mwaka huu.
Habari ID: 3482538 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/26
IQNA – Zaidi ya Mawakib (vituo vya kutoa huduma bila malipo) 13,500 kutoka mikoa mbalimbali ya Iraq, pamoja na kutoka mataifa ya Kiarabu, Kiislamu na nchi nyingine za kigeni, zimesajiliwa kushiriki katika maonyesho na matembezi ya Arbaeen ya mwaka huu.
Habari ID: 3482534 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/25
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
IQNA – Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, ameangazia undani wa mafungamano ya kiutamaduni na ya kiimani kati ya mataifa ya Iran na Iraq, na kueleza matembezi makubwa ya Arbaeen kuwa ni dhihirisho lisilo na mfano la mafungamano hayo.
Habari ID: 3482531 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/24
TEHRAN – Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa hatua zote muhimu zimechukuliwa ili kuhakikisha kuwa ziara ya Arbaeen inafanyika kwa utaratibu, usalama, na utulivu wa hali ya juu.
Habari ID: 3482526 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/22