IQNA – Mkuu wa Makao Makuu ya Kati ya Arbaeen nchini Iran amesisitiza umuhimu wa matembezi ya kila mwaka ya Arbaeen kama fursa adhimu ya kueneza utamaduni wa Qur’ani.
Habari ID: 3482521 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/21
IQNA – Vituo vyote ya mipakainayoelekea nchini Iraq sasa vinafanya kazi kikamilifu na viko tayari kurahisisha uingiaji na utokaji wa wafanyaziyara wa Arbaeen, amesema afisa mmoja wa Iran.
Habari ID: 3482516 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/20
TEHRAN – Mkuu wa kamati ya kisayansi ya Kongamano la 6 la Kimataifa la “Afya katika Arubaini” ametangaza kuwa jumla ya karatasi za utafiti 500 zimewasilishwa katika sekretarieti ya kongamano hilo.
Habari ID: 3482493 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/15
IQNA – Makao Makuu ya Ziyara ya Arbaeen nchini Iran, katika taarifa yake, yametangaza mipaka ya kutokea na kuingia kwa mazuwar wa kigeni wa Arbaeen ya Imam Hussein (AS) wanaosafiri kwenda Iraq kupitia Iran.
Habari ID: 3482489 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/15
IQNA – Shirika la Iran la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) limeandaa tuzo ya 12 ya Kimataifa ya Arbaeen mwaka huu.
Habari ID: 3482480 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/13
IQNA – Mwili mtakatifu wa Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayed Ali Khamenei, utapelekwa katika maeneo matakatifu nchini Iraq kwa ajili ya ziara ya mwisho (ziara ya mazishi), tukio ambalo ni la kwanza la aina yake katika kipindi cha miaka 69.
Habari ID: 3482454 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/07
IQNA – Hafla maalumu ya Qur’ani inayolenga kuenzi hadhi ya juu ya mashahidi, kuendeleza utamaduni wa Qur’ani Tukufu na Ahlul Bayt (AS), pamoja na kuzindua rasmi programu za Qur’ani za Arbaeen, imefanyika Jumatano katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) kwa ushiriki wa maqari, mahafidhi, wanaharakati wa Qur’ani na wapenda dini.
Habari ID: 3482427 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/01
IQNA – Muda wa usajili kwa wanaharakati na watumishi wa Qur’ani wanaotaka kushiriki katika Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen wa Iran wa mwaka 2026 umeongezwa hadi Jumanne, tarehe 30 Juni.
Habari ID: 3482413 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/28
IQNA – Makao Makuu ya Arbaeen ya Imam Hussein (AS) nchini Irani yametangaza rasmi tarehe za kuanza kwa usajili wa waumini wanaokusudia kushiriki katika matembezi ya Arbaeen ya mwaka huu nchini Iraq.
Habari ID: 3482389 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/22
IQNA – Uongozi (Mfawidhi) wa Haram tukufu ya Imam Hussein (AS) umetangaza utekelezaji wa mradi mkubwa wa ujenzi wa muundo wa zege wa uwanja wa Imam Hassan al-Mujtaba (AS). Mradi huu utatekelezwa kwa jina la “Kutoka Arubaini hadi Arubaini” na unatarajiwa kuzinduliwa mwanzoni mwa mwezi wa Rabi’ al-Awwal 1448 Hijria (Agosti 14, 2026).
Habari ID: 3482273 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/23
IQNA – Mawkib za Kiirani zilitoa huduma kwa zaidi ya watu milioni 22 wakati wa Arbaeen mwaka huu, kulingana na afisa mmoja.
Habari ID: 3481146 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/27
IQNA – Waandalizi wa msafara wa Qur’ani kutoka Iran wametangaza ongezeko la asilimia 5 katika shughuli za Qur’ani wakati wa ziyara na matembezi Arbaeen mwaka huu nchini Iraq ikilinganishwa na mwaka uliopita.
Habari ID: 3481121 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/22
Sayyid Muhammad Husaynipour, aliyeshinda nafasi ya kwanza katika mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alishiriki katika msafara wa Qur’āni wa Arbaeen mjini Hillah, Iraq. Hii hapa klipu yake akisoma Qur'ani Tukufu
Habari ID: 3481115 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/21
QNA – Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen kutoka Iran, unaojulikana mwaka huu kama “Msafara wa Imam Ridha (AS)”, ulianza shughuli zake katika njia ya Arbaeen tarehe 8 Agosti 2025.
Habari ID: 3481109 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/20
IQNA – Zaidi ya wafanyaziyara milioni 21 wameshiriki katika ziara ya Arbaeen mwaka huu nchini Iraq, kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na haram ya Abul-Fadhlil Abbas (AS).
Habari ID: 3481093 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/16
IQNA – Uwezo wa kiustaarabu na wa kujenga taifa ulio ndani ya matembezi n a ziyara yakila mwaka ya Arbaeen unazidi kudhihirika kadiri siku zinavyosonga, amesema kiongozi mwandamizi wa kidini kutoka Iran.
Habari ID: 3481087 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/15
IQNA – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetangaza kuwa wafanyaziara wa kigenizaidi ya milioni 4.1 wameshiriki katika ziara ya mwaka huu ya Arbaeen.
Habari ID: 3481086 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/15
IQNA – Katika ziara ya Arbaeen, Waislamu hukusanyika kwa mshikamano ili kufikisha ujumbe wa pamoja wa kusimama imara na kudai haki, amesema afisa wa Kiirani.
Habari ID: 3481084 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/14
IQNA-Mamilioni ya Waislamu kutoka pembe mbalimbali za dunia wamekusanyika katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq kuadhimisha Arbaeen au Arubaini ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hussein (AS), Imam wa tatu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia na mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3481083 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/14
IQNA – Kamati Kuu ya Iraq ya Uratibu wa Wafanyaziyara Mamilioni imetangaza kuwa hadi sasa hakuna ukiukaji wowote wa usalama ulioripotiwa wakati wa matembezi ya Arbaeen.
Habari ID: 3481082 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/14