iqna

IQNA

Nigeria
IQNA - Waislamu wa madhehebu ya Shia walifanya maandamano katika maeneo tofauti ya Nigeria kupinga ukatili wa hivi majuzi wa polisi dhidi ya wanawake na wasichana waliokuwa wanashiriki katika katika hafla za maombolezo ya Siku ya Arbaeen.
Habari ID: 3479370    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/02

Arbaeen katika Qur'ani /4
IQNA - Matembezi ya kila mwaka ya Arbaeen, moja ya mikusanyiko mikubwa ya kidini duniani, yana mizizi mirefu katika mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479367    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/02

Arbaeen 1446
IQNA – Mkutano wa nane wa Kimataifa wa Matemberzi ya Arbaeen umefanyika Karbala, Iraq na wanazuoni kutoka nchi 35 wamejadili ufahamu wao kuhusu tukio hilo ambalo mwaka huu limewaleta Pamoja wafanyaziara milioni 21.
Habari ID: 3479354    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/30

Arbaeen
IQNA - Mwakilishi wa Jimbo la Utah nchini Marekani Trevor Lee amehimizwa kukutana na Waislamu wa jimbo hilo baada ya video aliyochapisha kusababisha wimbi la chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3479351    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/30

Arbaeen 1446
IQNA – Idara ya Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) huko Najaf, Iraq, imetangaza kuwahudumia wafanyaziara kwa kuwapa chakula katika eneo hilo takatifu hadi mwisho wa mwezi wa Hijri wa Safar.
Habari ID: 3479341    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/28

Arbaeen
IQNA - Ujumbe wa wasomaji Qur’ani wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa  cha Iran ambao umesafiri hadi Iraq kwa ajili ya Arbaeen ulifanya programu kadhaa za usomaji wa Qur'ani katika mji mtakatifu wa Najaf.
Habari ID: 3479339    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/28

Arbaeen 1446
IQNA - Hija ya Arbaeen ina uwezo mkubwa wa kuunda vuguvugu la kimataifa dhidi ya dhuluma na ukandamizaji, mwambata wa Utamaduni wa Iran nchini Tanzania amesema.
Habari ID: 3479336    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/27

Arbaeen 1446 H
IQNA - Zaidi ya wafanyaziara milioni 21 kutoka duniani kote walishiriki katika matembezi ya mwaka huu ya Arbaeen nchini Iraq, kwa mujibu wa Ofisi ya Haram Tukufu la Imam Hussein (AS), Karbala, Iraq.
Habari ID: 3479332    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/26

Arbaeen 1446 H
IQNA - Msafara wa Qur'ani wa Iran uliotumwa Iraq kushiriki katika vikao vya Qur'ani kwa munasaba wa Arbaeen ulihitimisha shughuli zake baada ya karibu siku kumi.
Habari ID: 3479331    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/26

Arbaeen 1446
IQNA - Matembezi ya Arbaeen ambayo huvutia mamilioni ya wafanyaziara kila mwaka ni ishara ya utambuzi wa ustaarabu mpya wa Kiislamu, mwanazuoni wa Iraq alisema.
Habari ID: 3479330    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/26

Arbaeen 1446
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema mbele ya wanafunzi wa vyuo vikuu katika maombolezo ya Arubaini ya Imam Husain AS kwamba mapambano baina ya kambi ya haki ya Imam Hussein (AS) na kambi ya batili ya Yazid kamwe havitomalizika.
Habari ID: 3479328    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/25

Arbaeen 1446
IQNA- Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesisitiza kuwa misimamo yote ya uungaji mkono wa Palestina inatokana na harakati ya Imam Hussein (AS) na akasema: Kukusanyika kwetu leo ​​katika barabara ya kuelekea Karbala ni dhihirisho la ushindi harakati ya Imam Hussein (AS) na dalili zinaashiria kuangamizwa Israel na ushindi wa uhakika wa Gaza.
Habari ID: 3479327    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/25

Arbaeen 1446 H
IQNA-Mamilioni ya Waislamu kutoka nchi mbalimbali duniani wanakusanyika kwenye mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq ili kuadhimisha kumbukumbu ya Arubaini au Arbaeen, inayoashiria siku ya 40 baada ya kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW) Imam Hussein (AS), katika ardhi ya Karbala hapo mwaka 61 Hijria.
Habari ID: 3479326    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/25

Arbaeen 1446
IQNA - Kila siku, makumi ya maelfu ya mazuwar au wafanyaziara wa Arbaeen hutembelea Msikiti Mkuu wa Kufa, ulioko karibu na Najaf, Iraq.
Habari ID: 3479324    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/24

Arbaeen 1446
IQNA – Mwanazuoni na mtafiti wa Iraq aliangazia nafasi ambayo matembezi ya Arbaeen yanaweza kuwa nayo katika kukuza fikra kuhusu Umahdi yaani itikadi ya Imam Mahdi (Mwenyezi Mungu Aharakishe Kudhihiri Kwake)
Habari ID: 3479323    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/24

Arbaeen 1446
IQNA - Imam Hussein (AS) alitaka kueneza uadilifu na hivyo matembezi ya Arbaeen yanahitaji kutumika kama njia ya kutafakari mapambano dhidi ya madhalimu wa leo, mwanazuoni mmoja wa Kiislamu anasema.
Habari ID: 3479321    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/24

Arbaeen 1446
IQNA - Mawkib yenye jina la "Neda al-Aqsa" (Wito wa Al Aqsa) imeundwa kwenye nguzo nambari 833 ya barabara ya Najaf-Karbala nchini Iraq katika matembezi ya Arbaeen ya mwaka huu. Mawkiba hii inakaribisha wafanyaziara na maafisa ambao husimama ili kutoa sauti zao za mshikamano. na Wapalestina huku kukiwa na mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza.
Habari ID: 3479315    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/23

Arbaeen 1446
IQNA - Wajumbe wa msafara wa Qur'ani wa Iran hadi sasa wameandaa programu 650 tofauti kwa wafanyaziara wa Arbaeen nchini Iraq.
Habari ID: 3479313    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/23

Arbaeen na Muqawama
IQNA - Kundi la wasomaji Qur’ani (maqari) wa Kiirani walioenda Iraq wakati wa msimu huu wa Arbaeen wameshiriki katika vikao vya  kusoma Qur'ani kwenye kaburi la Shahidi Abu Mahdi al-Muhandis, naibu mkuu wa zamani wa VJeshi la Kujitolea la Wananchi wa Iraq (PMU).
Habari ID: 3479310    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/21

Arbaeen 1446
IQNA - Huku mamilioni ya wafanyaziara au mazuwar wakiwa wanashiriki katika matembezi ya Arbaeen, wataalamu wanasisitiza umuhimu wa kudumisha mlo sahihi ili kuhakikisha afya na ustawi njiani.
Habari ID: 3479308    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/21