iqna

IQNA

Shirika la Afya Duniani WHO limeonya kuhusu hali mbaya ya kibinadmau nchini Yemen na kusema na kusema mkoa wa Aden unakabiliwa na hali maafa ya kiafya.
Habari ID: 3328804    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/16

Awamu ya 23 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran yanamalizika Jumanne hii.
Habari ID: 3327645    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/13

Waislamu katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa wamemiminika kwa wingi misikitini katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kiasi kwamba baadhi ya barabara zinafungwa kutoa nafasi ziada kwa wanaoswali.
Habari ID: 3325727    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/07

Zaidi ya Waislamu 150 wameuawa katika mashambulio ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kaskazini mwa Nigeria.
Habari ID: 3322598    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/03

Kundi moja la Waislamu wa China wameituhumu serikali ya nchi hiyo kuwa imeanzisha vita visivyo rasmi dhidi ya Waislamu na Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3322211    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/01

Kituo cha Utamaduni cha Iran Uganda kinatoa mafunzo maalumu kwa walumu wa Qur’ani katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
Habari ID: 3321660    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/01

Muungano wa Vijana wa Sudan wamezindua 'Mpango wa Rehema' chini ya anwani ya: "Ramadhani Inatuleta Pamoja".
Habari ID: 3318508    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/25

Maoneysho ya 23 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran yamefunguliwa rasmi Jumatano jioni katika hafla iliyohudhuriwa na Waziri wa Utamaduni wa Muongozo wa Kiislamu Iran, maafisa waandamizi wa baraza la mji wa Tehran na wana wanaharakati katika uga wa Qur'ani.
Habari ID: 3318499    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/25

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ametaka kuimarishwa ushirikiano, umoja na udugu wa kidini baina ya nchi zote za Kiislamu duniani.
Habari ID: 3316509    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/20

Serikali ya China imepiga marufuku wanafunzi, walimu na watumishi wa umma katika eneo la Xinjiang lenye Waislamu wengi kutekeleza ibada ya Saumu kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3315931    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/19

Waislamu katika nchi nyingi duniani leo wamenza funga ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3315879    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/18

Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, ametoa mkono wa kheri na fanaka kwa maspika wa mabunge ya nchi za Kiislamu duniani kwa mnasaba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3315773    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/17

Maonyesho ya 23 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yatafunguliwa katika siku za awali za mtukufu wa Ramadhani katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Tehran.
Habari ID: 3315145    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/16

Mkuu wa Kamati Kuu ya Kiislamu ya Palestina amewataka Waislamu wahudhurie kwa wingi katika msikiti mtukufu wa al Aqsa wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3314849    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/16

Baraza la Fatwa Ulaya
Barani Ulaya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unatazamiwa kuanza Alkhamisi Juni 18. Tangazo hilo limetolewa na Baraza la Fatwa na Utafiti Ulaya (EFCR) kwa mujibu wa mahesabu ya kifalaki.
Habari ID: 3311365    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/06

Baadhi ya Waislamu katika nchi za Iraq, Uturuki, Qatar, Misri, Saudi Arabia na Bahrain leo wanasherehekea sikukuu ya Idul Fitr baada ya kutangazwa rasmi mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani katika nchi hizo.
Habari ID: 1434339    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/28

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema Marekani na Uingereza zinaunga mkono hujuma inayoendelea ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 1428809    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/13

Jumuiya ya Ushirikiano ya Nchi za Kiislamu OIC na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) zimetaka kusimamishwa mapigano huko Syria katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 1424844    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/01

Pendekezo la Rais Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia salamu za pongezi viongozi wa nchi zote za Kiislamu duniani kwa munasaba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambapo amewataka wautangaze mwezi wa Ramadhani mwaka huu kuwa ni 'Ramadhani ya Amani na Rahma'.
Habari ID: 1423410    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/28