iqna

IQNA

IQNA –Roboti mpya ya Manarat Al-Haramain inayotumia Akili Mnemba (AI) imezinduliwa ili kuwasaidia Mahujaji huko Makka, Saudi Arabia.
Habari ID: 3480727    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/23

IQNA – Mpango mpana wa uendeshaji kwa msimu wa Hija utazinduliwa nchini Saudi Arabia, huku tangazo rasmi likipangwa kutolewa Alhamisi. 
Habari ID: 3480645    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/06

Teknolojia
IQNA – Kongamano lililopewa jina “Jinsi ya kutumia Akili Mnemba (Artificial Intelligence-AI-) kuhudumia Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Kuwasaidia Ndugu Zetu wa al-Quds” iliandaliwa nchini Mauritania.
Habari ID: 3480535    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13

IQNA-Shirika moja la kimataifa limelaani hatua ya kampuni ya Microsoft ya Marekani kumfuta kazi mhandisi wa programu mwenye asili ya Morocco, Ibtihal Aboussad, ambaye aliandamana hadharani kupinga uungwaji mkono wa kampuni hiyo kwa utawala katili wa Israel wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Microsoft.
Habari ID: 3480521    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/10

Teknolojia
IQNA – Akili Mnemba (Artificial Intelligence - AI) ni moja ya maendeleo makubwa ya kiteknolojia katika zama za kisasa na inatumiwa katika maeneo mengi, ikiwemo kuchakata maandiko ya kidini.
Habari ID: 3480403    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/19

IQNA – Waziri wa Utamaduni na Muongozo wa Kiislamu Iran amesema kuwa Akili Mnemba (AI) ina uwezo wa kufanya mapinduzi katika shughuli za Qur’ani kote ulimwenguni.
Habari ID: 3480333    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/09

Mtazamo
IQNA – Kufunga husaidia kuongeza umakini kwa kuleta mpangilio katika maisha ya kila siku na kupunguza usumbufu unaotokana na ulaji na unywaji mfululizo.
Habari ID: 3480315    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/06

IQNA – Jukwaa la masomo ya Qur;an linalotumia Akili Mnemba au AI limezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka.
Habari ID: 3480310    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/05

Teknolojia katika Uislamu
IQNA - Kongamano litafanyika katika Msikiti wa Jamkaran huko Qom, Iran, kujadili mahitaji na matumizi ya akili mnemba yaani Artificial Intelligence (AI) katika misikiti.
Habari ID: 3479947    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/24

Teknolojia na Uislamu
IQNA-Mtaalamu wa Kiislamu amesema kuwa akili mnemba au Artificial Intelligence (AI) ni "kifaa chenye thamani" ambacho kinaweza kutumika kwa huduma ya wanadamu lakini amesisitiza kwamba teknolojia hii haiwezi kuwa mbadala wa fikra za mwanadamu.
Habari ID: 3479906    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/16

Afya ya Akili katika Qur’ani /3
IQNA - Tawakkal au Tawakkul, ambayo ina maana ya mwanadamu kuweka imani kwa Mwenyezi Mungu, ni miongoni mwa mafundisho ambayo yana nafasi muhimu katika kuimarisha na kudumisha afya ya akili .
Habari ID: 3478259    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/27

Njama za Adui
TEHRAN (IQNA)- Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ametahadharisha kuwa, stratejia hatari zaidi ambayo adui ameamua kutumia ni vita vya kinafsi na kisaikolojia.
Habari ID: 3475661    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/22