iqna

IQNA

Muqawama
IQNA – Qari wa Lebanon ameema moja ya vipaumbele vya Sayyid Hassan Nasrallah, ambaye aliuawa shahidi tarehe 27 Septemba katika hujuma ya kigaidi ya Israel, ilikuwa ni kusoma Qur'an na kuishi kwa mujibu wa mafundisho ya kitabu hicho kitukufu.
Habari ID: 3479529    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/03

Qiraa ya Qur'ani
Qiraa ya Qur'ani Tukufu ya qari mtoto Msomali Abdullah Hassan Hussein. Katika klipu hii anasema aya za 17 hadi 23 za Surah Insan
Habari ID: 3479513    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/30

Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 6
IQNA – Khusuma ni neno la Kiarabu lenye maana ya uhasama au uadui. Katika maadili ya Kiislamu, inarejelea kugombana na wengine kwa malengo mbali mbali.
Habari ID: 3479505    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/28

IQNA- Serikali ya Kazakhstan imekosolewa kwa kumtoza faini mwigizaji kwa kunukuu kutoka kwa Qur'ani Tukufu katika chapisho la Instagram.
Habari ID: 3479496    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/27

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Maelezo ya mashindano yajayo ya kitaifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia yalitolewa na Wizara ya Masuala ya Kiislamu, Dawah na Miongozo ya nchi hiyo.
Habari ID: 3479486    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/25

Harakati za Qur'ani
IQNA – Bunge la Qur’ani la Ulimwengu wa Kiislamu, ambalo kuanzishwa kwake kulipendekezwa na mkuu wa Jumuiya ya Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) wiki iliyopita, linalenga kukuza ukaribu wa Kiislamu.
Habari ID: 3479484    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/24

Harakati za Qur'ani
IQNA - Chuo Kikuu cha Shahid Beheshti huko Tehran kitaandaa Kongamano la pili la Kimataifa la Mafunzo ya Taaluma za Qur'ani mapema mwaka ujao.
Habari ID: 3479476    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/23

Waislamu Nigeria
IQNA - Shule ya Amirul Muminin (AS) huko Abuja, mji mkuu wa Nigeria, imezindua kozi za kuhifadhi Qur'ani kwa wavulana na wasichana.
Habari ID: 3479475    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/23

IQNA - Idara ya Kaburi la Hafidh, mshairi wa Kiirani wa karne ya 14, huko Shiraz liliandaa halqa za Qur'ani Tukufu mnamo Septemba 18, 2024, kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) na Wiki ya Umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3479472    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/23

Onyo
IQNA – Taasisi za Al-Azhar na Dar al-Ifta nchini Misri zimetangaza kuwa kuunda na kutangaza klipu za visomo vya Qur'ani vinavyoambatana na muziki ni marufuku, kwani inachukuliwa kuwa ni kutoheshimu Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479469    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/22

Harakati za Qur'ani
IQNA - Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu  (ICRO) amependekeza kuanzishwa kwa bunge la Qur'ani la ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3479467    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/22

Harakati za Qur'ani
IQNA - Programu ya siku nne ya Al-Quran kwa waliosilimu ilihitimishwa kwa hafla ya kutunukiwa washiriki wa kozi hiyo katika Kituo cha Da'wah cha Kiislamu (PDI) siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3479466    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/22

IQNA - Mwanamke wa Algeria ambaye alijifunza Qur’ani Tukufu kwa moyo akiwa na ameaga dunia kutokana na saratani akiwa na umri wa miaka 75.
Habari ID: 3479456    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/19

Waislamu Malaysia
IQNA - Serikali ya Malaysia imethibitisha dhamira yake ya kuwawezesha vijana wanaohifadhi Qur'ani Tukufu ili kuhakikisha wanafaulu katika fani hiyo sambamba na kuwapa ujuzi katika nyanja zingine za kitaaluma.
Habari ID: 3479442    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/16

Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 2
IQNA-Mazungumzo yasiyo na maana pia huitwa "tamaa ya maneno". Hii ni tabia isiyofaa na kwa mujibu wa  maadili ya Kiislamu na hivyo Muislamu anapaswa kujiepusha nayo.
Habari ID: 3479440    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/15

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Muda wa mwisho wa usajili wa Toleo la 31 la Mashindano ya Qur'ani na Etrat kwa Vkosi vya  Basij vya Iran uliongezwa ambapo zaidi ya nusu milioni tayari wamejiandikisha kwa ajili ya tukio hilo.
Habari ID: 3479433    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/14

Harakati za Qur'ani
IQNA - Zaidi ya wahifadhi wa Qur'ani wapatao 150 wanaume na wanawake kaskazini mwa Gaza walikusanyika kwa ajili ya kikao cha Qur'ani, ambao walisoma Qur'ani nzima nzima kwa kikao kimoja, pamoja na kuwepo vita vya mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel dhidi ya eneo hilo.
Habari ID: 3479432    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/14

Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 1
IQNA – Ulimi, sawa na viungo vingine vya mwili, ni njia ya kutenda madhambi ikiwa mwanadamu hatafuata kanuni na maamrisho ya Mwenyezi Mungu, na ni njia ya kumtii Mwenyezi Mungu ikiwa tutafuata maamrisho ya Uislamu.
Habari ID: 3479427    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/13

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la tano la Mashindano ya Qur’ani yaliyofanyika katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq, lilifikia tamati katika sherehe zilizofanyika wikendi.
Habari ID: 3479416    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/11

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Hatua ya nusu fainali ya mashindano ya Qur'ani kwa vijana nchini Yemen ilianza katika mji mkuu Sana'a Jumatatu usiku.
Habari ID: 3479415    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/11