IQNA – Ukumbi wa Kituo cha Dar-ul-Qur'an katika msikiti wa mji mkuu mpya wa utawala wa Misri ni miongoni mwa sehemu zinazo tembelewa zaidi katika eneo hilo.
Habari ID: 3480080 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/19
Qur'ani Tukufu
IQNA – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yanaendelea katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq, yakishirikisha wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu (Hauza) au seminari kutoka nchi 10 za Kiislamu.
Habari ID: 3480078 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/19
Fasihi
IQNA – Mohammad Anani alikuwa profesa wa tarjama au tafsiri na fasihi ya Kiingereza katika Chuo Kikuu cha Cairo na mmoja wa watafsiri au watarjumi mashuhuri zaidi katika ulimwengu wa Kiarabu. Lugha ya Qur'ani inaonekana dhahiri katika tafsiri zake, kana kwamba Qur'ani inapita kwa upole kupitia maandiko yote aliyoyatafsiri.
Habari ID: 3480072 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/18
Qarii maarufu
IQNA-Sheikh Muhammad Hussein al-Faqih ni hafidh na qari wa Qur'ani kutoka Yemen ambaye ameanza kujipatia umaarufu kwenye mitandao ya kijamii kutokana na usomaji wake wenye mvuto.
Habari ID: 3480057 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/15
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA – Kituo cha Televisheni cha Al-Kawthar kimetoa mwaliko wa kushiriki katika toleo la 18 la mashindano yake ya Qur'ani kwa njia ya televisheni yaliyopangwa kufanyika katika mwezi wa Ramadhani 2025.
Habari ID: 3480048 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13
IQNA – Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Rashid bin Mohammed Al Maktoum huko Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE ) yalishuhudia ushiriki wa wanafunzi 1,104 wa kiume na wa kike kutoka shule 32.
Habari ID: 3480046 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13
IQNA – Katika kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Imam Ali (AS), mjumuiko wa Qur'ani umefanyika katika Haram au kaburi takatifu la Imam Ali (AS) huko Najaf, Iraq kwa hisani ya kituo cha Dar al-Quran katika eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3480045 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13
IQNA – Wizara ya Mambo ya Kiislamu, Dawah, na Mwongozo ya Saudi Arabia imetangaza usambazaji wa nakala zaidi ya 10,000 za Qur'ani Tukufu wakati wa Tamasha la 9 la Ndimu lililofanyika katika Mkoa wa Al-Hariq.
Habari ID: 3480041 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/12
Tuwajue Wasomaji Qur'ani
IQNA – Qari wa Misri, Shahat Muhammad Anwar, alikuwa mmoja wa wasomaji maarufu zaidi wa Qur'ani Tukufu, hadi aliitwa 'Amir al-Nagham (mfalme wa sauti ya usomaji).
Habari ID: 3480040 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/12
IQNA – Tamasha la 10 la Kimataifa la Usomaji Qur'ani kwa Tajweed litafanyika Casablanca, Morocco, mwishoni mwa mwezi huu.
Habari ID: 3480028 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10
Qur'ani Tukufu
IQNA – Kitabu kinachoitwa "Kalam Mubin: Nyakara za Kale Zaidi za Misahafu (Nakala za Qur’ani); Nyaraka za Qur’ani za Maandishi ya Hijazi," kimezinduliwa katika hafla huko Tehran.
Habari ID: 3480027 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10
IQNA – Mkutano wa mashauriano kati ya Dar ol-Quran wa Haram Takatifu wa Imam Hussein (AS) na wanazuoni wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu jijini Najaf ulifanyika ili kujiandaa kwa Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3480026 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10
IQNA – Washindi wa toleo la 32 la Mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sultan Qaboos nchini Oman walikubaliwa katika hafla siku ya Jumatano.
Habari ID: 3480023 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/09
IQNA – Kozi ya pili ya mafunzo kuhusu "Misingi ya Vyombo vya Habari vya Qur'ani" ilifanyika katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480021 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08
Shughuli za Qur'ani
IQNA – Wizara ya Awqaf ya Misri imekuwa ikifanya juhudi za kukuza elimu ya Qur'ani kwa kufufua Maktab (shule za jadi za Qur'ani) nchini.
Habari ID: 3480020 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08
Harakati za Qur'ani
IQNA – Waziri wa Wakfu, Masuala ya Kiislamu, na Maeneo Matakatifu wa Jordan, Mohammad Al-Khalayleh, ametangaza uzinduzi wa vituo vya kuhifadhi Qur'ani kwa wanafunzi wakati wa likizo ya shule ya majira ya baridi ya 2024/2025.
Habari ID: 3480019 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08
Harakati za Qur'ani
IQNA – Waziri wa Wakfu Algeria amesema kuwa Qur'ani Tukufu kwa lugha ya ishara itatolewa kwa wale wenye ulemavu wa kusikia nchini humo.
Habari ID: 3480018 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08
Harakati za Qur'ani
IQNA – Mkutano ulifanyika katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq, wikendi hii iliyopita kujadili maandalizi ya mwisho kwa ajili ya “Siku ya Dunia ya Qur'ani”.
Habari ID: 3480016 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/07
Harakati za Qur'ani
IQNA – Toleo la 22 la mashindano ya kitaifa ya Qur'ani nchini Mauritania lilihitimishwa kwa hafla wikendi hii.
Habari ID: 3480015 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/07
IQNA - Idara kadhaa za wakfu na masuala ya dini nchini Algeria zinafanya kazi ya kufungua tena shule za Qur'ani na Maktab (vituo vya jadi vya kusoma Qur’ani) wakati wa likizo za majira ya baridi ili kuruhusu wanafunzi kutumia muda huu kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3480014 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/06