Harakati za Qur'ani
IQNA – Binti Muirani aliyehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu amesema kwamba katika kujifunza Quran kwa moyo, talanta au kipaji ni muhimu lakini muhimu zaidi ni uvumilivu na ustahamilivu.
Habari ID: 3479890 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/10
Qur'ani Tukufu
IQNA - Nakala za Qur'ani iliyoandkwa kwa maandishi ya mtindo wa kaligrafia ya Uthman Taha itachapishw nchini Iraq kwa mara ya kwanza.
Habari ID: 3479886 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/10
IQNA - Washindi wakuu wa toleo la 32 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Sultan Qaboos nchini Oman wametajwa.
Habari ID: 3479882 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/09
IQNA - Qari kijana ambaye anashiriki katika toleo la 47 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran amesema mafanikio yake ya Qur'ani ni baraka kutoka kwa Allah (SWT).
Habari ID: 3479880 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/09
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mhifadhi wa Qur'ani wa kike amesema Qur'ani imemjengea subira na ustahimilivu katika kukabiliana na changamoto mbalimbali.
Habari ID: 3479877 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/08
Diplomasia ya Qurani
IQNA-Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa uamuzi wake wa kuanzisha Akademia ya Qur'ani jijini Dar al-Nur na kuahidi kutoa ushirikiano unaohitajika katika uwanja huo.
Habari ID: 3479865 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/06
Ahlul Bayt (AS)
IQNA – Wafasiri wa Qur’ani wanaamini kwamba aya 130 za Qur’ani Tukufu zinamhusu Bibi Fatima (SA) na familia yake, mwanachuoni wa Kiislamu amesema.
Habari ID: 3479863 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/06
Qur'ani Tukufu
IQNA - Marwan Abdul Ghani ni mvulana wa Misri ambaye ana tawahudi lakini ameweza kusoma na kuhifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479856 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/05
Harakati za Qur'ani
IQNA – Hafidh wa Qur'ani ambaye pia ni mwanazuoni wa Kiislamu ametaja sifa nyingi ambazo anaamini ni muhimu kwa qari kuwa nazo kwa ajili ya usomaji wenye taathira.
Habari ID: 3479852 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/04
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri yatang'oa nanga katika mji mkuu Cairo wikendi hii.
Habari ID: 3479848 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03
Harakati za Qur'ani
IQNA - Qari mashuhuri wa Iran Hamid Reza Ahmadivafa anashiriki katika kongamano la 23 la kimataifa la Usomaji wa Qur'ani Tukufu nchini Bangladesh.
Habari ID: 3479846 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03
Qari Mashuhuri
IQNA - Mtoto wa qari mashuhuri wa Misri Abdul Basit Abdul Samad amesisitiza mapenzi ya baba yake kwa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479842 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/02
Qur'ani Barani Afrika
IQNA - Sherehe ilifanyika mapema wiki hii kuwatunuku washindi wa mashindano ya 11 ya kitaifa ya Qur'ani Mauritania.
Habari ID: 3479832 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/01
Harakati za Qur'ani
IQNA - Kituo cha Qur'ani kinachoitwa Akademia ya Qur'ani ya Dar An-Nur kitazinduliwa Dar es Salaam, jiji kubwa zaidi la Tanzania, hivi karibuni.
Habari ID: 3479827 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/30
Waislamu Duniani
IQNA - Rais wa Shirikisho la Waislamu wa Korea (KMF) amepewa zawadi ya nakala ya Qur’ani Tukufu yenye tarjuma za Kiingereza na Kikorea.
Habari ID: 3479820 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/28
Harakati za Qur'ani
IQNA - Kozi ya Qur'ani Tukufu iliyofanyika kwa wanawake kutoka Mkoa wa Babil wa Iraq ilifikia tamati kwa sherehe iliyofanyika katika mji mtakatifu wa Karbala.
Habari ID: 3479817 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/27
Qur'ani Tukufu
IQNA – Maqari watano wametakiwa kufika kwenye Jumuiya ya Wasomaji na Wahifadhi wa Qur’ani nchini Misri kwa ajili ya qiraa ya Qur'ani ambayo imeonekana kutozingatia nidhamu na heshima.
Habari ID: 3479812 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/26
Kufa Shahidi Katika Qur'ani / 4
IQNA – Kwa mujibu wa Hadithi za Mtukufu Mtume Muhammad (SAW), iwapo mtu atauawa au kufa katika njia ya kutekeleza majukumu aliyopewa na Mwenyezi Mungu, anahesabiwa kuwa ni shahidi.
Habari ID: 3479808 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/25
Qur'ani Tukufu
IQNA - Mashindano ya 32 ya Qur'ani Tukufu ya Sultan Qaboos yamefikia hatua yake ya mwisho, na awamu ya fainali imeanza tarehe 24 Novemba katika ukumbi wa mihadhara wa Msikiti Mkuu wa Sultan Qaboos huko Muscat, Oman.
Habari ID: 3479806 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/25
Turathi
IQNA – Jumba la Makumbusho la Nuru na Amani, lililozinduliwa hivi karibuni katika Msikiti Mkuu wa Sheikh Zayed wa Abu Dhabi nchini UAE, linaonyesha turathi za Kiislamu na sanaa adimu za Qur’ani.
Habari ID: 3479799 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/24