Maisha ya Nabii Isa (AS) katika Qur’ani/3
IQNA – Kama vile watu, wakiwemo Wayahudi, walivyovutiwa na dini ya Nabii Isa (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-AS-) au Yesu, viongozi wa Kiyahudi walipata hofu na wakatafuta msaada wa Mfalme wa Kirumi kumuua Yesu.
Habari ID: 3479969 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/29
IQNA – Wanafunzi zaidi ya 60,000 wa kiume na wa kike wanahudhuria miduara ya kuhifadhi Qur’ani (Halaqat) na masomo mbalimbali ya Kiislamu (Mutun) kila siku katika Msikiti wa Mtume huko Madina.
Habari ID: 3479968 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/28
Maisha ya Nabii Isa (AS) katika Qur’ani/2
IQNA - Isa au Yesu (AS) aliteuliwa na Mwenyezi Mungu kuwaita Wana wa Israili (Bani Israil) kuelekea katika Taudi au kumpwekesha Mwenyezi Mungu, na pia kuwathibitishia kwamba alikuwa nabii kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479964 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/28
Shughuli za Qur'ani
IQNA – Kituo cha Dar-ul-Quran kinachohusishwa na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq, kinapanga kuandaa matukio mbalimbali kwenye Siku ya Qur’an Tukufu Duniani.
Habari ID: 3479961 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/27
Harakati za Qur'ani
IQNA – Toleo la 16 la Kongamano la Kimataifa la Watafiti wa Qur’ani Wanawake lilifanyika katika Mnara wa Milad mjini Tehran siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3479960 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/27
Qiraa
IQNA - Kwa mara ya kwanza, kuanzia Januari 2025, Idhaa ya Qur'ani ya Misri itarusha hewaniusomaji wa Tarteel wa Qur'ani kwa mtindo wa Warsh kutoka kwa simulizi la Nafi' na Qari mashuhuri wa Misri, Sheikh Abdul Basit Abdul Samad.
Habari ID: 3479958 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/27
Itikadi
IQNA - Uislamu na Ukristo ni dini zenye mitazamo sawa kuhusu mambo kadhaa. Linapokuja suala la mtazamo wa dini hizi mbili kuhusu Nabii Isa (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-AS-) imani zote mbili zinamtambua Iss kama mtu muhimu, lakini kuna hitilafu kuhusu maisha yake, utume na hatima yake.
Habari ID: 3479951 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/25
Uislamu na Utamaduni
IQNA - Morocco inapanga kutafsiri tafsiri za Quran katika lugha ya Amazigh. Amazigh imekuwa lugha rasmi nchini Morocco tangu 2011.
Habari ID: 3479950 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/24
Maelewano
IQNA - Wakati Krismasi ikiwa imewadia, afisa wa kundi kubwa zaidi la kutetea Waislamu nchini Marekani, akinukuu aya za Qur’ani Tukufu, amengazia jinsi Waislamu wanavyomheshimu Yesu au Nabii Isa (AS).
Habari ID: 3479946 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/24
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Haram Tukufu ya Hadhrat Al-Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imetangaza rasmi mchakato wa usajili wa toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kimataifa ya Al-Ameed ya Kusoma Qur’ani.
Habari ID: 3479944 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23
Umrah
IQNA – Msanii maarufu katika mtandao wa kijamii wa TikTok Khaby Lame hivi majuzi alipata taufiki ya kutekeleza Hija ndogo ya Umrah nchini Saudi Arabia na akiwa mbele ya Kaaba Tukufu.
Habari ID: 3479943 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mji mkuu wa Nepal wa Kathmandu ni mwenyeji wa toleo la pili la mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3479942 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23
Harakati za Qur'ani
IQNA - Shule ya kuhifadhi Qur'ani imezinduliwa nchini Misri kwa lengo la kutoa mafunzo kwa wahifadhi mia moja wa Qur'ani kila mwaka.
Habari ID: 3479937 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/22
IQNA - Kikao cha Kusoma Qur'ani kiifanyika kwenye kaburi tukufu la Bibi Masoumah (SA) huko Qom, Iran, tarehe 18 Desemba 2024.
Vijana waliohifadhi Qur'ani walitunukiwa katika hafla hiyo.
Habari ID: 3479934 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/21
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mtaalamu na mwanaharakati wa Qur'ani wa Iran amepongeza maandalizi ya kitaalamu ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya nchi hiyo.
Habari ID: 3479932 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/21
Harakati za Qur'ani
IQNA - Sekretarieti ya Idara ya Wakfu ya Kuwait imetangaza majina ya washindi wa Mashindano ya 27 ya Kitaifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani nchini humo
Habari ID: 3479927 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/20
Harakati za Qur'ani
IQNA – Qari wa ngazi za juu wa kike wa Qur’ani nchini Iran amesema mazingira ya kuunga mkono na ya kutia moyo yanayotolewa na wazazi yana jukumu muhimu katika kukuza talanta za Qur’ani kwa watoto.
Habari ID: 3479918 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/18
Harakati za Qur'ani
IQNA - Mhifadhi wa Qur'ani wa Misri aliyefariki katika ajali ya gari wiki iliyopita ni miongoni mwa washindi katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Port Said.
Habari ID: 3479917 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/18
Fikra
IQNA – Tarjuma ya Qur’ani Tukufu ni muhimu katika kufahamu maandishi ya Mwenyezi Mungu lakini haitoshi, anasema profesa mashuhuri wa lugha ya Kiarabu.
Habari ID: 3479916 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/18
Utamaduni wa Qur'ani
IQNA – Mbunge mmoja nchini Iran amesema kutekeleza mafundisho ya Sunnah za Qur'ani (sharia) kumewapa Wairani roho ya kusimama dhidi ya madola yenye kiburi na ya kibeberu.
Habari ID: 3479911 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/17