IQNA – Toleo la 30 la Tamasha la Kimataifa la Qur'ani na Hadithi la Al-Mustafa limehitimishwa nchini Tanzania kwa hafla maalum ya kufunga, ambapo washiriki bora wa tukio hilo walitunukiwa.
Habari ID: 3480729 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/24
IQNA – Mashindano yajayo ya Qur’ani ya Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai yatafanyika katika sehemu tatu kuu, na kwa mara ya kwanza yatafungua milango kwa washiriki wa kike.
Habari ID: 3480726 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/23
IQNA – Wizara ya Wakfu ya Syria imeandaa mashindano ya kwanza nchini humo ya kukamilisha usomaji wa Qur’ani nzima kwa siku moja, yakivutia mamia ya wahifadhi wa kiume na wa kike katika misikiti mitatu mikubwa kwenye mji mkuu.
Habari ID: 3480723 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/23
IQNA- Katika hafla ya kipekee iliyofanyika pembezoni mwa Kongamano la 30 la Qur'an Tukufu, lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano ya Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam, Tanzania, Tafsiri mpya ya Qur’an Tukufu kwa lugha ya Kiswahili imezinduliwa rasmi.
Habari ID: 3480722 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/22
IQNA- Kongamano la 30 la Qur’an Tukufu na Hadithi limefanyika kwa mafanikio makubwa Jijini Dar-es-Salaam - Tanzania, likiwakutanisha wasomaji mahiri wa Qur’an kutoka nchini Iran na ndani ya Tanzania..
Habari ID: 3480721 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/22
Hija katika Qur'ani /1
IQNA – Qur'ani Tukufu inaitazama Hija kama haki ya Mwenyezi Mungu juu ya wanadamu, na ni wajibu kwa wale wote walio na uwezo wa kufika katika Nyumba ya Mwenyezi Mungu katika mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3480719 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21
IQNA – Mwanaume mmoja ameshtakiwa rasmi nchini Kosovo kwa kitendo cha kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu miezi michache iliyopita.
Habari ID: 3480718 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21
IQNA – Msemaji wa Wizara ya Wakfu ya Misri ametangaza uzinduzi wa mpango wa majira ya kiangazi kwa watoto katika misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3480715 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21
IQNA – Kundi la watu waliokamilisha kuhifadhi Qur'anI Tukufu kikamilifu wameenziwa katika sherehe iliyofanyika katika mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott.
Habari ID: 3480713 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/20
IQNA – Semina kuhusu uumbaji wa milima kwa mtazamo wa Qur’ani ilifanyika katika Msikiti Mkuu wa Al-Azhar huko Cairo, Misri.
Habari ID: 3480712 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/20
IQNA – Uongozi wa Al Masjid an Nabawi (Msikiti wa Mtume) huko Madina umetangaza utekelezaji wa mpango wa kielimu wa kufundisha Qara’at Ashar (mitindo kumi ya usomaji wa Qur'ani) ndani ya msikiti huo.
Habari ID: 3480706 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/19
IQNA – Omid Reza Rahimi ni qari mwenye ulemavu wa macho ambaye amehifadhi Qur'ani ambaye ni mwanachama wa Msafara wa Qur'ani wa Nur (Noor) kutoka Iran, ambao ni ujumbe wa wasomaji Qur'ani katika ibada ya Hija.
Habari ID: 3480699 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/18
IQNA – Ibada ya Hija, inayofanywa kila mwaka, inatajwa katika Qur’an kama bendera ya Uislamu, kulingana na maelezo ya mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran.
Habari ID: 3480698 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/17
IQNA– Wanaume wawili wamepatikana na atia ya kuvunjia heshima nakala ya Qur'ani Tukufu na kila mmoja kutozwa faini ya kroner za Denmark 10,000 (sawa na dola 1,500) huko Denmark.
Habari ID: 3480696 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/17
IQNA – Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu amepongeza juhudi za utafiti wa Quran zinazofanywa na Taasisi ya Ibn Sina nchini Russia.
Habari ID: 3480693 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/16
IQNA-Omar al-Hadi, mchoraji wa maandishi kaligrafia wa Morocco mwenye umri wa miaka 60, ameushinda ulemavu wa mwili wa maisha yake kwa kuandika aya zote za Qur'ani Tukufu yote kwenye ngozi ya mbuzi.
Habari ID: 3480689 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/16
IQNA – Kituo cha Qur'ani cha Imamu Ali (AS) sasa kimefunguliwa rasmi katika eneo la kaskazini-mashariki mwa Bekaa nchini Lebanon, kikiwa taasisi ya kwanza ya aina yake katika eneo hili inayojitolea kwa elimu na uenezi wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3480684 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/14
IQNA – Mpango mpya umeanzishwa nchini Mauritania kwa lengo la kukuza maadili ya Qurani miongoni mwa kizazi kipya.
Habari ID: 3480680 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/13
IQNA – Katika mkoa wa El Oued nchini Algeria, Sheikh al-Bashir Atili, mwalimu mkongwe wa Qur'ani katika Msikiti wa Tijaniyah mjini Bayadha, anaendelea kuhamasisha vizazi vipya vya wanafunzi kupitia mbinu ya kitamaduni ya kuhifadhi Qur'ani kwa njia ya diktei na kuandika kwa mkono.
Habari ID: 3480679 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/13
IQNA – Maqari mashuhuri wa Qur'ani kutoka Iran wanatarajiwa kuzuru Tanzania kushiriki katika kongamano kubwa la kimataifa la Qur'ani litakalofanyika jijini Dar es Salaam.
Habari ID: 3480676 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/12