iqna

IQNA

Harakati za Qur'ani
IQNA - Wakfu wa Restu wa Malaysia unatazamiwa kutia saini makubaliano ya Mradi wa Wakfu kwa lengo la kusambaza nakala milioni moja za Qur'ani Tukufu kote Uingereza.
Habari ID: 3479612    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/18

Uislamu Marekani
IQNA - Mkurugenzi wa kituo cha uchapishaji cha Qur'ani Tukufu huko Chicago, Marekani, amebainisha ongezeko kubwa la hamu ya Wamarekani kusoma Qur’ani Tukufu tangu kuanza kwa Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa na vita vya Gaza.
Habari ID: 3479610    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/18

Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 10
IQNA - Jidal, katika maadili, inahusu kubishana na katika hali mbaya ya idal, mtu hubishana ili hatimaye aonekana ndie mwenye kuibuka mshindi.
Habari ID: 3479607    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/17

Jinai za Israel
IQNA - Shambulio la anga la utawala katili wa Israel kwenye kambi ya hema katikati mwa Gaza mapema wiki hii lilisababisha moto na kuua Wapalestina kadhaa.
Habari ID: 3479602    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/17

Qurni Tukufu
IQNA - Rais wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri alisema Qur'ani Tukufu ina miujiza mingi ya kisayansi ambayo imewashangaza wanasayansi katika nyanja tofauti.
Habari ID: 3479601    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/16

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yaliyofanyika Hamburg, Ujerumani, wiki iliyopita, yalihudhuriwa na washiriki 140 kutoka nchi 40 za Ulaya.
Habari ID: 3479600    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/15

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Rasmus Paludan mwanasiasa wa siasa kali za mrengo wa kulia wa Denmark na Uswidi ambaye aliivunjia heshima Qur'ani Tukufu ameshtakiwa kwa mara kadhaa nchini Uswidi (Sweden) ambapo sasa mekataa kufika mahakamani.
Habari ID: 3479599    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/15

Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 9
IQNA - Asili ya Tuhmat au tuhuma kwa kawaida huwa ni dhann (kumshuku au kumdhania mtu vibaya). Kushuku tabia au maneno ya wengine kunaweza kusababisha mtu akatoa tuhuma iwe mbele ya mlengwa au akiwa hayupo.
Habari ID: 3479595    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/14

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashidano ya 64 Kimataifa ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya Malaysia yamemalizika Jumamosi huku washindi wakitunukiwa zawadi.
Habari ID: 3479583    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13

Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 8
IQNA - Buhtan (kusingizia uongo na pia kusengenya), yaani kutoa taarifa ya uwongo inayoharibu sifa ya mtu, huwa na matokeo mabaya kwa mtu binafsi na jamii.
Habari ID: 3479582    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/12

Fasihi ya Qur'ani
IQNA - Profesa wa chuo kikuu anasema mashairi ya malenga maarufu Muirani wa karne ya 14, Hafez (Hafidh) Shirazi yamejaa marejeleo ya aya n na mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479576    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/11

Qur'ani na Maisha
IQNA - Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia Fadillah Yusof amesisitiza umuhimu wa Qur'ani Tukufu kama mfumo elekezi wa utawala, mwenendo wa kibinafsi, na maelewano ya kijamii.
Habari ID: 3479573    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/11

Harakati za Qur'ani
IQNA - Shule mpya za kuhifadhi Qur'ani zimefunguliwa nchini Ghana na Senegal na rais wa Chuo Kikuu cha Al Qasimia cha Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3479570    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/10

Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 7
IQNA - Buhtan (kusema uongo, kusingizia na pia kusengenya), ni kitendo ambacho hutendwa kwa ulimi n.k ili kuharibu sifa ya mtu na huchukuliwa kuwa ni dhambi kubwa katika Uislamu.
Habari ID: 3479563    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08

Harakati za Qur'ani
IQNA – Kozi ya Tafsiri ya Qur’ani Tukufu imefanyika katika mji wa Basrah, Kusini mwa Iraq, kwa kushirikisha zaidi ya wanafunzi 1,000.
Habari ID: 3479553    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/07

Ḥaqq al-Nas ((Haki za Watu) / 62
IQNA-Sababu ya kuharamishwa riba ni kuzuia kupotea mali za watu na pia kuzuia hamu ya watu kutoa sadaka na kutenda amali njema na zaidi ya yote kuzuia kuenea ufisadi na dhulma.
Habari ID: 3479546    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/06

IQNA – Mtu mmoja nchini Urusi (Russia) ambaye alikuwa amepewa kifungo cha jela kwa kuvunjia hesima Qur'ani Tukufu sasa anakabiliwa na shtaka jipya.
Habari ID: 3479535    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/04

Muqawama
IQNA – Qari wa Lebanon ameema moja ya vipaumbele vya Sayyid Hassan Nasrallah, ambaye aliuawa shahidi tarehe 27 Septemba katika hujuma ya kigaidi ya Israel, ilikuwa ni kusoma Qur'an na kuishi kwa mujibu wa mafundisho ya kitabu hicho kitukufu.
Habari ID: 3479529    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/03

Qiraa ya Qur'ani
Qiraa ya Qur'ani Tukufu ya qari mtoto Msomali Abdullah Hassan Hussein. Katika klipu hii anasema aya za 17 hadi 23 za Surah Insan
Habari ID: 3479513    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/30

Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 6
IQNA – Khusuma ni neno la Kiarabu lenye maana ya uhasama au uadui. Katika maadili ya Kiislamu, inarejelea kugombana na wengine kwa malengo mbali mbali.
Habari ID: 3479505    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/28