IQNA – Waziri Mkuu wa Somalia, Hamza Abdi Barre, amesema kwamba mashindano ya kitaifa ya Qur'ani yanachangia kuimarisha mshikamano na umoja ndani ya jamii ya Somalia.
Habari ID: 3480369 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/14
IQNA – Profesa wa Italia amesifu Maonyesho ya 32 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran kwa kuimarisha uhusiano kati ya Waislamu, akisisitiza jukumu lake katika kuimarisha mshikamano wa kimataifa na kuwezesha kubadilishana maarifa.
Habari ID: 3480363 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/13
IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 12 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Hossein Rostami, Mahdi Adeli, Jafar Fardi, na Ali Ghasemabadi. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480362 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/13
IQNA – Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema Waislamu hawatashindwabikiwa watafuata mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3480356 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/12
IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 11 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Mahdi Adeli, Ali Ghasemabadi, Mojtaba Parvizi, na Hossein Fardi. J iunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480355 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/12
Mtazamo
IQNA – Aya ya 32 ya Surah Al-Ma’idah ya Qur’ani Tukufu inasisitiza kanuni ya maadili ya utakatifu wa maisha ya binadamu, amesema msomi wa Afrika.
Habari ID: 3480351 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/11
IQNA – Naibu mkuu wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri ametangaza utayarishaji wa qiraa ya Tarteel ya Qur’ani na wanafunzi 20 wa chuo hicho.
Habari ID: 3480349 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/11
IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 10 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Ali Ghasemabadi, Mahdi Gholamnejad, Hossein Rostami, na Wahid Barati.
Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480347 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/11
IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 9 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na Ustadh Ahmad Abulqasemi. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480339 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/10
IQNA – Msomi wa Kiislamu kutoka Iran amesema Qur’ani Tukufu ina mfundisho yenye thamani kubwa na yenye faida kwa utawala katika jamii.
Habari ID: 3480321 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/07
IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 6 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Mohammadreza Purzargari, Mahdi Qarasheikhlu, na Mohamad Javad Jaberi. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480319 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/07
IQNA – Qari Rahim Sharifi kutoka Iran alisoma Qur’ani katika toleo la pili la Shindano la Kimataifa la Kisomo cha Qur’an la Al-Ameed, ambalo linaendelea katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq. Sharifi anatoka mji wa Ramhormoz katika mkoa wa kusini-magharibi wa Khuzestan.
Habari ID: 3480311 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/05
IQNA – Jukwaa la masomo ya Qur;an linalotumia Akili Mnemba au AI limezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka.
Habari ID: 3480310 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/05
IQNA- Qari wa kimataifa wa Iran Ahmad Aboulghasemi, ametembelela Kenya katika siku za kwanza za mwezi mtukufu wa Ramadhani na kushiriki katika vikao kadhaa vya qiraa ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480304 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/04
IQNA – Raundi ya mwisho ya toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Usomaji wa Qurani ya Al-Ameed ilizinduliwa katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq na kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480295 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/03
IQNA – Baraza la Kisayansi la Qur’ani la Idara ya Mfawidhi wa kaburi takatifu la Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, litashiriki katika Maonyesho ya Kimataifa ya Qurani ya Tehran ya 32.
Habari ID: 3480294 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/03
IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei amesema kuwa tiba ya magonjwa yote ya kiroho na kimaadili ya binadamu inapatikana ndani ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480292 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/03
IQNA – Utangulizi na ufafanuzi wa mawazo ya Qur’ani ya viongozi wawili wa Mapinduzi ya Kiislamu, pamoja na mantiki ya Qur’ani katika Muqawama au Mapambano ya Kiislamu ni maudhui ambazo zimepewa kipaumbele katika ajenda maalum ya sehemu ya kimataifa ya toleo la mwaka huu la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Tehran.
Habari ID: 3480286 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/02
IQNA – Chini ya "Mpango wa Wasomaji Mahiri," wasomaji 170 wa kipekee wa Qur'ani Tukufu watateuliwa kwa misikiti huko Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu, kuongoza waumini wakati wa sala za Ramadhani.
Habari ID: 3480279 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/28
IQNA – Mfalme Salman wa Saudi Arabia ameidhinisha usambazaji wa nakala 1.2 milioni za Qur'ani Tukufu, pamoja na tafsiri au tarjuma katika lugha 79, kwa vituo vya Kiislamu na kitamaduni, pamoja na ofisi za kidini katika ubalozi wa Saudi kote ulimwenguni.
Habari ID: 3480278 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/28