iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Afisa mmoja wa Iran amesema mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani  ya Iran yana idadi kubwa zaidi ya washiriki kati ya matukio ya kimataifa ya Qur'ani katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3479791    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/22

Turathi
IQNA - Maonyesho yenye jina la 'Herufi za Milele: Nakala za Qur'ani kutoka kwa Mkusanyiko wa Abdul Rahman Al Qwais' yalizinduliwa katika Jumba la Makumbusho la Ustaarabu wa Kiislamu la Sharjah siku ya Jumatano.
Habari ID: 3479790    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/22

Harakati za Qur'ani
IQNA – Taasisi ya Yayasan RI imetoa takriban $875,000 milioni kusaidia Mradi wa Tafsiri ya IshaRI, ukilenga kutafsiri Qur'ani Tukufu katika Lugha ya Ishara ya Malaysia (MSL) kwa jamii ya viziwi.
Habari ID: 3479789    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/22

Harakati za Qur'ani
IQNA - Mpango wa Qur'ani unaoungwa mkono na Idara ya Haram ya Imam Ridha (AS) unatazamiwa kuwashirikisha Wairani wapatao milioni 1 kote nchini, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479788    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/22

Kufa Shahidi Katika Qur'ani/1
IQNA – Qur’ani Tukufu inasisitiza kwamba kifo cha kishahidi ni hadhi iliyotukuka na inaorodhesha fadhila nyingi kwa mashahidi.
Habari ID: 3479782    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/20

Watetezi wa Qur'ani
IQNA-Kitendo cha hivi punde zaidi cha kuvunjiwa heshima Qur'ani na askari wa utawala haramu wa Israel huko Gaza kimelaaniwa na watu wengi, ikiwa ni pamoja na kundi kubwa zaidi la kutetea Waislamu nchini Marekani ambalo lilitaka Waislamu wachukuliwe hatua dhidi ya hatua hizo za kusikitisha.
Habari ID: 3479780    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/20

Mnasaba
IQNA - Programu maalum za Qur'ani na ibada za maombolezo kwa wanawake zilifanyika Karbala katika kumbukumbu ya kufa shahidi Bibi Fatima Zahra (SA).  
Habari ID: 3479776    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/19

Shughuli za Qur'ani
IQNA – Kuba la Musa katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds linachukuliwa kuwa kituo cha kwanza cha kufundisha Qur'ani huko Palestina.
Habari ID: 3479775    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/19

Jinai za Israel
IQNA - Picha inayosambaa mtandaoni inamuonyesha mwanajeshi wa utawala katili wa Israel akivunjia heshima nakala ya Qur'ani Tukufu huko Gaza ikiwa ni kitendo cha hivi karibuni cha uadui wa jeshi hilo dhidi ya Waislamu duniani.
Habari ID: 3479774    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/19

Kufa Shahidi Katika Qur'ani/1
IQNA – Katika aya za Qur’ani Tukufu na Hadithi za Mtukufu Mtume (SAW), hadhi ya mashahidi imetukuka kiasi kwamba kila Muislamu anatamani kuipata.
Habari ID: 3479773    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/18

Uislamu na Vyombo vya Habari
IQNA - Mkuu wa Shirika la Qur'ani la Wanataaluma wa Iran amefafanua misingi mitano ya Qur'ani kwa ajili ya mawasiliano bora ya ujumbe.
Habari ID: 3479765    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/17

Uislamu Duniani
IQNA - Jumuiya ya Kiislamu ya Peru huko Lima imetunukiwa zawadi ya nakala 50 za Qur'ani Tukufu zenye tarjuma ya Kihispania.
Habari ID: 3479760    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/16

Muqawama
IQNA – Mhimili wa Muqawama (Mapambano ya Kiislamu) umepata nguvu na uhalali kiasi kwamba nyanja yake ya ushawishi imevuka eneo hilo na kufika duniani kote, amesema mkuu wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon.
Habari ID: 3479756    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/16

Mawaidha
IQNA – Neno Barzakh maana yake ni eneo au hali ya baina ya vitu viwili. Hivyo basi, Barzakh (toharani) ni jukwaa baina ya dunia na Siku ya Kiyama.
Habari ID: 3479748    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/13

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Iran itakuwa na wawakilishi watatu katika toleo la 13 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Kuwait.
Habari ID: 3479746    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/13

Turathi
IQNA - Chuo Kikuu cha Warith Al-Anbiyaa katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq kinapanga kuandaa warsha za kuandika Qur’ani Tukufu kwa mkono.
Habari ID: 3479744    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/13

Harakati za Qur'ani
IQNA - Kongamano la 7 la Kimataifa Kuhusu Fikra za Qur'ani za Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei limepokea makala zaidi ya 2,000, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479742    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/12

IQNA - Mwanasiasa wa siasa kali za mrengo wa kulia wa Uswidi na Denmark Rasmus Paludan atakata rufaa dhidi ya hukumu aliyopewa wiki iliyopita na mahakama ya Uswidi kwa kuivunjia heshima Qur'ani.
Habari ID: 3479739    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/12

Mawaidha
IQNA – Wafasiri wa Qur’ani Tukufu wanazingatia Ajal mbili (wakati wa kufa) kwa wanadamu kwa kuzingatia Aya ya 2 ya Surah Al-Anaam ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3479737    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/11

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Maustadh wawili mashuhuri wa Qur'ani wa Misri ni miongoni mwa wajumbe wa jopo la majaji katika mashindano ya kwanza ya kimataifa ya Qur'ani nchini Iraq.
Habari ID: 3479728    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/10