Waislamu Malaysia
IQNA - Serikali ya Malaysia inaunga mkono wahifadhi Qur'ani katika kupata taaluma zinginezo za kikao, anasema Naibu Waziri Mkuu Ahmad Zahid Hamidi.
Habari ID: 3479255 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/10
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Uswidi (Sweden) imemshtaki mwanamume wa miaka 42 kutoka Denmark kwa uchochezi dhidi ya jamii moja (Waislamu) na matusi siku ya Jumatano, waendesha mashtaka walisema katika taarifa.
Habari ID: 3479250 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/09
Harakati za Qur'ani
IQNA - Wizara ya Wakfu na masuala ya Kiislamu ya Algeria inasema wasichana wa nchi hiyo wamekuwa wakifurahia sana kozi za Qur'ani Tukufu za msimu huu wa majira ya joto nchini humo..
Habari ID: 3479246 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/08
Mayahudi Katika Qur'ani /6
IQNA – Qur’ani Tukufu inawataja Mayahudi kuwa ni watu wenye pupa zaidi ya maisha ya kidunia na wanaelezewa kuwa wenye pupa na tamaa zaidi kuliko Mushrikeen (washirikina). Ikumbukwe kwamba Qur'ani Tukufu ina misimamo miwili juu ya Mayahudi. Moja ni kuhusu wale Mayahudi wanaomwamini Mungu Mmoja na Siku ya Kiyama na wakatenda mema na wao ni miongoni mwa “Watu wa Kitabu”.
Habari ID: 3479244 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/08
Arbaeen 1446
IQNA – Matembezi ya Arbaeen, ambayo hujumuisha mamilioni ya waumini, yanatoa fursa muhimu ya kukuza utamaduni wa Qur'ani Tukufu, afisa wa Qur'ani wa Iran anasema.
Habari ID: 3479238 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/06
Harakati za Qur'ani
IQNA - Mwanazuoni wa Pakistan amezungumza kuhusu nafasi ambayo mafundisho ya Qur'ani Tukufu yanaweza kuchukua katika kukabiliana na mfadhaiko na wasiwasi.
Habari ID: 3479236 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/06
Shughuli za Qur'ani
IQNA - Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Kuwait ilipuuza uvumi kuhusu kufungwa halqa au vikao vya kusoma Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3479235 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/06
Mayahudi Katika Qur'ani /5
IQNA – Moja ya sifa mbaya zilizotajwa ndani ya Qur’ani Tukufu kuhusu idadi kubwa ya Mayahudi ni ugumu wa nyoyo zao kutokana na madhambi na kukataa kuamini miujiza mingi.
Habari ID: 3479230 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/05
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Morocco imetangaza kuwa toleo la 18 la Tuzo la Kimataifa la Mohammed VI la Kuhifadhi Qur'ani, Kutunga Zaburi na Kusoma litafanyika tarehe 3 na 4 Septemba.
Habari ID: 3479144 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/17
IQNA - Qari wa Iran anayesifika kimataifa Hamid Reza Ahmadi alisifu Mpango wa Amir al-Qurra nchini Iraq.
Habari ID: 3479103 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/10
Qur’ani Tukufu
Ni baraka za Mtume Muhammad (SAW) (Swalla Allaahu ´alayhi wa Ali wasallama) Mtoto
Habari ID: 3478998 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/22
Harakati za Qur'ani
IQNA - Waziri wa Wakfu wa Algeria amesema idadi kubwa ya wanafunzi wanajifunza Qur'ani katika vituo vya Qur'ani kote katika nchi hiyo kaskazini mwa Afrika.
Habari ID: 3478995 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/21
Falsafa ya Hija katika Qur'ani /3
IQNA - Hija ni safari ya kiroho inayofungua njia kwa ajili ya mapinduzi ya kimaadili katika nyoyo na kufungua mlango mpya katika maisha ya Mahujaji.
Habari ID: 3478959 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/10
IQNA – Nakala milioni moja za Qur’ani Tukufu yenye tafsiri katika lugha tofauti zitasambazwa miongoni mwa mahujaji kama zawadi katika msimu wa Hija mwaka huu.
Habari ID: 3478954 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/09
IQNA - Shirika la Wakfu na Masuala Iran limeongeza muda wa mwisho wa kusajiliwa kwa Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu.
Hamid Majidimehr, Mkuu wa Kituo cha Masuala ya Qur'ani cha shirika hilo, aliiambia IQNA siku ya Jumamosi kwamba makataa ya usajili yameongezwa kwa siku kumi hadi Juni 18.
Habari ID: 3478953 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/09
Mayahudi katika Qur'ani / 4
IQNA - Kuna aya nyingi ndani ya Qur'ani Tukufu kuhusu Mayahudi walioishi wakati wa uhai wa Nabii Musa (AS) na wale walioishi katika miaka ya mwanzo baada ya kuja kwa Uislamu.
Habari ID: 3478938 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/05
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya Qur'ani kati ya majeshi ya Iran na Oman yanaendelea katika mji mkuu wa Oman, Muscat.
Habari ID: 3478937 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/05
Harakati za Qur'ani
IQNA - Majukwaa ya kidijitali au ya mtandaoni ambayo hayana leseni hayaruhusiwi kufundisha Qur'ani Tukufu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Mamlaka Kuu ya Masuala ya Kiislamu, Wakfu na Zakat nchini humo imesema.
Habari ID: 3478926 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/04
Harakati za Qur'ani
IQNA - Idhaa ya Qur'an ndiyo redio maarufu zaidi nchini Misri, kulingana na mkuu wa redio hiyo.
Habari ID: 3478919 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/02
Mayahudi katika Qur'ani / 3
IQNA - Mzayuni ni Myahudi ambaye ana imani ya kufurutu ada kuhusu 'ubora wa juu zaidi' wa watu wa Mayahudi na kwamba warejee katika kile wanachodai ni "Nchi Ya Ahadi".
Habari ID: 3478913 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/01