iqna

IQNA

Mashindano
IQNA - Mashindano ya Qur'ani Tukufu yalifanyika kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa huko Kyengera, mji mkuu wa Uganda wa Kampala, wikendi hii.
Habari ID: 3479698    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/04

Muqawama
IQNA - Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amefafanua jinsi kiongozi wa harakati hiyo aliyeuawa shahidi, Yahya Sinwar, alivyowaheshimu sana wahifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3479695    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/03

Harakati za Qur'ani
IQNA – Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) inaandaa vikao vya Qur'ani katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3479687    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/02

Harakati za Qur'ani
IQNA - Wizara ya masuala ya kidini ya Indonesia ilithibitisha kukamilika kwa mradi wa tarjuma ya Qur’ani Tukufu katika Kicirebon.
Habari ID: 3479682    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/01

Harakati za Qur'ani
IQNA - Sherehe ilifanyika mashariki mwa Kosovo kuwaenzi wasichana 44 ambao wamehitimu kutoka kozi za Qur'ani.
Habari ID: 3479672    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/30

IQNA - Kundi la wanachama wa Jumuiya ya Qur'ani ya Iran wametembelea watu wa Lebanon, ambao wamejeruhiwa katika shambulio la Israel, katika hospitali jijini Tehran.
Habari ID: 3479666    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/29

Qur'ani Tukufu Katika Mataifa
IQNA - Wafasiri wa kwanza wa Qur'ani Tukufu katika lugha ya Kibosnia,  ya Bosnia na Herzegovina, walilenga hasa katika kuwasilisha kwa usahihi maana za aya lakini katika miongo michache iliyopita, pia kumekuwa na umakini kwenye vipengele vya uboreshaji wa kifasihi.
Habari ID: 3479661    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/28

Qur'ani Tukufu
IQNA - Zaidi ya nakala milioni 300 za Qur'ani Tukufu zimechapishwa katika Kituo cha Uchapishaji Qur'ani cha Mfalme Fahd mjini Madina, Saudi Arabia.
Habari ID: 3479653    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/27

Maadili ya kibinafsi/ Hatari za Ulimi 14
IQNA – Ni muhimu kulinda maneno ya watu wengine, na mtu hapaswi kusambaza maneneo aliyoyasikia bila ya ridhaa ya aliyeyasema. Kueneza maneno yaw engine kunaweza kuitwa ni umbeya. Wasomi wa maadili ya Kiislamu wamekataza umbea kwani ni tabia isiyofaa ambayo husababisha uadui na chuki na kuharibu udugu na urafiki.
Habari ID: 3479651    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/27

Qur'ani Tukufu
IQNA – Msururu wa kozi za Qur’ani zimepangwa kuandaliwa kwa ajili ya walimu wa shule nchini Kuwait. Idara ya Mafunzo ya Kiislamu ya nchi hiyo ya Kiarabu katika Ghuba ya Uajemi  itaendesha kozi hizo kwa ushirikiano na Jumuiya ya Kuwait ya Misaada na Maendeleo ya Kibinadamu.
Habari ID: 3479643    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/25

Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 13
IQNA - Kutukana ni kuhusisha sifa isiyofaa kwa mtu kwa hasira au chuki.
Habari ID: 3479637    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/23

Harakati za Qur'ani
IQNA - Alireza Enayati, Balozi wa Iran nchini Saudi Arabia, ametembelea Kituo cha Uchapishaji Qu’ani cha Mfalme Fahd mjini Madina.
Habari ID: 3479635    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/23

Utamaduni
IQNA - Maonyesho yanayoangazia maandishi ya kaligarafia ya Qur'ani Tukufu yamefunguliwa katika mji mkuu wa Iraq wa Baghdad. Waziri wa Utamaduni, Utalii na Mambo ya Kale wa Iraq alizindua maonyesho maalum ya maandishi ya  kaligrafia ya Qur'ani Jumatatu, Oktoba 21.
Habari ID: 3479634    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/23

Diplomasia ya Qur'ani
IQNA - Maafisa kutoka Iran na Malaysia wamesisitiza umuhimu wa kuendeleza ushirikiano katika nyanja za Qur'ani.
Habari ID: 3479630    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/22

Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 12
IQNA - Istihza au dhihaka inafanuliwa na wanazuoni wa maadili kuwa ni kuiga maneno, matendo, sifa, au mapungufu ya mwingine kwa lengo la kuwafanya watu wacheke.
Habari ID: 3479628    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/21

Utamaduni wa Qur'ani
IQNA - Hassan Al-Bakouli, mwandishi wa kaligrafia wa Yemen, anasema alipokea idhini ya kunakili Msahafu wa Uthman Taha, mwandishi maarufu wa aya za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479627    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/21

IQNA - Video inayoonyesha usomaji wa Qur'ani wa qari wa Sudan mwenye ulemavu wa macho imewavutia watumiaji wa mitandao ya kijamii. Katika klipu hii, Msudani huyo anasoma aya za Qur'ani Tukufu za Surah Al-Hujurat.
Habari ID: 3479624    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/21

Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 11
IQNA – Mtu anapotumia La’an (kummlaani mtu mwingine), anamtaka mtu huyo awe mbali na rehema na neema za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479618    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/19

IQNA - Mashindano ya 22 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Moscow yatafanyika katika mji mkuu wa Russia mwezi ujao.
Habari ID: 3479617    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/19

Harakati za Qur'ani
IQNA - Wakfu wa Restu wa Malaysia unatazamiwa kutia saini makubaliano ya Mradi wa Wakfu kwa lengo la kusambaza nakala milioni moja za Qur'ani Tukufu kote Uingereza.
Habari ID: 3479612    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/18