IQNA – Kwa kuboresha mazingira ya upangaji na uamuzi, na kuongeza ushiriki wa washiriki wenye hamasa, mashindano ya kuhifadhi Qur’ani ya Australia yamegeuka kuwa mfano bora wa kuimarisha utambulisho wa vijana Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3481410 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/24
IQNA – Waziri wa Mambo ya Waqf wa Misri ametoa pongezi zake kwa kuenziwa hivi karibuni kwa Qari maarufu Sheikh Abdul Fattah Taruti wakati wa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yaliyofanyika mjini Moscow, Russia
Habari ID: 3481409 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/24
IQNA – Katika tukio la kihistoria lililopeperushwa kupitia kipindi cha televisheni cha Ahl Masr nchini Misri, tafsiri ya Qur'ani Tukufu iliyoandikwa kwa mkono na mwanazuoni mashuhuri wa Al-Azhar, marehemu Sheikh Ahmed Omar Hashem, imewasilishwa kwa mara ya kwanza hadharani. Kazi hiyo ya miaka kumi imekamilika kabla ya kifo chake mapema mwezi huu.
Habari ID: 3481404 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/23
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu/4
IQNA – Ushirikiano na usalama wa kijamii kwa wale waliotengwa na wahitaji ni miongoni mwa masharti muhimu ya mwenendo wa waumini, kwa mujibu wa aya za Qur’ani Tukufu na Hadithi za Ahlul-Bayt (AS).
Habari ID: 3481395 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/21
IQNA – Kongamano la kwanza la kimataifa la “Qur’an ya Negel” limefanyika mjini Sanandaj siku ya Jumatatu, likiwakutanisha makari na wahifadhi wa Qur’an wanaozungumza Kikurdi kutoka Iran, Uturuki na Iraq.
Habari ID: 3481394 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/21
IQNA – Bi Zubaydah Taysert, Waziri wa Utamaduni wa Thailand, alifanya ziara rasmi katika Makumbusho ya Urithi wa Kiislamu na Kituo cha Elimu ya Qur'ani kilichoko katika wilaya ya Yingluck, Jumamosi tarehe 18 Oktoba 2025, kabla ya uzinduzi rasmi wa majengo hayo.
Habari ID: 3481389 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/20
IQNA – Usajili umefunguliwa kwa toleo la 30 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Sheikh Jassim bin Muhammad bin Thani nchini Qatar.
Habari ID: 3481388 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/20
IQNA-Katika mji wa Mason, jimbo la Ohio nchini Marekani, kuna shule inayojulikana kama ICM Learning Academy ambayo hufundisha wanafunzi si tu kusoma Qur’ani Tukufu bali pia kuifahamu na kuikumbuka kwa moyo wote.
Habari ID: 3481384 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/19
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu/3
IQNA-Katika Aya ya pili ya Surah Al-Ma’idah, Mwenyezi Mungu Mtukufu ametaja amri nane muhimu, ambazo ni miongoni mwa maagizo ya mwisho aliyoteremshiwa Mtume Muhammad (Rehema na Amani zimshukie). Miongoni mwa amri hizo ni kushikamana kwa pamoja katika njia ya wema na uchamungu.
Habari ID: 3481383 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/19
IQNA-Wizara ya Wakfu wa Kidini ya Misri imemteua rasmi Qari Dkt. Ahmed Ahmed Nuaina kuwa Sheikh al-Qurra, yaani Kiongozi Mkuu wa Wasomaji wa Qur'anI nchini humo.
Habari ID: 3481377 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/17
IQNA – Tarehe 15 Oktoba, katika Msikiti Mkuu wa Astana, Kazakhstan, mashindano ya pili ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur'an Tukufu yamekamilika, yakileta pamoja washiriki 22 kutoka mataifa 21. Tukio hili limeandaliwa kwa ushirikiano kati ya Wizara ya Mambo ya Kiislamu ya Saudi Arabia na Mamlaka ya Kiroho ya Waislamu wa Kazakhstan.
Habari ID: 3481374 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/17
IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya 26 ya Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind bint Maktoum imeanza rasmi Dubai, ikiwakutanisha wanaume na wanawake wanaohifadhi Qur’ani kutoka kote katika Muungano wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3481372 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/15
IQNA – Kijana mmoja wa Kipalestina amegundua nakala ya Msahafu ikiwa salama kabisa chini ya magofu ya nyumba yake iliyoharibiwa kaskazini mwa Gaza, akieleza hisia za kina na shukrani baada ya miezi ya mashambulizi.
Habari ID: 3481371 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/15
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu (Sehemu ya Pili)/2
IQNA – Neno Ta’avun (ushirikiano) hutumika kama istilahi ya kielimu katika fani nyingi, lakini katika Seerah ya Mtume Mtukufu (SAW), mara nyingi linahusiana na vitendo vinavyolenga kutimiza mahitaji ya wengine.
Habari ID: 3481365 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/14
IQNA – Mashindano ya kwanza ya Qur'ani na Sunnah yameanza rasmi nchini Brazil, katika bara la Amerika ya Kusini.
Habari ID: 3481364 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/13
IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yatafanyika wakati wa toleo la pili la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Libya, yatakayofanyika mjini Tripoli mwishoni mwa mwezi huu.
Habari ID: 3481363 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/13
Ushirikiano katika Qur'ani Tukufu/1
IQNA – Uislamu umeamuru wafuasi wake kusaidiana katika kutenda mema. Wakati watu wanapokusanyika na kuanzisha mahusiano ya kijamii, roho ya umoja huingia katika mahusiano yao, na hivyo hujikinga dhidi ya mgawanyiko na kutengana.
Habari ID: 3481360 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/13
IQNA – Morocco imezindua jukwaa la kwanza la kidijitali lenye akili mnemba (AI) kwa ajili ya mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu, likilenga kubadilisha kabisa namna mashindano haya yanavyoandaliwa na kusimamiwa.
Habari ID: 3481358 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/12
IQNA – Hukumu dhidi ya mwanaume aliyepigwa faini kwa kuchoma nakala ya Qur'an nje ya ubalozi wa Uturuki jijini London imebatilishwa kwa kisingizio cha eti “uhuru wa kujieleza.”
Habari ID: 3481354 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/11
IQNA – Mradi wa kitaifa uitwao Miqraat al-Majlis (Usomaji wa Kikao) umezinduliwa nchini Misri kwa lengo la kusahihisha usomaji wa Qur'an Tukufu.
Habari ID: 3481351 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/11