Usomaji Qur'ani
IQNA - Msomaji mashuhuri wa Qur'ani wa Misri Sheikh Muhammad Sidiq Minshawi ameenziwa katika hafla iliyofanyika nchini Tanzania hivi karibuni.
Habari ID: 3479408 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/10
Harakati za Qur'ani
IQNA – Kituo cha Hikmat (hekima) cha Dar-ul-Quran kilizinduliwa huko Pretoria, mji mkuu wa kiserikali nchini Afrika Kusini.
Habari ID: 3479406 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/09
Watoto na Qur'ani
IQNA - The "Little Memorizers" Academy ni taasisi huko Pristina, mji mkuu wa Kosovo, ambayo inafundisha Qur'ani kwa watoto.
Habari ID: 3479405 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/09
Harakati za Qur'ani
IQNA - Jumuiya ya Wasomaji na Wahifadhi wa Qur'ani ya Misri iliwaonya maqari dhidi ya kitendo chochote ambacho kinachukuliwa kuwa ni cha kutoheshimu Kitabu cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479400 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/08
Arbaeen
IQNA - Wafanyaziara wawili wa Iran walianza mradi mwaka huu wa kuandika aya za Qur'ani Tukufu katika safari yao ya siku 72 ya Arbaeen kutoka Mashhad, Iran hadi Karbala, Iraq.
Habari ID: 3479396 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07
Msomi wa Qur'ani
IQNA - Ahmed al-Aimash (Laimeche) ni mtu mashuhuri nchini Algeria na ulimwengu wa Kiarabu kutokana na jukumu lake katika kukuza Uislamu na kuimarisha utambulisho wa kitamaduni wa Waarabu.
Habari ID: 3479391 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07
Shughuli za Qur'ani
IQNA – Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq iliandaa programu mbalimbali za Qur’ani kwa wafanyaziara wa kike wakati wa matembezi ya Arbaeen mwaka huu.
Habari ID: 3479388 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/06
Muqawama
IQNA- Badreddin Abdul Malik al-Houthi, kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, katika hotuba yake kuhusu hali mbaya ya hivi sasa ya Umma wa Kiislamu amesema kuna ulazima kufungamana na Mtume Muhammad (SAW0 Mtume na Qur'ani Tukufu, amesisitiza haja ya Waislamu kusoma na kuiga shakhsia ya Mtume (SAW).
Habari ID: 3479387 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/06
IQNA - Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Mauritania inapanga kuandaa mashindano ya Qur'ani na Hadithi kwa nchi za Afrika Magharibi.
Habari ID: 3479382 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/04
Wasoomaji Qur'ani
IQNA - Wabunge kadhaa nchini Misri wametoa wito wa kuundwa kwa kamati mpya ya kusimamia usomaji wa Qur'ani au qiraa na maqari au wasomaji Qur’ani nchini humo.
Habari ID: 3479380 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/04
Harakati za Qur'ani
IQNA - Programu zenye ubunifu za Qur'ani Tukufu zinafanyika katika Haram Tukufu ya Imam Ridha (AS) huku mamilioni ya mahujaji wakiwasili Mashhad kuandaa maandamano ya maombolezo.
Habari ID: 3479375 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/03
Harakati za Qur'ani
IQNA - Vituo vinne vya Qur'ani vimewekwa kwenye barabara zinazoelekea mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3479369 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/02
Arbaeen katika Qur'ani /4
IQNA - Matembezi ya kila mwaka ya Arbaeen, moja ya mikusanyiko mikubwa ya kidini duniani, yana mizizi mirefu katika mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479367 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/02
Watetezi wa Palestina
IQNA - Maandamano ya kukaa ndani yameandaliwa na wanafunzi na wafanyakazi wa Chuo cha Juu cha Qur'ani Tukufu katika mji mkuu wa Yemen wa Sana'a kulaani kitendo cha jeshi la utawala haramu wa Israel kuvunjiwa heshima nakala za Qur'ani Tukufu hivi karibuni na ukatili wao dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3479366 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/02
Qur’ani na Jamii /1
IQNA – Kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, uwajibikaji wa kijamii unarejelea mfululizo wa tabia na matendo ambayo watu huwafanyia wanadamu wenzao.
Habari ID: 3479360 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/31
Mawaidha
IQNA – Kuna uzuri na muelekeo wa kisaikolofia wa kuswali na kuomba dua katika aya za Qur’ani, mwanachuoni na mtafiti wa Iraq anasema, akisisitiza umuhimu wa neno Rabb (Mola) katika mtazamo huu.
Habari ID: 3479359 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/31
Harakati za Qur'ani
IQNA - Misikiti na maeneo yenye makaburi matakatifu nchini Iran yatakuwa na hafla maalum za usomaji wa Qur'ani katika mkesha wa kumbukumbu ya kufariki kwa Mtukufu Mtume Muhammad (SAW.).
Habari ID: 3479357 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/31
Watetezi wa Palestina
IQNA - Takriban watu milioni moja walikusanyika katika mji mkuu wa Yemen wa Sana'a siku ya Ijumaa ili kuelezea mshikamano wao na Wapalestina huko Gaza na pia kulaani jinai ya wanajeshi wa Israel ya kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479356 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/31
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la kwanza la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yaliyopewa jina la Tuzo la Qur'ani la Iraq yatafanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo ya Kiarabu, Baghdad, mwezi wa Novemba.
Habari ID: 3479355 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/30
Mayahudi katika Qur'ani /8
IQNA – Bani Isra’il, kwa mujibu wa aya za Qur’ani Tukufu, walikuwa watu wakaidi zaidi katika suala la kukataa Tauhidi au Imani ya kumuabudu Mungu Mmoja.
Habari ID: 3479350 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/29