iqna

IQNA

Harakati za Qur'ani
IQNA -Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu nchini Misri limetangaza kuachiliwa kwa usomaji nadra wa Qur'ani kutoka enzi ya dhahabu ya sanaa ya Qur'ani ya Misri kwenye kurasa zake rasmi za mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3479901    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/15

Harakati za Qur'ani
IQNA - Kozi tatu za kimataifa za mtandaoni zinazojumuisha masomo ya Qur’ani Tukufu zimeandaliwa huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3479900    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/15

Harakati ya Qur'ani
IQNA - Raia wa Iran ambaye ni mlemavu wa macho ambaye ameihifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu nzima kwa muda wa miaka miwili amesema kitabu hicho kitakatifu kimempa "amani ya ndani."
Habari ID: 3479898    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/14

IQNA - Ismail Ma Jinping alikuwa mwalimu wa Kiarabu nchini China ambaye alitafsiri Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kichina.
Habari ID: 3479897    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/14

Harakati za Qur'ani
IQNA – Binti Muirani aliyehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu amesema kwamba katika kujifunza Quran kwa moyo, talanta au kipaji  ni muhimu lakini muhimu zaidi ni uvumilivu na ustahamilivu.
Habari ID: 3479890    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/10

Qur'ani Tukufu
IQNA - Nakala za Qur'ani iliyoandkwa kwa maandishi ya mtindo wa kaligrafia ya Uthman Taha itachapishw nchini Iraq kwa mara ya kwanza.
Habari ID: 3479886    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/10

IQNA - Washindi wakuu wa toleo la 32 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Sultan Qaboos nchini Oman wametajwa.
Habari ID: 3479882    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/09

IQNA - Qari kijana ambaye anashiriki katika toleo la 47 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran amesema mafanikio yake ya Qur'ani ni baraka kutoka kwa Allah (SWT).
Habari ID: 3479880    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/09

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mhifadhi wa Qur'ani wa kike amesema Qur'ani imemjengea subira na ustahimilivu katika kukabiliana na changamoto mbalimbali.
Habari ID: 3479877    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/08

Diplomasia ya Qurani
IQNA-Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa uamuzi wake wa kuanzisha Akademia ya Qur'ani jijini Dar al-Nur na kuahidi kutoa ushirikiano unaohitajika katika uwanja huo.
Habari ID: 3479865    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/06

Ahlul Bayt (AS)
IQNA – Wafasiri wa Qur’ani wanaamini kwamba aya 130 za Qur’ani Tukufu  zinamhusu Bibi Fatima (SA) na familia yake, mwanachuoni wa Kiislamu amesema.
Habari ID: 3479863    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/06

Qur'ani Tukufu
IQNA - Marwan Abdul Ghani ni mvulana wa Misri ambaye ana tawahudi lakini ameweza kusoma na kuhifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479856    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/05

Harakati za Qur'ani
IQNA – Hafidh wa Qur'ani ambaye pia ni mwanazuoni wa Kiislamu ametaja sifa nyingi ambazo anaamini ni muhimu kwa qari kuwa nazo kwa ajili ya usomaji wenye taathira.
Habari ID: 3479852    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/04

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri yatang'oa nanga katika mji mkuu Cairo wikendi hii.
Habari ID: 3479848    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03

Harakati za Qur'ani
IQNA - Qari mashuhuri wa Iran Hamid Reza Ahmadivafa anashiriki katika kongamano la 23 la kimataifa la Usomaji wa Qur'ani Tukufu nchini Bangladesh.
Habari ID: 3479846    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03

Qari Mashuhuri
IQNA - Mtoto wa qari mashuhuri wa Misri Abdul Basit Abdul Samad amesisitiza mapenzi ya baba yake kwa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479842    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/02

Qur'ani Barani Afrika
IQNA - Sherehe ilifanyika mapema wiki hii kuwatunuku washindi wa mashindano ya 11 ya kitaifa ya Qur'ani Mauritania.
Habari ID: 3479832    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/01

Harakati za Qur'ani
IQNA - Kituo cha Qur'ani kinachoitwa  Akademia ya Qur'ani ya Dar An-Nur kitazinduliwa Dar es Salaam, jiji kubwa zaidi la Tanzania, hivi karibuni.
Habari ID: 3479827    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/30

Waislamu Duniani
IQNA - Rais wa Shirikisho la Waislamu wa Korea (KMF) amepewa zawadi ya nakala ya Qur’ani Tukufu yenye tarjuma za Kiingereza na Kikorea.
Habari ID: 3479820    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/28

Harakati za Qur'ani
IQNA - Kozi ya Qur'ani Tukufu iliyofanyika kwa wanawake kutoka Mkoa wa Babil wa Iraq ilifikia tamati kwa sherehe iliyofanyika katika mji mtakatifu wa Karbala.
Habari ID: 3479817    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/27