iqna

IQNA

Qur'ani Tukufu
IQNA – Maqari watano wametakiwa kufika kwenye Jumuiya ya Wasomaji na Wahifadhi wa Qur’ani nchini Misri kwa ajili ya qiraa ya Qur'ani ambayo imeonekana kutozingatia nidhamu na heshima.
Habari ID: 3479812    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/26

Kufa Shahidi Katika Qur'ani / 4
IQNA – Kwa mujibu wa Hadithi za Mtukufu Mtume Muhammad (SAW), iwapo mtu atauawa au kufa katika njia ya kutekeleza majukumu aliyopewa na Mwenyezi Mungu, anahesabiwa kuwa ni shahidi.
Habari ID: 3479808    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/25

Qur'ani Tukufu
IQNA - Mashindano ya 32 ya Qur'ani Tukufu ya Sultan Qaboos yamefikia hatua yake ya mwisho, na awamu ya fainali imeanza tarehe 24 Novemba katika ukumbi wa mihadhara wa Msikiti Mkuu wa Sultan Qaboos huko Muscat, Oman.
Habari ID: 3479806    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/25

Turathi
IQNA – Jumba la Makumbusho la Nuru na Amani, lililozinduliwa hivi karibuni katika Msikiti Mkuu wa Sheikh Zayed wa Abu Dhabi nchini UAE, linaonyesha turathi za Kiislamu na sanaa adimu za Qur’ani.
Habari ID: 3479799    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/24

Kufa Shahidi Katika Qur'ani/3
IQNA – Kwa mujibu wa Qur'ani Tukufu, kufa kishahidi ni muamala wa kibiasharakati ya mtu na Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479797    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/23

Harakati za Qur'ani
IQNA – Kikao  maalum cha Qur'ani kimefanyika katika Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq na kuhudhuriwa na zaidi ya wafanyaziara elfu moja.
Habari ID: 3479795    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/23

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Afisa mmoja wa Iran amesema mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani  ya Iran yana idadi kubwa zaidi ya washiriki kati ya matukio ya kimataifa ya Qur'ani katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3479791    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/22

Turathi
IQNA - Maonyesho yenye jina la 'Herufi za Milele: Nakala za Qur'ani kutoka kwa Mkusanyiko wa Abdul Rahman Al Qwais' yalizinduliwa katika Jumba la Makumbusho la Ustaarabu wa Kiislamu la Sharjah siku ya Jumatano.
Habari ID: 3479790    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/22

Harakati za Qur'ani
IQNA – Taasisi ya Yayasan RI imetoa takriban $875,000 milioni kusaidia Mradi wa Tafsiri ya IshaRI, ukilenga kutafsiri Qur'ani Tukufu katika Lugha ya Ishara ya Malaysia (MSL) kwa jamii ya viziwi.
Habari ID: 3479789    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/22

Harakati za Qur'ani
IQNA - Mpango wa Qur'ani unaoungwa mkono na Idara ya Haram ya Imam Ridha (AS) unatazamiwa kuwashirikisha Wairani wapatao milioni 1 kote nchini, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479788    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/22

Kufa Shahidi Katika Qur'ani/1
IQNA – Qur’ani Tukufu inasisitiza kwamba kifo cha kishahidi ni hadhi iliyotukuka na inaorodhesha fadhila nyingi kwa mashahidi.
Habari ID: 3479782    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/20

Watetezi wa Qur'ani
IQNA-Kitendo cha hivi punde zaidi cha kuvunjiwa heshima Qur'ani na askari wa utawala haramu wa Israel huko Gaza kimelaaniwa na watu wengi, ikiwa ni pamoja na kundi kubwa zaidi la kutetea Waislamu nchini Marekani ambalo lilitaka Waislamu wachukuliwe hatua dhidi ya hatua hizo za kusikitisha.
Habari ID: 3479780    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/20

Mnasaba
IQNA - Programu maalum za Qur'ani na ibada za maombolezo kwa wanawake zilifanyika Karbala katika kumbukumbu ya kufa shahidi Bibi Fatima Zahra (SA).  
Habari ID: 3479776    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/19

Shughuli za Qur'ani
IQNA – Kuba la Musa katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds linachukuliwa kuwa kituo cha kwanza cha kufundisha Qur'ani huko Palestina.
Habari ID: 3479775    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/19

Jinai za Israel
IQNA - Picha inayosambaa mtandaoni inamuonyesha mwanajeshi wa utawala katili wa Israel akivunjia heshima nakala ya Qur'ani Tukufu huko Gaza ikiwa ni kitendo cha hivi karibuni cha uadui wa jeshi hilo dhidi ya Waislamu duniani.
Habari ID: 3479774    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/19

Kufa Shahidi Katika Qur'ani/1
IQNA – Katika aya za Qur’ani Tukufu na Hadithi za Mtukufu Mtume (SAW), hadhi ya mashahidi imetukuka kiasi kwamba kila Muislamu anatamani kuipata.
Habari ID: 3479773    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/18

Uislamu na Vyombo vya Habari
IQNA - Mkuu wa Shirika la Qur'ani la Wanataaluma wa Iran amefafanua misingi mitano ya Qur'ani kwa ajili ya mawasiliano bora ya ujumbe.
Habari ID: 3479765    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/17

Uislamu Duniani
IQNA - Jumuiya ya Kiislamu ya Peru huko Lima imetunukiwa zawadi ya nakala 50 za Qur'ani Tukufu zenye tarjuma ya Kihispania.
Habari ID: 3479760    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/16

Muqawama
IQNA – Mhimili wa Muqawama (Mapambano ya Kiislamu) umepata nguvu na uhalali kiasi kwamba nyanja yake ya ushawishi imevuka eneo hilo na kufika duniani kote, amesema mkuu wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon.
Habari ID: 3479756    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/16

Mawaidha
IQNA – Neno Barzakh maana yake ni eneo au hali ya baina ya vitu viwili. Hivyo basi, Barzakh (toharani) ni jukwaa baina ya dunia na Siku ya Kiyama.
Habari ID: 3479748    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/13