Harakati za Qur'ani
IQNA - Chuo Kikuu cha Shahid Beheshti huko Tehran kitaandaa Kongamano la pili la Kimataifa la Mafunzo ya Taaluma za Qur'ani mapema mwaka ujao.
Habari ID: 3479476 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/23
Waislamu Nigeria
IQNA - Shule ya Amirul Muminin (AS) huko Abuja, mji mkuu wa Nigeria, imezindua kozi za kuhifadhi Qur'ani kwa wavulana na wasichana.
Habari ID: 3479475 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/23
IQNA - Idara ya Kaburi la Hafidh, mshairi wa Kiirani wa karne ya 14, huko Shiraz liliandaa halqa za Qur'ani Tukufu mnamo Septemba 18, 2024, kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) na Wiki ya Umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3479472 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/23
Onyo
IQNA – Taasisi za Al-Azhar na Dar al-Ifta nchini Misri zimetangaza kuwa kuunda na kutangaza klipu za visomo vya Qur'ani vinavyoambatana na muziki ni marufuku, kwani inachukuliwa kuwa ni kutoheshimu Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479469 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/22
Harakati za Qur'ani
IQNA - Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) amependekeza kuanzishwa kwa bunge la Qur'ani la ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3479467 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/22
Harakati za Qur'ani
IQNA - Programu ya siku nne ya Al-Quran kwa waliosilimu ilihitimishwa kwa hafla ya kutunukiwa washiriki wa kozi hiyo katika Kituo cha Da'wah cha Kiislamu (PDI) siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3479466 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/22
IQNA - Mwanamke wa Algeria ambaye alijifunza Qur’ani Tukufu kwa moyo akiwa na ameaga dunia kutokana na saratani akiwa na umri wa miaka 75.
Habari ID: 3479456 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/19
Waislamu Malaysia
IQNA - Serikali ya Malaysia imethibitisha dhamira yake ya kuwawezesha vijana wanaohifadhi Qur'ani Tukufu ili kuhakikisha wanafaulu katika fani hiyo sambamba na kuwapa ujuzi katika nyanja zingine za kitaaluma.
Habari ID: 3479442 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/16
Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 2
IQNA-Mazungumzo yasiyo na maana pia huitwa "tamaa ya maneno". Hii ni tabia isiyofaa na kwa mujibu wa maadili ya Kiislamu na hivyo Muislamu anapaswa kujiepusha nayo.
Habari ID: 3479440 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/15
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Muda wa mwisho wa usajili wa Toleo la 31 la Mashindano ya Qur'ani na Etrat kwa Vkosi vya Basij vya Iran uliongezwa ambapo zaidi ya nusu milioni tayari wamejiandikisha kwa ajili ya tukio hilo.
Habari ID: 3479433 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/14
Harakati za Qur'ani
IQNA - Zaidi ya wahifadhi wa Qur'ani wapatao 150 wanaume na wanawake kaskazini mwa Gaza walikusanyika kwa ajili ya kikao cha Qur'ani, ambao walisoma Qur'ani nzima nzima kwa kikao kimoja, pamoja na kuwepo vita vya mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel dhidi ya eneo hilo.
Habari ID: 3479432 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/14
Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 1
IQNA – Ulimi, sawa na viungo vingine vya mwili, ni njia ya kutenda madhambi ikiwa mwanadamu hatafuata kanuni na maamrisho ya Mwenyezi Mungu, na ni njia ya kumtii Mwenyezi Mungu ikiwa tutafuata maamrisho ya Uislamu.
Habari ID: 3479427 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/13
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la tano la Mashindano ya Qur’ani yaliyofanyika katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq, lilifikia tamati katika sherehe zilizofanyika wikendi.
Habari ID: 3479416 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/11
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Hatua ya nusu fainali ya mashindano ya Qur'ani kwa vijana nchini Yemen ilianza katika mji mkuu Sana'a Jumatatu usiku.
Habari ID: 3479415 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/11
Qur’anI na Jamii/2
IQNA – Kujikusanyia mali kwa wingi , kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu, ni jambo ambalo limegawanywa katika kategoria mbili; manfuaa na madhara.
Habari ID: 3479414 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/10
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Duru ya awali ya mashindano ya kitaifa ya Qur'ani ya Algeria imeanza kwa kushirikisha washiriki 225 wa kiume na wa kike.
Habari ID: 3479413 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/10
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la 38 la Mashindano ya Qur'an na Etrat kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya Iran lilizinduliwa katika mji wa kaskazini magharibi wa Tabriz siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3479412 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/10
Uislamu na Afya
IQNA – Muhammad Naquib Ajmal Mohd Jamal Nasir, mwenye umri wa miaka 26 ambaye aligundulika kuwa na usonji, alihitimu Jumatatu kwa Shahada ya Kwanza ya Mafunzo ya Qur'ani na Sunnah kutoka Universiti Islam Pahang Sultan Ahmad Shah (UNIPSAS).
Habari ID: 3479410 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/10
Usomaji Qur'ani
IQNA - Msomaji mashuhuri wa Qur'ani wa Misri Sheikh Muhammad Sidiq Minshawi ameenziwa katika hafla iliyofanyika nchini Tanzania hivi karibuni.
Habari ID: 3479408 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/10
Harakati za Qur'ani
IQNA – Kituo cha Hikmat (hekima) cha Dar-ul-Quran kilizinduliwa huko Pretoria, mji mkuu wa kiserikali nchini Afrika Kusini.
Habari ID: 3479406 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/09