iqna

IQNA

Mawaidha
IQNA – Neno Barzakh maana yake ni eneo au hali ya baina ya vitu viwili. Hivyo basi, Barzakh (toharani) ni jukwaa baina ya dunia na Siku ya Kiyama.
Habari ID: 3479748    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/13

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Iran itakuwa na wawakilishi watatu katika toleo la 13 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Kuwait.
Habari ID: 3479746    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/13

Turathi
IQNA - Chuo Kikuu cha Warith Al-Anbiyaa katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq kinapanga kuandaa warsha za kuandika Qur’ani Tukufu kwa mkono.
Habari ID: 3479744    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/13

Harakati za Qur'ani
IQNA - Kongamano la 7 la Kimataifa Kuhusu Fikra za Qur'ani za Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei limepokea makala zaidi ya 2,000, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479742    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/12

IQNA - Mwanasiasa wa siasa kali za mrengo wa kulia wa Uswidi na Denmark Rasmus Paludan atakata rufaa dhidi ya hukumu aliyopewa wiki iliyopita na mahakama ya Uswidi kwa kuivunjia heshima Qur'ani.
Habari ID: 3479739    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/12

Mawaidha
IQNA – Wafasiri wa Qur’ani Tukufu wanazingatia Ajal mbili (wakati wa kufa) kwa wanadamu kwa kuzingatia Aya ya 2 ya Surah Al-Anaam ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3479737    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/11

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Maustadh wawili mashuhuri wa Qur'ani wa Misri ni miongoni mwa wajumbe wa jopo la majaji katika mashindano ya kwanza ya kimataifa ya Qur'ani nchini Iraq.
Habari ID: 3479728    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/10

Mtazamo
IQNA – Wanazuoni na wasomi wa ngazi za juu  wa Kiislamu wanaamini kwamba ufufuo wa mwanadamu utakuwa katika mwili na pia katika roho.
Habari ID: 3479725    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/09

IQNA - Tuzo la 13 la Kimataifa la Qur'ani la Kuwait, linaloshirikisha mashindano ya kuhifadhi, qiraa na Tajweed, litafanyika kuanzia Novemba 13 hadi 20, 2024.
Habari ID: 3479723    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/09

Qurani
IQNA - Kuna wanaharakati wanne wa Qur'ani wa Iran wanaohudhuria mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Iraq yaliyoanza mjini Baghdad siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3479722    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/09

IQNA - Mashindano ya usomaji wa Qur'ani Tukufu yalifanyika Rawalpindi, Pakistani kuwaenzi mashahidi wa muqawama.
Habari ID: 3479718    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/08

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe imefanyika nchini Uingereza kutangaza na kuwatunuku washindi wa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479711    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/06

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Mwanasiasa wa siasa kali za mrengo wa kulia wa Denmark amehukumiwa kifungo cha miezi minne jela na mahakama ya Uswidi kwa kuchochea chuki za kikabila kwa kuchoma moto Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479709    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/06

IQNA - Mchakato wa kutathmini washiriki wa hatua ya awali ya Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran umeanza leo  Jumanne, Novemba 5
Habari ID: 3479707    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/05

Qur'ani Tukufu
IQNA - Hamza Roberto Piccardo ndiye Mtaliano wa kwanza Mwislamu ambaye ameitarjumi Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kiitaliano.
Habari ID: 3479700    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/04

Mashindano
IQNA - Mashindano ya Qur'ani Tukufu yalifanyika kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa huko Kyengera, mji mkuu wa Uganda wa Kampala, wikendi hii.
Habari ID: 3479698    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/04

Muqawama
IQNA - Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amefafanua jinsi kiongozi wa harakati hiyo aliyeuawa shahidi, Yahya Sinwar, alivyowaheshimu sana wahifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3479695    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/03

Harakati za Qur'ani
IQNA – Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) inaandaa vikao vya Qur'ani katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3479687    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/02

Harakati za Qur'ani
IQNA - Wizara ya masuala ya kidini ya Indonesia ilithibitisha kukamilika kwa mradi wa tarjuma ya Qur’ani Tukufu katika Kicirebon.
Habari ID: 3479682    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/01

Harakati za Qur'ani
IQNA - Sherehe ilifanyika mashariki mwa Kosovo kuwaenzi wasichana 44 ambao wamehitimu kutoka kozi za Qur'ani.
Habari ID: 3479672    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/30