iqna

IQNA

Chuki dhidi ya Qur'ani
IQNA - Uswidi (Sweden) itawafikisha mahakamani wanaume wawili walioivunjia heshima Qur'ani Tukufu mara kadhaa wakati wa maandamano mwaka jana, waendesha mashtaka wa nchi hiyo ya Skandinavia wametangaza.
Habari ID: 3479349    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/29

Arbaeen
IQNA - Ujumbe wa wasomaji Qur’ani wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa  cha Iran ambao umesafiri hadi Iraq kwa ajili ya Arbaeen ulifanya programu kadhaa za usomaji wa Qur'ani katika mji mtakatifu wa Najaf.
Habari ID: 3479339    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/28

Qur'ani Tukufu
IQNA – Mohamed Farid Alsendiony alikuwa qari mashuhuri wa Misri na ulimwengu wa Kiislamu, na mmoja wa kizazi cha kwanza cha maqari wenye kufuata mtindo wa Misri.
Habari ID: 3479337    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/27

Arbaeen 1446 H
IQNA - Msafara wa Qur'ani wa Iran uliotumwa Iraq kushiriki katika vikao vya Qur'ani kwa munasaba wa Arbaeen ulihitimisha shughuli zake baada ya karibu siku kumi.
Habari ID: 3479331    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/26

Jinai za Israel
IQNA - Kuvunjiwa heshima kwa Qur'ani Tukufu na wanajeshi wa Israel huko Gaza kumelaaniwa vikali na wanazuoni wa Yemen, ambao wametaka kuchukuliwa hatua dhidi ya ukatili wa utawala wa Kizayuni katika eneo la Palestina.
Habari ID: 3479329    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/26

Sunnah za Mwenyezi Mungu katika Quran/2
IQNA – Kwa maneno ya Qur’ani, Istidraj ni mojawapo ya Sunna za Mwenyezi Mungu zisizobadilika na zilizoenea.
Habari ID: 3479325    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/24

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe ilifanyika katika mji mkuu wa Kenya wa Nairobi kuwaenzi washindi wa mashindano ya hivi karibuni ya Qur'ani.
Habari ID: 3479322    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/24

Arbaeen 1446
IQNA - Wajumbe wa msafara wa Qur'ani wa Iran hadi sasa wameandaa programu 650 tofauti kwa wafanyaziara wa Arbaeen nchini Iraq.
Habari ID: 3479313    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/23

Arbaeen 1446
IQNA - Kundi la wanaharakati wa Qur'ani wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa wamelekea Iraq Jumatatu jioni kushiriki katika matembezi ya Arbaeen ya Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3479305    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/20

Arbaeen katika Qur'an /3
IQNA – Wakati Arbaeen, maana yake ni arobaini na arubaini, ni neno linalohusiana na wingi, katika maandiko mengi ya Kiislamu na Hadithi, linatumika kurejelea sifa na ukuaji wa kiroho wa mwanadamu.
Habari ID: 3479302    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/19

Arbaeen 1446
IQNA - Mkurugenzi wa Taasisi ya Qur'ani inayohusishwa na Haram ya Hazrat Abbas (AS) huko Karbala ametangaza kuanza kwa programu maalum za Qur'ani kwa wafanyaziara wa Arbaeen.
Habari ID: 3479296    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/18

Arbaeen katika Qur’ani /2
IQNA – Neno Arbaeen (maana ya siku arubaini) limetajwa ndani ya Qur’ani Tukufu kuhusu Miqat ya Musa (AS) na kuhusu jinsi Bani Isra’il walivyokwama. Kuna aya 4 ndani ya Qur’ani Tukufu ambamo Arbaeen imetajwa, 3 kati yake ni kuhusu Bani Isra’il.
Habari ID: 3479292    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/18

Ulimwengu wa Kiislamu
IQNA - Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia Fadillah Yusof alikabidhi nakala za tafsiri na tarjuma za Qur’ani Tukufu katika Kihispania na Kilatini kwa msikiti mmoja nchini Peru.
Habari ID: 3479289    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/17

Arbaeen katika Qur'an/1
IQNA – Kuna idadi au nambari 39 zilizotajwa ndani ya Qur'an, baadhi yake zinarejelea tu nambari, wakati zingine zina siri nyuma yake.
Habari ID: 3479282    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/15

Mafundisho ya Qur'ani
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, lengo la adui la kuzusha vita vya kisaikolojia katika upande wa masuala ya kijeshi ni la kuzitia hofu nyoyo za wananchi wa Iran lakini kama inavyotufundisha Qur'ani Tukufu, kurudi nyuma na kulegeza kamba kizembe katika medani yoyote iwe ya kijeshi au medani nyingine za kisiasa, kipropaganda na kiuchhumi, kunaendana na ghadhabu za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479281    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/15

Arbaeen 1446
IQNA - Wanachama wa msafara wa Qur'ani wa Arbaeen wa Iran wametajwa na kundi hilo linajumuisha wasomaji Qur'ani waalikwa kutoka nchi 14.
Habari ID: 3479275    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/13

Harakati za Qur'ani
IQNA – Kozi za Qur’ani Tukufu katika  Majira ya joto zinazotolewa katika shule za jadi za Qur’ani za Morocco, zinazojulikana kama Maktab, zimepokelewa vyema na watu wa nchi hiyo.
Habari ID: 3479271    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/13

Arbaeen 1446
IQNA - Kituo cha Dar-ul-Quran chenye mfungamano na Mfawidhi wa Kaburi Takatifu la Imam Ali (AS) kitaendesha programu za Qur'ani kwa wafanyaziara wakati wa matembezi ya Arbaeen mwaka huu.
Habari ID: 3479269    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/12

Mayahudi katika Qur’ani / 7
IQNA – Qur’ani Tukufu imetaja baadhi ya sifa mbaya za Mayahudi ambazo zinaweza kugawanywa katika makundi manne ya kidini, kijamii, kiuchumi na kisiasa.
Habari ID: 3479265    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/11

Muqawama na Qur'ani
IQNA - Jumuiya ya Qur'ani ya Iran imesema subira na ustahimilivu wa watu wa Gaza dhidi ya uhasama wa Israel unatokana na mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479257    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/10