Harakati za Qur'ani
IQNA - Zaidi ya wahifadhi wa Qur'ani wapatao 150 wanaume na wanawake kaskazini mwa Gaza walikusanyika kwa ajili ya kikao cha Qur'ani, ambao walisoma Qur'ani nzima nzima kwa kikao kimoja, pamoja na kuwepo vita vya mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel dhidi ya eneo hilo.
Habari ID: 3479432 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/14
Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 1
IQNA – Ulimi, sawa na viungo vingine vya mwili, ni njia ya kutenda madhambi ikiwa mwanadamu hatafuata kanuni na maamrisho ya Mwenyezi Mungu, na ni njia ya kumtii Mwenyezi Mungu ikiwa tutafuata maamrisho ya Uislamu.
Habari ID: 3479427 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/13
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la tano la Mashindano ya Qur’ani yaliyofanyika katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq, lilifikia tamati katika sherehe zilizofanyika wikendi.
Habari ID: 3479416 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/11
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Hatua ya nusu fainali ya mashindano ya Qur'ani kwa vijana nchini Yemen ilianza katika mji mkuu Sana'a Jumatatu usiku.
Habari ID: 3479415 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/11
Qur’anI na Jamii/2
IQNA – Kujikusanyia mali kwa wingi , kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu, ni jambo ambalo limegawanywa katika kategoria mbili; manfuaa na madhara.
Habari ID: 3479414 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/10
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Duru ya awali ya mashindano ya kitaifa ya Qur'ani ya Algeria imeanza kwa kushirikisha washiriki 225 wa kiume na wa kike.
Habari ID: 3479413 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/10
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la 38 la Mashindano ya Qur'an na Etrat kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya Iran lilizinduliwa katika mji wa kaskazini magharibi wa Tabriz siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3479412 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/10
Uislamu na Afya
IQNA – Muhammad Naquib Ajmal Mohd Jamal Nasir, mwenye umri wa miaka 26 ambaye aligundulika kuwa na usonji, alihitimu Jumatatu kwa Shahada ya Kwanza ya Mafunzo ya Qur'ani na Sunnah kutoka Universiti Islam Pahang Sultan Ahmad Shah (UNIPSAS).
Habari ID: 3479410 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/10
Usomaji Qur'ani
IQNA - Msomaji mashuhuri wa Qur'ani wa Misri Sheikh Muhammad Sidiq Minshawi ameenziwa katika hafla iliyofanyika nchini Tanzania hivi karibuni.
Habari ID: 3479408 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/10
Harakati za Qur'ani
IQNA – Kituo cha Hikmat (hekima) cha Dar-ul-Quran kilizinduliwa huko Pretoria, mji mkuu wa kiserikali nchini Afrika Kusini.
Habari ID: 3479406 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/09
Watoto na Qur'ani
IQNA - The "Little Memorizers" Academy ni taasisi huko Pristina, mji mkuu wa Kosovo, ambayo inafundisha Qur'ani kwa watoto.
Habari ID: 3479405 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/09
Harakati za Qur'ani
IQNA - Jumuiya ya Wasomaji na Wahifadhi wa Qur'ani ya Misri iliwaonya maqari dhidi ya kitendo chochote ambacho kinachukuliwa kuwa ni cha kutoheshimu Kitabu cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479400 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/08
Arbaeen
IQNA - Wafanyaziara wawili wa Iran walianza mradi mwaka huu wa kuandika aya za Qur'ani Tukufu katika safari yao ya siku 72 ya Arbaeen kutoka Mashhad, Iran hadi Karbala, Iraq.
Habari ID: 3479396 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07
Msomi wa Qur'ani
IQNA - Ahmed al-Aimash (Laimeche) ni mtu mashuhuri nchini Algeria na ulimwengu wa Kiarabu kutokana na jukumu lake katika kukuza Uislamu na kuimarisha utambulisho wa kitamaduni wa Waarabu.
Habari ID: 3479391 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07
Shughuli za Qur'ani
IQNA – Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq iliandaa programu mbalimbali za Qur’ani kwa wafanyaziara wa kike wakati wa matembezi ya Arbaeen mwaka huu.
Habari ID: 3479388 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/06
Muqawama
IQNA- Badreddin Abdul Malik al-Houthi, kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, katika hotuba yake kuhusu hali mbaya ya hivi sasa ya Umma wa Kiislamu amesema kuna ulazima kufungamana na Mtume Muhammad (SAW0 Mtume na Qur'ani Tukufu, amesisitiza haja ya Waislamu kusoma na kuiga shakhsia ya Mtume (SAW).
Habari ID: 3479387 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/06
IQNA - Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Mauritania inapanga kuandaa mashindano ya Qur'ani na Hadithi kwa nchi za Afrika Magharibi.
Habari ID: 3479382 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/04
Wasoomaji Qur'ani
IQNA - Wabunge kadhaa nchini Misri wametoa wito wa kuundwa kwa kamati mpya ya kusimamia usomaji wa Qur'ani au qiraa na maqari au wasomaji Qur’ani nchini humo.
Habari ID: 3479380 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/04
Harakati za Qur'ani
IQNA - Programu zenye ubunifu za Qur'ani Tukufu zinafanyika katika Haram Tukufu ya Imam Ridha (AS) huku mamilioni ya mahujaji wakiwasili Mashhad kuandaa maandamano ya maombolezo.
Habari ID: 3479375 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/03
Harakati za Qur'ani
IQNA - Vituo vinne vya Qur'ani vimewekwa kwenye barabara zinazoelekea mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3479369 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/02