iqna

IQNA

Arbaeen katika Qur'ani /4
IQNA - Matembezi ya kila mwaka ya Arbaeen, moja ya mikusanyiko mikubwa ya kidini duniani, yana mizizi mirefu katika mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479367    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/02

Watetezi wa Palestina
IQNA - Maandamano ya kukaa ndani yameandaliwa na wanafunzi na wafanyakazi wa Chuo cha Juu cha Qur'ani Tukufu katika mji mkuu wa Yemen wa Sana'a kulaani kitendo cha jeshi la utawala haramu wa Israel kuvunjiwa heshima nakala za Qur'ani Tukufu hivi karibuni na ukatili wao dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3479366    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/02

Qur’ani na Jamii /1
IQNA – Kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, uwajibikaji wa kijamii unarejelea mfululizo wa tabia na matendo ambayo watu huwafanyia wanadamu wenzao.
Habari ID: 3479360    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/31

Mawaidha
IQNA – Kuna uzuri na muelekeo wa kisaikolofia wa kuswali na kuomba dua katika aya za Qur’ani, mwanachuoni na mtafiti wa Iraq anasema, akisisitiza umuhimu wa neno Rabb (Mola) katika mtazamo huu.
Habari ID: 3479359    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/31

Harakati za Qur'ani
IQNA - Misikiti na maeneo yenye makaburi matakatifu nchini Iran yatakuwa na hafla maalum za usomaji wa Qur'ani katika mkesha wa kumbukumbu ya kufariki kwa Mtukufu Mtume Muhammad (SAW.).
Habari ID: 3479357    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/31

Watetezi wa Palestina
IQNA - Takriban watu milioni moja walikusanyika katika mji mkuu wa Yemen wa Sana'a siku ya Ijumaa ili kuelezea mshikamano wao na Wapalestina huko Gaza na pia kulaani jinai ya wanajeshi wa Israel ya kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479356    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/31

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Toleo la kwanza la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yaliyopewa jina la Tuzo la Qur'ani la Iraq yatafanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo ya Kiarabu, Baghdad, mwezi wa Novemba.
Habari ID: 3479355    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/30

Mayahudi katika Qur'ani /8
IQNA – Bani Isra’il, kwa mujibu wa aya za Qur’ani Tukufu, walikuwa watu wakaidi zaidi katika suala la kukataa Tauhidi au Imani ya kumuabudu Mungu Mmoja.
Habari ID: 3479350    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/29

Chuki dhidi ya Qur'ani
IQNA - Uswidi (Sweden) itawafikisha mahakamani wanaume wawili walioivunjia heshima Qur'ani Tukufu mara kadhaa wakati wa maandamano mwaka jana, waendesha mashtaka wa nchi hiyo ya Skandinavia wametangaza.
Habari ID: 3479349    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/29

Arbaeen
IQNA - Ujumbe wa wasomaji Qur’ani wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa  cha Iran ambao umesafiri hadi Iraq kwa ajili ya Arbaeen ulifanya programu kadhaa za usomaji wa Qur'ani katika mji mtakatifu wa Najaf.
Habari ID: 3479339    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/28

Qur'ani Tukufu
IQNA – Mohamed Farid Alsendiony alikuwa qari mashuhuri wa Misri na ulimwengu wa Kiislamu, na mmoja wa kizazi cha kwanza cha maqari wenye kufuata mtindo wa Misri.
Habari ID: 3479337    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/27

Arbaeen 1446 H
IQNA - Msafara wa Qur'ani wa Iran uliotumwa Iraq kushiriki katika vikao vya Qur'ani kwa munasaba wa Arbaeen ulihitimisha shughuli zake baada ya karibu siku kumi.
Habari ID: 3479331    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/26

Jinai za Israel
IQNA - Kuvunjiwa heshima kwa Qur'ani Tukufu na wanajeshi wa Israel huko Gaza kumelaaniwa vikali na wanazuoni wa Yemen, ambao wametaka kuchukuliwa hatua dhidi ya ukatili wa utawala wa Kizayuni katika eneo la Palestina.
Habari ID: 3479329    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/26

Sunnah za Mwenyezi Mungu katika Quran/2
IQNA – Kwa maneno ya Qur’ani, Istidraj ni mojawapo ya Sunna za Mwenyezi Mungu zisizobadilika na zilizoenea.
Habari ID: 3479325    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/24

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Sherehe ilifanyika katika mji mkuu wa Kenya wa Nairobi kuwaenzi washindi wa mashindano ya hivi karibuni ya Qur'ani.
Habari ID: 3479322    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/24

Arbaeen 1446
IQNA - Wajumbe wa msafara wa Qur'ani wa Iran hadi sasa wameandaa programu 650 tofauti kwa wafanyaziara wa Arbaeen nchini Iraq.
Habari ID: 3479313    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/23

Arbaeen 1446
IQNA - Kundi la wanaharakati wa Qur'ani wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa wamelekea Iraq Jumatatu jioni kushiriki katika matembezi ya Arbaeen ya Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3479305    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/20

Arbaeen katika Qur'an /3
IQNA – Wakati Arbaeen, maana yake ni arobaini na arubaini, ni neno linalohusiana na wingi, katika maandiko mengi ya Kiislamu na Hadithi, linatumika kurejelea sifa na ukuaji wa kiroho wa mwanadamu.
Habari ID: 3479302    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/19

Arbaeen 1446
IQNA - Mkurugenzi wa Taasisi ya Qur'ani inayohusishwa na Haram ya Hazrat Abbas (AS) huko Karbala ametangaza kuanza kwa programu maalum za Qur'ani kwa wafanyaziara wa Arbaeen.
Habari ID: 3479296    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/18

Arbaeen katika Qur’ani /2
IQNA – Neno Arbaeen (maana ya siku arubaini) limetajwa ndani ya Qur’ani Tukufu kuhusu Miqat ya Musa (AS) na kuhusu jinsi Bani Isra’il walivyokwama. Kuna aya 4 ndani ya Qur’ani Tukufu ambamo Arbaeen imetajwa, 3 kati yake ni kuhusu Bani Isra’il.
Habari ID: 3479292    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/18