iqna

IQNA

Ulimwengu wa Kiislamu
IQNA - Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia Fadillah Yusof alikabidhi nakala za tafsiri na tarjuma za Qur’ani Tukufu katika Kihispania na Kilatini kwa msikiti mmoja nchini Peru.
Habari ID: 3479289    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/17

Arbaeen katika Qur'an/1
IQNA – Kuna idadi au nambari 39 zilizotajwa ndani ya Qur'an, baadhi yake zinarejelea tu nambari, wakati zingine zina siri nyuma yake.
Habari ID: 3479282    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/15

Mafundisho ya Qur'ani
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, lengo la adui la kuzusha vita vya kisaikolojia katika upande wa masuala ya kijeshi ni la kuzitia hofu nyoyo za wananchi wa Iran lakini kama inavyotufundisha Qur'ani Tukufu, kurudi nyuma na kulegeza kamba kizembe katika medani yoyote iwe ya kijeshi au medani nyingine za kisiasa, kipropaganda na kiuchhumi, kunaendana na ghadhabu za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479281    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/15

Arbaeen 1446
IQNA - Wanachama wa msafara wa Qur'ani wa Arbaeen wa Iran wametajwa na kundi hilo linajumuisha wasomaji Qur'ani waalikwa kutoka nchi 14.
Habari ID: 3479275    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/13

Harakati za Qur'ani
IQNA – Kozi za Qur’ani Tukufu katika  Majira ya joto zinazotolewa katika shule za jadi za Qur’ani za Morocco, zinazojulikana kama Maktab, zimepokelewa vyema na watu wa nchi hiyo.
Habari ID: 3479271    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/13

Arbaeen 1446
IQNA - Kituo cha Dar-ul-Quran chenye mfungamano na Mfawidhi wa Kaburi Takatifu la Imam Ali (AS) kitaendesha programu za Qur'ani kwa wafanyaziara wakati wa matembezi ya Arbaeen mwaka huu.
Habari ID: 3479269    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/12

Mayahudi katika Qur’ani / 7
IQNA – Qur’ani Tukufu imetaja baadhi ya sifa mbaya za Mayahudi ambazo zinaweza kugawanywa katika makundi manne ya kidini, kijamii, kiuchumi na kisiasa.
Habari ID: 3479265    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/11

Muqawama na Qur'ani
IQNA - Jumuiya ya Qur'ani ya Iran imesema subira na ustahimilivu wa watu wa Gaza dhidi ya uhasama wa Israel unatokana na mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479257    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/10

Waislamu Malaysia
IQNA - Serikali ya Malaysia inaunga mkono wahifadhi Qur'ani katika kupata taaluma zinginezo za kikao, anasema Naibu Waziri Mkuu Ahmad Zahid Hamidi.
Habari ID: 3479255    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/10

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Uswidi  (Sweden) imemshtaki mwanamume wa miaka 42 kutoka Denmark kwa uchochezi dhidi ya jamii moja (Waislamu) na matusi siku ya Jumatano, waendesha mashtaka walisema katika taarifa.
Habari ID: 3479250    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/09

Harakati za Qur'ani
IQNA - Wizara ya Wakfu na masuala ya Kiislamu ya Algeria inasema wasichana wa nchi hiyo wamekuwa wakifurahia sana kozi za Qur'ani Tukufu za msimu huu wa majira ya joto nchini humo..
Habari ID: 3479246    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/08

Mayahudi Katika Qur'ani /6
IQNA – Qur’ani Tukufu inawataja Mayahudi kuwa ni watu wenye pupa zaidi ya maisha ya kidunia na wanaelezewa kuwa wenye pupa na tamaa zaidi kuliko Mushrikeen (washirikina). Ikumbukwe kwamba Qur'ani Tukufu ina misimamo miwili juu ya Mayahudi. Moja ni kuhusu wale Mayahudi wanaomwamini Mungu Mmoja na Siku ya Kiyama na wakatenda mema na wao ni miongoni mwa “Watu wa Kitabu”.
Habari ID: 3479244    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/08

Arbaeen 1446
IQNA – Matembezi ya Arbaeen, ambayo hujumuisha mamilioni ya waumini, yanatoa fursa muhimu ya kukuza utamaduni wa Qur'ani Tukufu, afisa wa Qur'ani wa Iran anasema.
Habari ID: 3479238    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/06

Harakati za Qur'ani
IQNA - Mwanazuoni wa Pakistan amezungumza kuhusu nafasi ambayo mafundisho ya Qur'ani Tukufu yanaweza kuchukua katika kukabiliana na mfadhaiko na wasiwasi.
Habari ID: 3479236    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/06

Shughuli za Qur'ani
IQNA - Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Kuwait ilipuuza uvumi kuhusu kufungwa halqa au vikao vya kusoma Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3479235    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/06

Mayahudi Katika Qur'ani /5
IQNA – Moja ya sifa mbaya zilizotajwa ndani ya Qur’ani Tukufu kuhusu idadi kubwa ya Mayahudi ni ugumu wa nyoyo zao kutokana na madhambi na kukataa kuamini miujiza mingi.
Habari ID: 3479230    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/05

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Morocco imetangaza kuwa toleo la 18 la Tuzo la Kimataifa la Mohammed VI la Kuhifadhi Qur'ani, Kutunga Zaburi na Kusoma litafanyika tarehe 3 na 4 Septemba.
Habari ID: 3479144    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/17

IQNA - Qari wa Iran anayesifika kimataifa Hamid Reza Ahmadi alisifu Mpango wa Amir al-Qurra nchini Iraq.
Habari ID: 3479103    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/10

Qur’ani Tukufu
Ni baraka za Mtume Muhammad (SAW) (Swalla Allaahu ´alayhi wa Ali wasallama) Mtoto
Habari ID: 3478998    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/22

Harakati za Qur'ani
IQNA - Waziri wa Wakfu wa Algeria amesema idadi kubwa ya wanafunzi wanajifunza Qur'ani katika vituo vya Qur'ani kote katika nchi hiyo kaskazini mwa Afrika.
Habari ID: 3478995    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/21